xdamas

561 posts

xdamas

xdamas

@exdamas

Medical, Health & care #lastborn #kilusu

Mwanza, Tanzania Katılım Eylül 2022
39 Takip Edilen37 Takipçiler
MJUKUU (Fan)
MJUKUU (Fan)@WideEdson·
Kuna sehemu moja nimekuja leo huku kisesa, haya ndio maji yao ya kupikia, koshea vyombo na kufulia. ☹️
MJUKUU (Fan) tweet mediaMJUKUU (Fan) tweet media
Indonesia
96
64
278
17.1K
George Ambangile
George Ambangile@George_Ambangil·
Ambaye anayo anauza kama hilo sweta . Nahitaji 👏🏼
George Ambangile tweet media
हिन्दी
85
106
1.6K
102.4K
George Ambangile
George Ambangile@George_Ambangil·
@AM_NIC3 Asante sana , umetisha sana nimepata vile vile nilivyoona kwa picha , size ipo perfect na material 🔥class 🤝🤝🤝🤝
George Ambangile tweet mediaGeorge Ambangile tweet media
Filipino
30
76
469
22.8K
George Ambangile
George Ambangile@George_Ambangil·
ROCK BAY RESORT , MWANZA Pazuri ? Au nitulize para langu 😀😀
Filipino
38
22
569
22.5K
BJ™69
BJ™69@bakarijordan_·
@Kicheche_jr Mi wamasai walinikosaga vibaya mno mada yoyote inayohusu hao jamaa huwa nashindwa kuwatetea.
Indonesia
4
0
5
2.2K
Comrade Kicheche Jr
Comrade Kicheche Jr@Kicheche_jr·
Kama hujawahi kufanya kazi kwa mchina unaweza kudhani wale wamasai waliomuua Mchina ni watu wabaya.
Indonesia
77
40
709
42K
xdamas
xdamas@exdamas·
@AceBet_95 @ReganTesla_ Anaposema alipata changamoto ya kifedha nahisi alitumia hela za wateja kufanya ishu zingine tofauti na kutuma bidhaa za wateja husika.
Indonesia
0
1
4
535
Prince 🤴🇹🇿🇳🇬🇬🇧
@ReganTesla_ Naomba kueleweshwa mtu akikupa hela yake mletee tv nini kinakwaza huo mchakato? Yani mtu katoa hela full ya bidhaa halafu muuzaji unasingizia una hali mbaya ya kifedha!?
Indonesia
11
3
31
6.1K
M.D (🅨)
M.D (🅨)@ReganTesla_·
Through God’s strength, I will overcome and take responsibility.. 🙏🏽
M.D (🅨) tweet media
English
210
153
679
106.1K
MJUKUU (Fan)
MJUKUU (Fan)@WideEdson·
Elie Mpanzu huwa anakaufaka flani hivi. 😡🚮
Indonesia
9
8
63
1.9K
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Msigwa aliyekuwa CHADEMA kisha akahamia CCM na akahojiwa akasema alipokuwa CHADEMA alikuwa mjinga, maana alikuwa anapambania vitu ambavyo havipo. Pia kwenye majukwaa akasema akiwa CHADEMA alikuwa kipofu ila alipoingia CCM akaona nuru. Sasa ameomba radhi na ameomba kurudi CHADEMA
Ayubu Madenge tweet media
Filipino
101
56
955
21.8K
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
Bhasi bhana , Juzi Elon alikuwa anawalipa ujira wafanyakazi wake na kilichohappen ni kuwa mmoja ya watu waliolalamika sana ni Davido, hapa ndio nilijua kila pesa na utamu wake na hazijawahi kukinai kiasi cha Davido mwenye hela nyingi za kutengeneza mwenyew na za kizazi chake , Still alileta noma. Davido aliandika" Nina Impression ya zaidi ya 450millions, unanilipa 30usd!?.....hadi sasa wengi wanajiuliza ni kipi Elon anataka maana haeleweki kwenye kulipa kwake tofauti na wanavyofanya wengine.
The champ👑 tweet media
Indonesia
12
17
113
9.8K
Gerry
Gerry@failasuf_·
@Dee7_Legend @exdamas @Philosophe45141 @Mwinshehe07 Kumuita mtoto Godwin sio sawa na kumuita Mtoto God Kwenye muktadha huo inaonyesha umiliki mfano upendo wa Mungu unakusudia kumuita mtoto wako Upendo wa Mungu kwako, na sio kwamba yeye ni Mungu.
Indonesia
1
0
0
74
Deogratius||🕊️
Deogratius||🕊️@Philosophe45141·
Kwanini wakristo hawaiti watoto wao jina la yesu kama ilivyo kwa Mohammed kwa waislamu?????
Filipino
98
25
494
54K
Mshauri wa Engonga
Mshauri wa Engonga@Dee7_Legend·
@Philosophe45141 @Mwinshehe07 Nina mtoto sasahivi anatimiza miaka miwili. Nimemuita "Jesus" basi jamii yote inaniona kama nimekufuru. Alafu nikiwauliza mbona wengine mnawaita "Godi?". Sipewi majibu
Indonesia
4
0
10
3.6K
Geoffrey Lea
Geoffrey Lea@Geoffrey87Lea·
on a brighter note,Rashford won la liga+Going to the world cup probably as a strong starter,Kobbie Maino signed a new long term deal and goes to the world cup and Ruben Amorim is JOBLESS
English
3
2
18
766
MJUKUU (Fan)
MJUKUU (Fan)@WideEdson·
Nasikia, hawajamaa wanaachwa mwisho wa msimu… Ni sahihi tuwaache wote au tubaki na mmoja/wawili? 👀
MJUKUU (Fan) tweet media
Indonesia
22
24
133
5.8K
†hømz
†hømz@ThomzJoseph·
Hadi sasa tumefanikiwa kuzima kelele zote za ubingwa wa Senali.😁
†hømz tweet media
Polski
9
8
92
1.2K
Gery
Gery@Gery_Gerrald·
Wara freeckick by Ronaldo, hapa Chazi sijui atasemaje tena.
Indonesia
2
7
46
817
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Kazi anafanya Mane sifa anapewa mwingine🙌
WHYMYCATISSAD tweet media
Indonesia
44
16
402
16.3K