iamgudluck92

2.2K posts

iamgudluck92 banner
iamgudluck92

iamgudluck92

@iamgudluck92

East Africa Artis Music band CEO African Music Chelsea fans & Messi Father of Briana,Ritta & Ashley, Eva and Brington.

Katılım Haziran 2024
763 Takip Edilen145 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
iamgudluck92
iamgudluck92@iamgudluck92·
Bila hawa wanaume tungepigwa sana starehe ya muda mfupi mtu una nunua nyumba Gari unampangia unamvalisha unalea ukoo mzima kisa upwiru kibaya zaidi bikra hana 😂 Ila hapa buku mbili unakata kiu una sepa wabarikiwe sana
iamgudluck92 tweet media
Indonesia
1
1
11
369
Sekenke One 🌻
Sekenke One 🌻@AlexSamoja·
Amkeni muende kazini, huku nyuma wake zenu watupe chapati zilizobaki na chai, Msipoondoka tutakufa njaa Wanetu
Indonesia
14
21
34
284
Sekenke One 🌻
Sekenke One 🌻@AlexSamoja·
Anaandika MALISA GJ. Msajili Msaidizi wa vyama vya siasa, Bwana Sisty Nyahoza ameandika barua akitishia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kile alichokiita kukiuka sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992, CAP 258 kama ilivyofanyiwa marekebisbo mwaka 2023. Bwana Nyahoza ametaja alichokiita makosa matatu ya Chadema kuwa ni; 1. Eti Makamu Mwenyekiti wa Chadema taifa, John Heche alitoa wito wa kuitisha maandamano ikiwa Lissu hataachiwa huru. 2. Nyahoza anadai eti Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Korogwe, Ndugu Oliver Kisaka alifanya mkutano na wanachama wa jimbo la Kibamba na kuwapongeza kwa kuandamana October 29, 2025. 3. Tatu, Nyahoza anadai eti tarehe 05 May 2026, Chadema ilitoa Press release yenye maneno ya uchochezi yasemayo "Samia Suluhu ni mtawala wa mabavu ambaye hajachaguliwa na wananchi wa Tanzania.” Kwa sababu hizo 3, Sisty amepiga mkwara eti Chadema ijieleze kwa maandishi kufikia ya tarehe 20 Mei 2026 saa 9 alasiri. Nini maoni yako??
Sekenke One 🌻 tweet media
Indonesia
3
7
18
1.7K
Fortunatus Buyobe
Fortunatus Buyobe@fbuyobe·
Mfano mwanaharakati aseme ana taarifa za kiintelejensia kuwa karatasi za ripoti ya tume ya Jaji Chande zimesafirishwa hadi Zanzibar kwenda kuchomwa moto Mimi nikitokea nikamuuliza kuwa kwani Tanganyika hakuna moto wa kutosha kuunguza karatasi hizo? Unajibiwa wewe sio mpambanaji
Indonesia
50
30
461
72.9K
iamgudluck92
iamgudluck92@iamgudluck92·
Moja ya kauli za kijinga na za watu wavivu na wapenda starehe "Utaskia kila mwaka mwakani lazma nifanye lazma ni jenge lazma ninunue kile lazma nikuze biashara yangu" Nacho juwa kesho yako inaanza kujengwa Leo yani wewe mpaka mwaka uanze January ndio ufanye utasubiri sana 😁
Indonesia
0
0
0
9
iamgudluck92
iamgudluck92@iamgudluck92·
Unajiuliza mbona baby anaikatikia sanaa kumbe mwenzio anakuna fangasi zake 😛
Filipino
0
0
0
19
iamgudluck92
iamgudluck92@iamgudluck92·
Kama mwanaume wako haja kwambia anataka mtoto epuka kumbebea Mimba Upo na mwanaume wako yeye yupo kwa ajili ya starehe sio kwa ajili ya kulea wewe unabeba Mimba Ukifanya hivyo idadi ya single mama itapungua kwa Kiasi kikubwa Kwa kifupi Acha shobo kwa mtu asie mlezi
Filipino
0
0
0
9
iamgudluck92
iamgudluck92@iamgudluck92·
Hapa ni dunian kila mtu ana ubongo wake na fikra zake so hwezi kufanya kila mtu awaze unacho kiwaza wewe Morning friend
Indonesia
0
0
0
5
KIDUKU OFSA NGIRI
KIDUKU OFSA NGIRI@Innocen89950594·
@TonnyUnfiltered Anakaa Style Gani Ili Anyoe? Dog Style 🤔 Vuzi La KINYEO Ni Ulinzi Wa Kinyeo SHOGA Pekee Ndio Ananyoa Hata Mwanamke Ambaye Hatoi KINYEO Hapaswi Kunyoa Vuzi La Kinyeo KINYEO Ni Nyara Ya Serikali
Indonesia
4
0
25
2.7K
SPOON
SPOON@TonnyUnfiltered·
Ni sahihi kwa mwanaume kunyoa mavuzi ya kwenye kinyeo?
Indonesia
50
28
250
25.5K
Mr. CEO 💰
Mr. CEO 💰@MrCEO001·
Mikoa ambayo ina masikini wengi zaidi nchini Tanzania 90% ya watu wake ni masikini 1. Singida 2. Kigoma 3. Geita 4. Katavi 5. Dodoma 6. Shinyanga 7. Simiyu 8. Mara Kwa kifupi huko kuna watu hawana hata shilingi mia mbovu 🙂🙌 Source: Tanzania National Bureau of Statistics
