gery teacher

6.6K posts

gery teacher

gery teacher

@gery_Teacher

Ardhi University Alumni | Teacher | Land Economist and Consultant in Real Estate | | Ex -Vice Pesident ASSOCIATION OF REAL ESTATE PROFESSIONALS | Free Thinker |

Katılım Ağustos 2019
539 Takip Edilen231 Takipçiler
#yulebro
#yulebro@Kamnyeso·
@TweveDevota Unaiba mzigo mrefu mpaka hakimu anatamani mgawe pasu pasu 😹
Filipino
2
0
1
118
DevotaTweve
DevotaTweve@TweveDevota·
Ukipiga bilion hata 100 unainjoi tu kitaa sasa ole wako upige milion 5 jela inakuhusu.
Filipino
10
5
96
3.4K
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Mheshimiwa Rais SAMIA SULUHU HASSAN nakuomba kwa TAADHIMA KUBWA, usikubali Serikali yako ICHAFUKE KWA UPUUZI kama huo 👇.Haiwezekani HAKI za YATIMA zichezewe na watendaji WALA RUSHWA. Kamishina wa Ardhi Dar es Salaam anapaswa KUFUKUZWA KAZI haraka ili KULINDA HESHIMA YA SERIKALI
Peter Madeleka tweet media
हिन्दी
12
6
53
6K
gery teacher retweetledi
Haulay
Haulay@Positivenga1·
Duniani ukiwa hauna akili hakuna mwenye shida na wewe. Ukitaka shida na watu we jaribu kuwa na akili au kutumia akili zako vizuri.
Indonesia
16
118
563
13.1K
gery teacher
gery teacher@gery_Teacher·
@EduTalkTz Onesmo, watu wengi wameuwawa na wanauwawa kwa kuwalazimisha kumuogopa Mungu. Tumechelewa sana... Kwa sauti ya magufuli
Filipino
0
0
0
77
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Kwa maelfu ya miaka tuliyoishi hapa duniani wanadamu tulishindwa kufanya chochote cha maana zaidi ya kubishana na kuuana kumpigania Mungu. Fikra za udadisi zikazimwa, watu wakalazimishwa kuamini story za Mungu pasipo kuhoji. Theolojia ikawa mawazo pekee yasiyopingwa kwa hofu ya Mungu. Tukaendelea kuuawa kwa magonjwa, majanga, na kuishi maisha duni ya tabu na mateso kwa sababu tu ya fikra mgando. Tuliishi maisha ya tabu na mateso makubwa kwa miaka kibao yote kwa sababu ya kukaririshwa story za Mungu na kulazimishwa kuziamini. Leo miaka michahe tu baada ya scientific revolution, binadamu anafanya mambo makubwa kuliko kawaida. Tunatibu magonjwa, tumeongeza umri wa kuishi, tumepunguza umaskini, tumepunguza vita na ushenzi wa kuuana, tunawasiliana kwa simu, tunabrowse mitandao, tunasafiri kwa ndege, treni, na magari ya kisasa, tunatabiri hali ya hewa, tunatuma vyombo kwenye anga za mbali, na mengine kibao. Story za Mungu na ubabe wa Kanisa vimetuchelewesha sana, leo tungekuwa mbali mara dufu.
Indonesia
15
4
20
1.3K
elyneema yuda🇹🇿🇹🇿
Mabinti mnaojipanga usiku wa manane barabarani mitaa ya tabata mnachakata uuzaji wa viungo vyenu vya mwili kirahisi sana.Mwagela soni.
Indonesia
1
0
2
136
gery teacher
gery teacher@gery_Teacher·
@EduTalkTz Onesmo, we can not just produce mobile phone because we have that ingredient BUT we could produce if we have TECHNOLOGY. so let shape our system to encourage innovation.
English
0
0
0
6
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Kiswahili chetu tu tumekataa kukitumia kama lugha ya kufundishia watu wetu kwenye shule zetu, itakuwa cobalt?
(---) Onesmo Mushi tweet media
Indonesia
2
5
54
1.8K
JohnDoe
JohnDoe@mad_genius6·
@fadhilikangusi Hapa nimekujibu, na ukitaka kupata isight zaidi, anza kusoma Gods Wisdom. Ama puprose ya Mungu kwa Mwanadamu na viumbe wengine, Majibu yapo wazi.
Filipino
1
1
1
44
𝐓𝐡𝐞 𝐇𝐢𝐦.
𝐓𝐡𝐞 𝐇𝐢𝐦.@Gaspinho15·
Aiseeeh...🙌🙌 Jamaa anayeonekana kama Chizi kakutwa na Bastola...Duuuh.🙌🙌
Indonesia
13
18
88
11.1K
Anna Tibaijuka
Anna Tibaijuka@AnnaTibaijuka·
