Jafary MAGARI

13.4K posts

Jafary MAGARI banner
Jafary MAGARI

Jafary MAGARI

@fundi_rang

DALALI

Katılım Eylül 2022
1.5K Takip Edilen665 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Jafary MAGARI
Jafary MAGARI@fundi_rang·
LAND ROVER RANGE ROVER VOGUE Autobiography /+255769103506 Year of manufacture 2014 Engine Size : 3,000cc Fuel : Diesel Transmission : Automatic Colour : White Seat Capacity : 5 Other Spec's: Alloy Wheels 🛞 / Cruise Control | Winker Mirrors , Price- 🏷️ Tzsh 110Mil
Jafary MAGARI tweet mediaJafary MAGARI tweet mediaJafary MAGARI tweet mediaJafary MAGARI tweet media
English
0
1
1
126
CHURA MYUNANI MKALI PAPPARAZI
Chura ni mseminari mkongwe aliyekulia kwenye liturugia na malezi ya uchaji ya kikatoliki mwenye kuyajua mapaji saba ya roho mtakatifu,Mtunza mafundisho mwenye kuenzi mapokeo na sheria ya kanisa
Indonesia
7
7
57
2.9K
Jafary MAGARI retweetledi
Taivina James
Taivina James@Thereal_taivina·
Tofauti na washikaji wa karibu wa Ninja msiamini Info za Strangers kuwa Ninja alikuwa wapi akaenda wapi zile info sio za Bahati mbaya ni sehemu ya plan za kupoteza Maboya au kumtafutia kosa mwana. Unaamini mtu mmoja anaweza kuzomea kwenye Festival na sauti yake ikaenda? RAT
Taivina James tweet media
Indonesia
12
155
563
22.2K
Jafary MAGARI retweetledi
Taivina James
Taivina James@Thereal_taivina·
Haijalishi itachukuwa muda gani ila moja kati ya mistake tutaifanya ni ku give up kumtafuta mwana. Zoezi la kumtafuta Ninja mitandaoni na Mtaani lisiwe na Kikomo, kikomo ni atakapopatikana. 🤝 #FREENINJA
Taivina James tweet media
Filipino
21
470
1.3K
18.9K
SIMA
SIMA@abelsima45·
Tunduma vifo ni 0 daah, na yule dogo aliyeambiwa shuka kwenye gari, kimbia then akala chuma kwa nyuma.
Filipino
31
91
864
28.3K
Jafary MAGARI
Jafary MAGARI@fundi_rang·
@ChademaTdm @abelsima45 Aliumwa Ila watu alio kuwa nao walimpeleka kwa mganga badala ya hospital then alipozidiwa kule ndugu kuingilia kati akarudishwa serikalini hakumaliza wiki akafa.
Filipino
0
0
1
8
Jafary MAGARI retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Rasmi sasa PUMBU LA WAKAMARIA linapatikana kwenye platform zote unazozijua wewe. Ruksa KUMAINDI na kusikiliza mziki mzuri. Tupo nje ya muda.
SIR TIVA tweet media
10
28
153
3.1K
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Kuna kazi mtu unafanya. Zinakupa pesa. Ila, Sio kazi ambazo ni guarantee ya maisha ya leo, kesho na vizazi vyako. Ni PATH ya kukutoa sehemu moja kwenda nyingine. Mfano. Udereva wa magari yote. Ujenzi Boda Agent Dalali Fundi wa furniture Fundi wa AC Uchomeleaji Freelancing Mawawinga Na kazi nyingi au zote zinazokupa pesa ndogo ndogo ya kila siku. Fikiria madereva ambao hawakujiandaa kupokea uzee wana hali gani. Fikiria na hao wote katika uzee watakuwa na hali gani wanapo relax. Boda mzee? Agent wa magari mzee? Badala yake. Ile ni fursa ya kuandaa maisha bora ya baadae nje ya hiyo kazi. Kwake na vizazi vyake. Changamoto ni kwamba. Katika umri wa ujana ambapo hizo fursa zinawapa pesa. Watu tuna relax na kutumia pesa katika mambo ya ajabu kama. Pombe. Kubadili wanawake. Kusomesha na Kuzaa zaa among others. Ndiomana baadae tunapata hawa wazee bodaboda. Wazee content creator. Wazee wa vijiweni wanaosumbua watoto wao wanaopambania familia zao. Baadae inakuwa lawama kwa ndugu wenye kipato mpaka kugombania mirathi na mambo kama hayo. Lengo la hii tweet ni. Ijue kazi yako na uifikirie in 30 years to come itaendelea kukupa pesa? Kama hamna basi usi relax bro. Normalize kutolidhika hatakama sisi wote tutakufa. Angalia watoto wako wataishije baada ya wewe kutokuwepo. Angalia katika miaka yako 50 utakuwa umeshika nini cha kukupa pesa bila wewe kushughulika kwa nguvu. Fanya kazi yako kama path ya kukupa kikubwa zaidi. Save pesa kwa malengo ya kufanya kitu kikubwa zaidi. Duka la simu linaweza kufa. U winga unaisha. Udalali unaisha. U content creator unaisha Kuwa boda au bajaji kuna mwisho. Kuwa dereva kuna mwisho. Sasa baada ya hapo utakuwaje? Hizo kazi zitaisha ukiwa umejenga mazingira salama bila wewe kushugulika? Utakuwa na hardware kubwa watoto wako waendeleze? Utakuwa na nyumba nyingi? Utaendelea kuwa content creator? Utakuwa na lodge nyingi? Utakuwa ume diversify assets zako? Pambana sasa bila kuchoka huku ukijiweka bora kwaajili ya kesho. KULA UJANA VIBAYA UPATE TABU KUMEZA UZEE.
Indonesia
22
57
296
12.6K
Jafary MAGARI
Jafary MAGARI@fundi_rang·
*Toyota Premio F, 19.5ml, engine 1NZ, cc 1490📍MBEYA* 0769103506
Jafary MAGARI tweet mediaJafary MAGARI tweet mediaJafary MAGARI tweet mediaJafary MAGARI tweet media
Eesti
0
0
0
28
Jafary MAGARI
Jafary MAGARI@fundi_rang·
Ilibaki kidogo mchana upite hivihivi.
Jafary MAGARI tweet mediaJafary MAGARI tweet media
Slovenščina
0
0
0
12
Tujifunze silaha za kivita.
Tujifunze silaha za kivita.@SeekNaturalLife·
Wangapi wapo wanazoom tu hiyo battle hawako kokote wao lolote sawa kama Mimi🤣🤣🤣
Filipino
1
4
13
173
Jafary MAGARI
Jafary MAGARI@fundi_rang·
Landcruiser 0769103506 Ihz injini Bei 80mln Dashboard ndogo Mbele coil
Jafary MAGARI tweet mediaJafary MAGARI tweet mediaJafary MAGARI tweet mediaJafary MAGARI tweet media
Indonesia
0
0
4
79
Jafary MAGARI retweetledi
Boniface Chengula
Boniface Chengula@bohny_chengula·
Jamaa kawasemea watanzania ukweli.
Filipino
54
226
862
45.6K
Jafary MAGARI retweetledi
Williard
Williard@prolific_88·
Winger wa dubai anae lala kibarazani amedeliver tena, jana nimelipa leo nimepokea ni siku mbili tu mzigo ushafika. Nitafutieni hao maplayer sasa nianze kutoa somo. Thanks Mwaikanjo @gabyconscious
Williard tweet mediaWilliard tweet media
Indonesia
6
17
123
12.8K