Cuthbert Sweetbert

4.1K posts

Cuthbert Sweetbert

Cuthbert Sweetbert

@CuthbertSweetb2

Katılım Mayıs 2022
10.6K Takip Edilen13.6K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Cuthbert Sweetbert
Cuthbert Sweetbert@CuthbertSweetb2·
Waziri wa Ujenzi mpya angeanza na kutembelea miradi ya barabara inayoendelea DAR na kuhimiza wakandalasi waongeze kasi na kuacha kuvuruga sehemu ambazo awazijengi kwa wakati huu,aisee hii foleni ni shida, katikati ya mji hakufai sijui mvua zikianza kuchanganya itakuwaje
Indonesia
0
0
1
580
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Uko Tabora kuna mzee amemuua mtoto wake wa miezi miwili, baada ya kutekeleza tukio hilo na yeye akaenda kujinyonga baadae. Kabla ya kufanya matukio hayo alimjeruhi mke wake kwanza akimtuhumu kuwa huyo mtoto sio wake. Una ua mtoto wa miezi miwili? 💔 UTV NEWS
Indonesia
11
21
144
6.9K
Celsius Ulanda
Celsius Ulanda@Celsius015·
Kule kagera kuna sehem moja inaitwa KYAKA wanavichakula flan hivi wanauzaga pale vinaitwa GONJA vile vidude bana ni noma alaf sjui kwanin hawazisifii kama wanavyosifia masenene yao
Indonesia
10
14
96
4.2K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Ndugu zetu wa Bodaboda na Bajaji msitumie barabara ya Mwendokasi. Leo kwa moto
Indonesia
5
13
123
2.7K
NGASSA+255
NGASSA+255@Therealngassa·
Ukiangalia nyuso za watu kwenye daladala asubuhi, unaweza kudhani wanaelekea msibani Watanzania wengi wanaonekana hawapendi kazi zao basi tu Amna namna
Indonesia
56
68
603
22.9K
millardayo
millardayo@millardayo·
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema wanaopanga njama za kudhoofisha jitihada za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kisa tamaa za kupata Urais mwaka 2030 hawatofanikiwa, ambapo amesema Watu hao wote wanaojipanga na Urais mwaka 2030 hawatoupata. Akizungumza mbele ya Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba Jijini Arusha leo Machi 25, 2026, Makonda amesema ““Kuna Watu wengine nikikaa nasikiliza hotuba yake nasema huyu kabadilika lini?, kuna Watu wanapenda kuyatumia matatizo ya Wananchi kama vile Watetezi halafu uwezo wa kutetea hawana kwasababu hawana hiyo rekodi ya kutetea Wananchi” “Sasa tunaelekea huko 2030 wataibuka Watu wengi sana, nataka niwaambie Mtu yoyote atakayemsaliti Dkt. Samia ambaye alituona, Mimi binafsi nilipata bahati Rais Samia aliniona nikiwa Mtaani miaka mitatu na miezi sita hata simu haiiti, unakaa na Mkeo unacheza na Watoto unajifunza na muda wa kuwapeleka Shule, Mtu huyu amekuona akakupa nafasi, sasa kupitia hiyo nafasi umepata hela kidogo, umeanza kuwa na jina kidogo, unatengeneza network halafu unapambana kupambana na yule aliyekupa nafasi na heshima hiyo” “Mimi Paul Makonda sitomsaliti Dkt. Samia Suluhu Hassan na kama uongozi wangu unatakiwa kuishia 2030 utaishia hapo kwani kuna shida gani?, kwani unatakiwa utawale maisha yako yote?, na ndio maana ukiona hao Viongozi wanataka kujitenganisha hii Serikali yeye akae pembeni awe sehemu ya Wakosoaji wa Serikali” “Mimi tukiwa kwenye vita situmi Mtu, sio wale mkikutana mnachekeana aah Kamanda tuko pamoja halafu unasuka mipango huku nyuma aah Mimi nakuja mwenyewe kukushughulikia wote wanaopanga njama za kudhoofisha jitihada za Rais Samia katika uongozi wake huu kwa ndoto zako hazitotumia” “Mh. Waziri Mkuu Mimi nina bahati ya kusema kidogo ya Mungu, Watu wote wanaojipanga hawa hawawezi kushika Urais nakuhakikishia, wekeni kwenye kumbukumbu hawapati, Watanzania hawawezi kuwa wasahaulifu tutaenda rekodi kwa rekodi hauwezi kuwa Malaika dakika za mwisho, shetani ni shetani tu hata kama akizeeka” #MilardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