RIP Mhe Lukuvi. Mama Germina na familia, Mungu awape nguvu. Kwa miaka 10 pamoja Bungeni na kwenye NEC tulifundishana mengi: ukinieleza hali halisi ya MFUMO na mimi nikihimiza kuwa "WE ARE FIGHTING POVERTY NOT THE POOR" sentensi iliyokufurahishaga sana ukinitania kuwa ni mwanaharakati wa kudumu. Zaidi tulibishana sana kuhusu ujenzi wa depot ya mabasi ya mwendo kasi hapo Jangwani. Wewe ukiwa Ofisi ya mhe Waziri Mkuu Pinda ulitaka kuendelea na ujenzi hapo Jangwani tusichelewe. Mimi nilionya kwamba ni environmental hazard na itakuwa hasara kubwa kwani patafurika tu. EIA ilitolewa kimakosa na Waziri wa Ardhi ana mamlaka kamili juu ya maeneo oevu. Nikasimamisha ujenzi na kwa kuwa Rais Kikwete alishanipa assurance kuwa pasijengwe tukawatafutia sehemu nyingine huko Ubungo Maziwa kuhamisha kituo. Ukaniangalia, nikiri kwa amusement na kunikumbusha "PROFESA, SUBIRI, PATAJENGWA TU na MFUMO". And sure enough baada ya wiki 2 hivi nikaona ujenzi unaendelea bila kibari cha Wizara ya Ardhi. Hali halisi. Baadaye ulipoteuliwa kunirithi kuwa Waziri wa Ardhi tarehe 26.01.2015 nilikukabidhi ofisi kwa andiko maalum na matumaini makubwa ya kuendeleza flagship projects zilizokuwa katika hatua mbali mbali za utekelezaji: Kigamboni New City; DSM Masterplan; Makongo Juu Redevelopment Scheme; Wazo Hill/Bunju Resettlement program; Bagamoyo Eco Energy; Land Tenure programs mawilayani ikiwemo Loliondo Village Survey Project kukomesha migogoro na hata NHC Special Programs Audit ya miradi kama wa Kawe kujua ufanisi wake. nkd. Hivo tulifanya kazi pamoja, kadri ilivyowezekana, ni masikitiko kuagana ghafla hivi. Muumba wetu Akujalie raha ya milele.
Anna Tibaijuka tweet media
Filipino
64
49
389
35.3K
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿
Mwajiri mmoja aliamua kuwalipa wafanyakazi wake mishahara yao ya mwaka mzima, kama sehemu ya motisha. Kilichotokea ni hadithi ndefu sana.
Indonesia
15
22
365
25.3K
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Kuna uhusiano wa karibu sana kati ya umaskini na imani za dini. Mara yako ya mwisho kumwona tajiri akiangushwa na mapepo ni lini?? Karl Marx aliwahi kusema dini ni kama sindano ya ganzi hivi au madawa ya kulevya, inasaidia sana kukubaliana na hali. Dini kwa kiasi kikubwa inafanana na kile kidonge cha SOMA kwenye Brave New World ya Audley Huxley, ukilia kinakupooza. Ukishaambiwa “kuna maisha mazuri zaidi baada ya kifo,” iwe utapewa mabikra kibao au uzima wa milele, unasahau kabisa umaskini. I mean hausahau lakini angalau unakuwa tayari kuvumilia. Tena kama haitoshi unaaminishwa kabisa kuwa Mungu ndio mgawaji wa kila kitu; yeye ndio ameamua wewe ufe maskini huku Ridhiwani Kikwete akiogelea kwenye utajiri unaotokana na jasho lako. Ukiuliza kwa nini amempa yule akaninyima mimi? Jibu ni jepesi: NJIA ZAKE HAZIELEZEKI; YEYE HUMPA AMTAKAYE.
(---) Onesmo Mushi tweet media
Filipino
13
4
25
2.1K
gery teacher
gery teacher@gery_Teacher·
@mad_genius6 Injili imeandikwa na watu/kikundi cha wana philosoph wazuri tu. Lkn Bado ni watu walioandika. Kama mm nimaumbwa na Mungu na Mungu yupo ndani yangu basi injili ipo ndani yangu. Hakuna mtu anamuambia mtoto kuwa asingate ziwa. Anajua ndipo anapata maziwa.
Indonesia
1
0
0
98
JohnDoe
JohnDoe@mad_genius6·
@gery_Teacher Soma vizuri injili, fatilia pia kusudi la kuishi kwako.
Indonesia
1
0
0
9
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Dr. HAMISI KIGWANGALA ni Mnyamwezi mwenzangu. Yeye natoka NZEGA na mimi natoka CHEYO. Hapo 👇 anathibitisha kuwa; “KUJIAJIRI SIYO RAHISI HATA KAMA ULIKUWA WAZIRI”.😂😂
Peter Madeleka tweet media
Filipino
60
27
315
29.7K