gnancy255

3.1K posts

gnancy255 banner
gnancy255

gnancy255

@gnancy255

Nancie

Katılım Ekim 2024
103 Takip Edilen132 Takipçiler
gnancy255 retweetledi
Matokeo ChanyA+
Matokeo ChanyA+@matokeochanya·
Bangi ni dawa ya kulevya inayotokana na mmea uitwao Cannabis sativa. Majani na maua ya mmea huu hukauka na kuvutwa kama sigara au kuchanganywa na dawa nyingine. Bangi huathiri bongo na huweza kubadilisha namna mtu anavyotafsiri uhalisia wa mambo. #NiulizeNikujibu_DCEA
Matokeo ChanyA+ tweet media
Indonesia
1
18
23
352
gnancy255 retweetledi
by_.essy
by_.essy@EssyMichael26·
𝗛𝘂𝘂 𝗻𝗶 𝘂𝘀𝗵𝗮𝗵𝗶𝗱𝗶 𝗸𝘂𝘄𝗮 𝗺𝗸𝘂𝗹𝗶𝗺𝗮 𝗮𝗻𝗮 𝗻𝗮𝗳𝗮𝘀𝗶 𝘆𝗮 𝗸𝘄𝗲𝗹𝗶 𝗸𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗸𝘂𝗷𝗲𝗻𝗴𝗮 𝘂𝗰𝗵𝘂𝗺𝗶 𝗰𝗵𝗶𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗦𝗲𝗿𝗶𝗸𝗮𝗹𝗶 𝘆𝗮 𝗮𝘄𝗮𝗺𝘂 𝘆𝗮 𝘀𝗶𝘁𝗮. #TanzaniaYaSamia #KaziNaUtuTunasongambele Taifa Moja. Maendeleo Zaidi. Kazi Zaidi.
by_.essy tweet media
Indonesia
0
18
15
553
gnancy255 retweetledi
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Leo nimepata heshima kubwa ya kutunukiwa Tuzo Maalum ya Heshima na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kama njia ya kutambua kazi kubwa inayoendelea kufanywa kuimarisha ustawi wa wananchi na maendeleo ya Taifa. Sauti ya Bunge ni sauti ya wananchi. Ahsanteni sana. Hakika, kidole kimoja hakivunji chawa. Mafanikio tunayojivunia leo si nguvu, uhodari au maarifa yangu pekee, bali ni matokeo ya mipango mbalimbali ya nchi yetu na maelekezo ya Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2020-2025. Aidha, ni matunda ya kazi kubwa inayofanywa na Bunge letu ya kuisimamia na kuishauri Serikali. Nimepokea tuzo hii kwa niaba ya Watanzania wote. Ninawashukuru nyote kwa kazi kubwa tunayoendelea kuifanya kwa pamoja kuleta maendeleo kwa Taifa letu, huku tukibaki kuwa wamoja, wenye amani na mshikamano.
Samia Suluhu tweet media
Indonesia
741
242
1.7K
226.6K
gnancy255 retweetledi
SAMIA APP
SAMIA APP@Samia_App·
TAANZANIA NAMBA 11 KWA IDADI YA WALINDA AMANI Tanzania imefanikisha ushiriki wake katika juhudi za amani na operesheni za kulinda amani kimataifa. Kufikia Mei 2025, Tanzania ilikuwa na walinda amani 1,890 na kushika nafasi ya 11 kati ya nchi 119 zinazochangia walinda amani katika misheni za ulinzi wa amani za Umoja wa Mataifa. Haya ni Mafanikio ya Bajeti ya serikali kwa mwaka 2024/25 kwa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
SAMIA APP tweet media
Indonesia
6
24
31
287
gnancy255 retweetledi
millardayo
millardayo@millardayo·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Viongozi wapya katika taasisi mbili muhimu za umma, ikiwa ni sehemu ya maboresho ya kiuongozi yanayolenga kuimarisha utendaji wa taasisi za Serikali. Katika uteuzi huo, Abdul-Razak Badru ameteuliwa kuwa Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) ambapo Kabla ya uteuzi huo Badru alikuwa akihudumu kama Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) na teuzi wake unakuja baada ya nafasi hiyo kushikiliwa na Dkt. Elirehema Joshua Doriye ambaye uteuzi wake umetenguliwa. Wakati huo huo, Dkt. Rhimo Simeon Nyansaho ameteuliwa kushika wadhifa wa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) na kabla ya uteuzi huu Nyansaho alikuwa Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara katika Benki ya Azania. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
14
5
177
18.4K