228
26
537
79.2K
SUKUNUNU 🇹🇿
SUKUNUNU 🇹🇿@sukununu01·
Maneno ya watu hayanikatishi tamaaa ya mimi kupambana katika maisha yangu
SUKUNUNU 🇹🇿 tweet media
Indonesia
7
4
36
637
Cuthbert Sweetbert
Cuthbert Sweetbert@CuthbertSweetb2·
@Adventure_36 @LMwimbile Kwa watu wa maeneo ayo Kisarawe ni karibu sana na kunaendeka kirahisi hata kwa huduma kama za kibank na nyingine ila nasikia na huduma zao ni nzuri kwa iyo hospitali
Filipino
0
0
2
127
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Hospital ya Wilaya ya Kisarawe inahudumia watu wengi sana tena wengine wanatoka Dar es salaam. Watu wa Gongo la mboto, Viwege, Pugu yote wengi wanakimbilia Kisarawe wakati ki utaratibu Hospital yao ya Wilaya inabid waende Amana. Sio mbaya muhimu upate huduma tu
Indonesia
20
26
263
11.5K
JASUSI WA KUCHOVYA
JASUSI WA KUCHOVYA@Jasusiwetu·
@bonifacejoseph_ Jana alikamatwa na polisi,akiwa kwenye njia ya mwendokasi pikipiki yake ikapelekwa kituoni. Leo ameenda wamemuweka ndani,nimewasiliana na mkuu wa kituo kasema alikamatwa kwenye operation maalum hivyo ni lazima akae ndani masaa 24,na aliyemkamata ni senior kwake
JASUSI WA KUCHOVYA tweet media
Indonesia
3
0
7
181
Cuthbert Sweetbert
Cuthbert Sweetbert@CuthbertSweetb2·
@MangiwaKwanza1 @kilepi_tweve Anaeweza kuishi na mwenzi wake hata miaka 40 na hampendi lakini anamuhudumia kila kitu ni Mwanaume tu, lakini icho kiumbe mwanamke kama hakupendi wewe na pesa yako utapigwa matukio mpaka ufe
Filipino
0
0
3
485
Mangi wa Kichaga
Mangi wa Kichaga@MangiwaKwanza1·
Aliyesema mwanamke anampenda mwanaume mwenye hela au anaye muhudumia alikuwa msenge sana, mwanamke kama hakupendi hakupendi tu💔
Indonesia
28
44
442
14.1K
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
WAKATI SIKU ZA KUTOA RIPOTI ZINAKARIBIA Jaji Chande na tume yako tunataka kusikia haya kwa ufasaha kabisa!.. 1. Nani alifadhili machafuko yale? Nani alipokea hela za Open Society kufanya vurugu zile? 2. Nani ndani ya CHADEMA alipanga vurugu zile na mapinduzi ya serikali? 3. Nani aliruhusu JWTZ watoke kambibi Lugalo na kuungana na wahuni kufanya vurugu? 4. Nani alitoa silaha ndani ya JWTZ na zikatumika kuuwa askari waliokuwa wanalinda uchaguzi? 5. Nani alisukuma waumini wa kanisa la Gwajima kuchoma moto vituo vya mafuta hasa pale Shekilango? 6. Nani aliyekodisha Mungiki na kuchoma ofisi za umma kule Mwanza na Arusha? 7. Nani aliwapa UFIPA hela kusafirisha wahalifu kuja kufanya vurugu Dar Es Salaam na kuchoma moto magari kwenye yard pale bandarini!. TUNASUBIRI KWA HAMU sana haya majibu.
Indonesia
5
19
19
579
SIAH☺+255
SIAH☺+255@MalkiaTabasamu·
Napenda mwanaume wangu avae apendeze pia anukie awe vzr kiuchumi aniridhishe bas That's all I need 😎😍
42
7
110
7K