Erephato

10K posts

Erephato banner
Erephato

Erephato

@erephato

Sex

U.S.A Katılım Haziran 2022
359 Takip Edilen206 Takipçiler
Gerson Msigwa
Gerson Msigwa@MsigwaGerson·
Ziara ya Rais wa Rwanda Mheshimiwa Paul Kagame nchini Tanzania leo tarehe 03 Mei, 2026. Biashara ya Tanzania na Rwanda imekuwa na itakuwa zaidi siku zijazo.
Indonesia
37
37
107
6.6K
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Jana nilipokwenda kuhuduria Kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu Chaso. Walitumwa baadhi ya vijana kutoka UVCCM, kwa kulipwa vifedha kidogo… Sina tatizo na vijana hata kama ni wa ccm kuhudhuria na kusikiliza sera, misimamo na hoja zetu. Lakini huyu kijana, watu wetu walipomgundua na kumhoji alisema alikua ameambiwa kwamba tukianza kuzungumza kuhusu ripoti ya Chande wazomee.. Lakini pia wafanye fujo na kutoka ukumbuni, ionekane vijana hawakutusikiliza. Kwenye simu yake alikua anawasiliana na mtu anaitwa Shangwe Mtei ambae ni kiongozi wa Uvccm. Huyu Shangwe akawa anamhakikishia kwamba hata kama wako wachache wafanye fujo kwasababu OCD alikuwepo nao pale. Ghafla huyu kijana akiwa anahojiwa na watu wetu kwanini yuko pale na nia yake ni ipi, Magari mawili ya polisi yalikuja pale kitendo kinachoonesha kwamba tukio hili lilikua limepangwa kwa ushirikiano huo. Huyu kijana alikua ametumiwa muamala wa sh 50,000 kwa madai yake walitumiwa wote na wenzake, na walipatwa hofu na kutokufanya fujo kwasababu vijana wa Chaso walikua wengi zaidi na pia ulinzi ulikua imara.. Fikiria kwamba huyu ni kijana wa chuo kikuu ana fikra na mawazo ya kutumwa na kulipwa sh 50 elfu!! Tuna safari ndefu kama Nchi Lakini lazima tufike.. Asante watu wetu wa ulinzi kwa kazi nzuri.
Suomi
66
299
891
39.1K
Erephato
Erephato@erephato·
@spana_Konki Nchi imekua ya kigaidi watu wanachinjwa @NigeriaGov ni bora nigeria wanajua wanao uwa ni magaidi ila bongo serekal ndo inachinja watu wake
Indonesia
0
0
2
348
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Nimechoka na kuona ukatili kila siku! Hivi ina maana WOOOOOOTE mliopo kwenye mfumo mnaona hii ni sawa? Mtu anatekwa alafu mwili wake unakutwa hivi? Kweki? Huku polisi wakiendelea kuteka! Tumetoka kuona MAELFU wa ndugu zetu wameuwawa kikatili na miili yao kuachwa barabarani na baadaye kusombwa na kutupwa kama takataka! Nyie kimyaaa Nyie ni binadamu? Hamjisikii hata kidogo vibaya? Nyie ni mashetani WOTE! 🚮mi hata huyo @nchimbie wengine mnamfagilia nasema ni walewale! Kwani sisi wengine tulishindwa nini kukaa kimya ili maisha yetu yaende? Tulishindwa kukaa kimya kwa sababu ya UTU! Sasa mi nawaona ninyi wote mlioufyata wasaliti! Mmekaa kimya ili uovu utawale - basi ninyi ni sehemu ya uovu! #ChangeTanzania
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
53
179
618
42.7K
Erephato
Erephato@erephato·
@MariaSTsehai Hii kitu inauma aisee leo siku yangu imevurugika yani nikimwangalia kada la ccm natamani nimtafune, Hivi Samia ni katili kiasi gani kuma Nina walai
Eesti
2
2
6
1.9K
Erephato
Erephato@erephato·
@Sativa255 Hii kitu inaumiza sana sema kwa vile serekali imeja laaana ndio mana wanateka wanauwa watu hovyooo
Indonesia
0
0
0
168
