Sabitlenmiş Tweet
Havymana
889 posts

Havymana
@havymana1
#Muhas Alumni 👨⚕️ #manchester united 🔴
Katılım Temmuz 2021
782 Takip Edilen698 Takipçiler
Havymana retweetledi

AINA TATU ZA WANAUME
Kwa nini unataka kumuoa?
• MPUMBAVU:
Namuoa kwa sababu nampenda sana
Huyu manzi anayajua mapenzi.
• MWANAUME ALIEISHA KABISA
Nataka kumuoa kwa sababu ya muonekano wake.
Ana umbo zuri na kifua kilichojaa.
Namuoa kwasababu nilikutana naye kanisani.
• MWANAUME MWENYE HEKIMA:
Namuoa kwa sababu ananiheshimu na kunitii.
Namuoa kwa sababu ni binti mdogo, mwenye asili ya kike, na ni bikira.
Namuoa kwa sababu anaweza kuwa mama bora kwa watoto wangu.
WEWE UPO KUNDI GANI?
Filipino

@ndulele_nyeusi @havymana1 Ngoja kwanza umesoma mtwango? Maana hii story ni ya mtwango pia
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Hapa nipo Chuo 2nd Year…
Madem wote wa Chuo walikuwa wanakuja kwa Tajiri Mtoto - Mhaya wa Muleba… Sharo Milionea wa Kuchuja😂😅

Indonesia

NYAKATI NGUMU HAZIDUMU.
HILI NALO LIMEPITA—ASANTE MUNGU WANGU.
Account zangu rasmi ni hizi MBILI TUU.
@/tiva_talks @/tiva_familly
AM BACK…!🔥🔥🔥
#tutakuwepo🫵🏾😎
Indonesia


Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kilwa Kusini Mkoani Lindi Selemani Said Bungara maarufu Bwege amefariki mchana huu wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya binafsi iliyopo Kigamboni Jijini Dar es salaam,
Kaka wa marehemu aitwaye Abbas S.A. Bungara amesema Bwege alifikishwa Hospitalini hapo kwa ajili ya kuendelea na matibabu ya kuchuja figo (Dialysis) na ndipo umauti ulivyomfika.
“kwa sasa mipango ya mazishi inaendelea na taarifa zaidi zitatolewa hapo baadaye ila msiba kwa sasa upo kwangu Mimi Kaka yake maeneo ya Temeke”
Bwege amewahi kuwa Mwanachama wa CUF, ACT Wazalendo na hivi karibuni alitangaza kujiunga na CHADEMA ambapo atakumbukwa kwa jinsi ambavyo siku za mwisho za uhai wake alikuwa anahudhuria Mahakamani kufuatilia kesi za Tundu Lissu licha ya kuwa kwenye wheel chair baada ya kukatwa mguu kutokana na maradhi yaliyokuwa yakimkabili.
#MillardAyoUPDATES

Indonesia

@Kariakoo_ lakini ukisema mbususu hata haiji ila ukisema "kuchataka mbususu" aaah wee😂😂😂😂
Indonesia















