gnancy255 retweetledi

Bangi ni dawa ya kulevya inayotokana na mmea uitwao Cannabis sativa. Majani na maua ya mmea huu hukauka na kuvutwa kama sigara au kuchanganywa na dawa nyingine. Bangi huathiri bongo na huweza kubadilisha namna mtu anavyotafsiri uhalisia wa mambo.
#NiulizeNikujibu_DCEA

Indonesia




