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Mjomba wake msanii TEMBA alitekwa, jana maiti yake imeonekana imesombwa na maji huko Tabata haina KICHWA. Hutasikia uwajibikaji kwa vitendo vyote hivi vya utekaji kwasababu watekaji ni wao. Tanzania kuna VIBAKA wachache wao ndio wanatoa VIBALI vya watu kuishi sio kazi ya MUNGU tena.
SIR TIVA tweet mediaSIR TIVA tweet media
Indonesia
22
99
563
32.1K
mwaluko ndejembi
mwaluko ndejembi@mwalukon·
@MariaSTsehai Sasa tulipo fikia nikubaya watu wanalalamika watu wanatekwa na kupotezwa viongozi husika hawachukuli haya mambo seriously
Indonesia
1
0
0
362
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
Nchi hii imekuwa uwanja wa mauaji huyu anaitwa James Temba alitekwa jijini Dar mwili wake umeonekana Tabata kwenye mtalo wa maji ukiwa hauna kichwa.
Twaha Mwaipaya tweet mediaTwaha Mwaipaya tweet media
Indonesia
47
136
465
22.9K
Irene Rwegoshola.
Irene Rwegoshola.@kokugonza98·
@Twaha_Mwaipaya @HecheJohn Kwann tumefika hapa? Ni nani mnufaika wa haya? Je Tumeamua kuibadiri Nchi kuwa na mahakama za kiislamu ? (tusirejee udini bali mahakama za kuua bali kutosikilizwa ziko arabuni) When a small group of cowards take a big stake in the regime,they will be no right before justice..
Indonesia
1
0
0
473
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Nimeona video imesambaa mtandaoni, maiti ya mwanaume imeokotwa ikiwa imekatwa kichwa, inaelea katika bonde la mto Msimbazi eneo la Tabata. Baadae nakutana na chapisho la msanii, Mh. Temba anasema ni mjomba wake anaitwa James Temba. Nchi yangu imeharibika sana. Tumefikaje hapa?
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Filipino
56
198
1.2K
49.1K
Eddo Tz
Eddo Tz@Mtafutaji9090·
@IAMartin_ Huyu Mh. Temba sindio huwa yuko bize kwenye kampeni za veggies?
Filipino
4
0
6
5.5K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
‼️HABARI MBAYA‼️ Huyu kijana anaitwa James Temba ni ndugu wa Mwanamziki wa kundi la TMK Wanaume Family wakuitwa Mhe. Temba James Temba alitekwa na watu wasiojulikana Jijini Dar es salaam siku kadhaa zilizopita jana mwili wake umeonekana ukielea mto msimbazi Tabata huku ukiwa hauna kichwa. Huyu Msanii wenu pamoja na wenzake ni Makada wa CCM, tukiwaambia tuungane pamoja kupinga maswala ya Watu kutekwa, kuuwawa na kupotezwa huwa wanajivuta nyuma kwasababu wanadhan kwamba wao na familia zao wapo salama kwasababu wapo upande wa watekaji, leo na yeye limemkuta mtu wa familia yake. Wapendwa hakuna ambae yupo salama ili wote tuwe salama inabidi kila mmoja bila kujali itikadi wala dini, tuungane kupinga vitendo vya Utakaji na yote yanayofanana na haya. Hii nchi ni yetu sote, haiwezekani kikundi cha watu wachache ndo wawe wanaamua nan aishi na nani afe, HAPANA.
Indonesia
60
202
717
46K
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Wakali wa Sheria..,Katiba Yetu Haijawekwa Kando kweli hapa Au mimi kwenye Mambo ya Kisheria Bado sana ...🙆🏿‍♂️😳🤔
Eng.Mapunda Jr tweet media
Indonesia
14
2
82
15.4K
Erephato
Erephato@erephato·
@PolycarpMDM Ukiona mwanaume anyoa ndevu zote jua kabisa na mkunduni ananyoa hivyo hivyo @tanpol hawa ni viziro ndo mana wanafanya kazi ya laana hawajawai kua na akili
Indonesia
0
0
0
3
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Hii inaongeza chuki kwa jamii, Na sijui kwanini hawa hawajifunzi, au ni jeuri?
Polycarp The Bibliophile tweet media
Indonesia
16
9
84
5K