
Jean-Bosco
231 posts

Jean-Bosco
@hajeabos2
Researcher and Lecturer in Peace and Development


« Le Rwanda est trop stratégique pour être abandonné. » « Les sanctions américaines contre certains responsables rwandais n’ont pas remis en cause le fond de la relation entre Washington et Kigali. La signature d’un accord de coopération nucléaire civile, tout comme l’intérêt américain pour des secteurs stratégiques comme le tungstène, montre que le Rwanda demeure un partenaire trop stratégique pour être abandonné par les États-Unis. » – Rutendo Matinyarare @matinyarare








Leo, Ikulu jijini Dar es Salaam, nimempokea Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame, aliyewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku moja. Tanzania na Rwanda si tu ndugu na majirani, bali pia ni washirika wa kimkakati wenye uhusiano unaoendelea kukua kwa kasi. Takribani asilimia 70 ya shehena ya Rwanda inapitia katika bandari za Tanzania. Biashara kati ya nchi zetu mbili imefikia shilingi bilioni 644 mwaka 2025, na uwekezaji kutoka pande zote mbili unaendelea kuchochea ajira na ukuaji wa uchumi kwa wananchi wetu. Katika mazungumzo yetu, tumekubaliana kuongeza kasi ya ushirikiano kwa kuondoa vikwazo visivyo vya kikodi, kuimarisha biashara na uwekezaji, na kuwekeza zaidi katika miundombinu ya usafiri na usafirishaji, mawasiliano, pamoja na nishati ya uhakika. Aidha, tutaimarisha ushirikiano katika masuala ya ulinzi, usalama na ajenda za kikanda na kimataifa. Karibu tena Tanzania, Mheshimiwa Rais.




























Rwanda's Minister of Foreign Affairs and International Cooperation has said Burundi would find it "difficult" trying to engage in African Union-led mediation of the conflict in eastern DR Congo. newtimes.co.rw/article/33449/…









