jvnior4real retweetledi
jvnior4real
2.2K posts

jvnior4real
@getleyyy
i can act thug bt nvr joke GOD💫
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Şubat 2022
457 Takip Edilen395 Takipçiler
jvnior4real retweetledi
jvnior4real retweetledi

Real conversation have started
Digital Nomad (Your Fav Dijito Bro)@mafolebaraka
😂😂😂Now mnasapoti Biz ya MwanaCCM, halafu mnataka mimi nisibonge event ya government.
English

@Mzungu_pori1 @capitanpapilon izo zote ni biashara anko inshort tu vijana hatuna msimamo kila mtu afanye anachoona sahihi tuache kupangiana
Indonesia

@getleyyy @capitanpapilon Yaan upush reli ufananishwe na anayefanya baishara😃😃💔💔 yaani wapushi # mnataka kujifananisha na wanaofanya biashara?
Indonesia

@Mwinshehe07 Na wanao kina Vina ndo wanataka kujipa huo umuhimu kwamba wakifanya wao ni sawa ila wengine ni dhambi

Indonesia

@Mzungu_pori1 @salim_alkhasas hamna mwenye wivu wa maendeleo kuna watu walikuwa wanafanya mishe na wanaccm humu na wao ndo walikuwa wa kwanza kuwatukana rn wao wamepiga nao mishe wako sahihi izo ni double standards
Filipino

@getleyyy @salim_alkhasas Huwez kukunja maisha yako binafasi na harakat za siasa huyo ccm akija dukan kwako hutamuuzia? Hapo watu wanamlaumu taivina ni wivu tu wa maendeleo kusema atakuwa kapiga hela
Indonesia

@MangiwaKwanza1 😂😂mbona wasanii mlitaka wasisapotiwe adi kwenye ngoma zao za kawaida
Indonesia

@capitanpapilon @Mzungu_pori1 Basi wasingekua wanawasema na kuwatukana watu wengine ambao walikua wanafanya kazi na wanaccm
Indonesia

@Mzungu_pori1 Ukiwa mtafutaji kuna vitu haviepukiki ni vile haviletwi humu tu ila 100% ndio watu tunaokutana nao kwenye kusaka ugali
Indonesia

@Mzungu_pori1 @salim_alkhasas Sawa tufanye wamesuppotiana lakini hao sindo walikuwa wanasema they won’t support mtu yeyote anayejihusisha na CCM.
what happened sasa kama ndo ivo ata denge was right
Indonesia

@Mzungu_pori1 @salim_alkhasas huko kufanya nae kazi sindo support iyo
Filipino

@salim_alkhasas Vunjabet kwani ameenda kussuport au amelipwa afanye kazi?
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Kuna kipindi humu - Mtu alikua akitukana tu Ccm akapata LIKES 100+.
Tayari Anaanza kujiita MWANAHARAKATI… ACTIVIST nk…
Tukawauliza mnajua maana ya UANAHARAKATI Au Nyie Wanaharakati UCHWARA?
Ila nashkuru leo Mmeanza kujikataa wenyewe 😂😅😅🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Indonesia

@Mwinshehe07 @Thereal_taivina Issue si kuwa mwanaharakati msibadilishe upepo
Ishu iliyopo ni kuvunja makubaliano ya kuwakataa CCM na washirika wake kma Vina yupo sahihi sabab anatafuta pesa basi ata Denge na chawa wengine wapo sahihi
Acheni double standard za kikuma
Filipino

Taivina hajawahi kujitangaza kama mwanaharakati hata chama chake cha siasa. tunachojua sisi jamaa amekuwa akisimama na watu kutetea haki na kusaidia wahitaji
Unachofanya nikama kumuangushia jumba bovu ila watu wanamjua humu taivina ni mtu wa namna ni ngumu kumuangusha
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿@EsirEid
#TajiriLaKihaya WANAHARAKATI UCHWARA…. Walituaminisha kwamba Tuachane na Wana CCM na Products zao… Hadi kutulazimisha Tuwa BLOCK Wana ccm mtandaoni… kuachana na Ushabiki wa mpira wa SIMBA/YANGA…. Ila Kuanzia leo kuendelea hao hao ndio Watakuwa wanaPromote VUNJABEI BETTING! Ikumbukwe VunjaBei ni CCM lia lia… amechanga hela kibao tu kwenye kampeni na hata juzi tu alikua anawania UBUNGE kabla ya kukatwa 😅 NJAA na MSIMAMO havikai meza moja 😂🙌🏽
Indonesia

@Sativa255 Mlikuwa mnasema watu wa cancel wasanii humu leo ndo nyie mnafanya nao kazi khaaaa😂😂😂😂
Indonesia
jvnior4real retweetledi
