Indonesia
56
34
153
11.1K
KIDUKU OFSA NGIRI
KIDUKU OFSA NGIRI@Innocen89950594·
Mzee Wakunywa POMBE Kali Kwa Mwonekano Huu Nadhani FIGO Zimekufa Kabaki ZIDANE
KIDUKU OFSA NGIRI tweet media
Indonesia
68
26
528
48.3K
SportsArenaTz
SportsArenaTz@SportsarenatzTz·
💬 Edo Kumwembe: “Yanga walizua kituko cha mwaka kwa kwenda kubadilishia nguo zao katika nyumba ya mtu. Umewahi kuisikia duniani hii? Zamani mechi za uswahilini zilikuwa hizi. Mechi za mtaani. Mnakutana kwa tajiri yenu kwenda kubadilisha nguo. Yanga waliamua kwenda kubadilishia nguo huko. Wakati wa mapumziko wakaenda huko. Mpira ulipoisha wakaondokea huko. Wanajua haifai. Wanajua wataadhibiwa. Lakini nani anajali?
SportsArenaTz tweet mediaSportsArenaTz tweet media
Indonesia
34
36
878
48.8K
iamgudluck92
iamgudluck92@iamgudluck92·
Unakuta single Mama katoa Mimba Zaidi ya tano afu anakuja kutuimbia humu wanaume wabaya Sasa mbaya nani? Wew ulie uwa watoto watano kwa kutaka uendelee kubaki bed to bed midofido au mwanaume alie kubwaga
Filipino
0
0
0
16
Ze Planmaster
Ze Planmaster@ZPlanmaster·
Mtumishi yupi ni tapeli zaidi kati ya hawa?
Ze Planmaster tweet media
Indonesia
320
78
506
68.9K
iamgudluck92
iamgudluck92@iamgudluck92·
Wanawake wasio olewa au walio achika na masingle Mama ndio chanzo kikuu Cha chuki duniani wanapenda kuwa dharau walio olewa Wanatembea na wanaume za watu ovyo na ndio chanzo Cha mgogoro familia nyingi Wanapandikiza chuki kwa watoto hawa masingle mother yana roho mbaya sana 😣
Indonesia
0
0
0
15
Richard Marwa
Richard Marwa@RichardMar36114·
@SwahiliRealTalk Dawa yao ni ndogo sana chukua mafuta ya taa chumvi na sabuni ya unga vichanganye pamoja vichuje kisha tafuta spray tia humo jaza vizuri kisha wapulizie kwenye makazi yao utawaona tena
Indonesia
2
0
7
2.2K
Swahili RealTalk🇹🇿🇦🇺
Swahili RealTalk🇹🇿🇦🇺@SwahiliRealTalk·
Naomba ushauri wenu wakuu nimetumia dawa zote lakini hawa kunguni bado wananisumbua sana geto 🥹 nifanyaje ili waishe wote wakuu 🥲
Swahili RealTalk🇹🇿🇦🇺 tweet media
Indonesia
243
43
311
55.7K
Sekenke One 🌻
Sekenke One 🌻@AlexSamoja·
Unatumika kuwasifia na bado wanakutukana na huna cha kuwafanya na kesho utawasifia na kuuchafua upinzani, 😄 🤣,
Sekenke One 🌻 tweet media
Indonesia
13
9
77
5.4K
Mangi wa Kichaga
Mangi wa Kichaga@MangiwaKwanza1·
Nakumbuka 2020 tuliwahi kamatwa kisa hatujavaa element mitaa ya Manzese, wakachukua boda zetu tukapelekwa kituoni tukawekwa sero tukaambiwa tutoe faini 50k kuna boda mmoja akasema ambaye ajiwezi atoe hiyo pesa kama unaweza kukaza kaza watatutoa wenyewe hawa bila pesa, tulikamatwa saa tano mpaka saa kumi bado tupo ndani kmmk wahuni baadhi uvumilivu ukawashinda wakaanza kuomba simu washikaji zao wawatumie pesa, tukabaki mtu tano 🤣 mida saa tatu usiku afande anakuja kwa hiyo nyie ndo amna pesa mtalala hapa, kuna boda mmoja akasema tuna pesa za boss we tuachie tu, afande akatuangalia akaishia kucheka akatutukana tu wasenge nyie siku nyingine mfate sheria mmeona mmejiaribia siku akatuluhusu tuondoke😆
Narrowbeefly@Narrowbeeflying

Polisi wakikuweka Sero halafu wakajua kwenu hamna ela hawakupi simu uwapigie nyumbani, utawekwa viboko mpaka ushangae 😂😂

Indonesia
11
12
230
28.3K
KIDUKU OFSA NGIRI
KIDUKU OFSA NGIRI@Innocen89950594·
@prossoff Wewe Huingizi Kidole Lakini Yeye Anajitia Vidole Kukidhi Haja (NYETO) Wanawake Wako Tofauti Wapo Wanaopenda Kutiwa Vidole Ndani Nawapo Wanaopenda Kusuguliwa KISIMI Na Kidole Huku Finger Nyingine Ikiwa Ndani Nyingine Kwny KINYEO Huku Unamnyonya Maziwa Taratibu Nakumpiga Romance
Indonesia
1
0
13
950
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Sijajua kama nazingua au nipo sawa ila huwa siingizi kidole katika maeneo ya ndani ya virginia. Huwa nafeel kwamba ni dis respect to the owner and am not thinking of Fingering kabisa.
Filipino
86
48
596
35.2K