🕯 🕯🕯🕯 retweetledi
🕯 🕯🕯🕯
130.5K posts

🕯 🕯🕯🕯
@jacksoncharz
♤ Mechanics Engineer ♤ Hustling Is The Rule # 1♤
Katılım Ekim 2012
2.2K Takip Edilen5.7K Takipçiler
🕯 🕯🕯🕯 retweetledi

Umewahi kufika jimboni kwake au unafuata mikumbo? Acheni sifa za kipuuzi!
Temidayo@thisistemidayo
Mzee Lukuvi was a good man, an open minded leader🙏🏼 RIP.
Indonesia
🕯 🕯🕯🕯 retweetledi

Marehemu enzi za uhai wake
Baada ya Idd Amin Mama kuuwa Watanganyika zaidi ya elfu kumi na kujiweka madarakani bila kupigiwa kura.
Lukuvi akiwa Bungeni anatamba kabisa kwamba Wabunge wote wamshukuru Idd Amin Mama maana kawabeba kwenye Uchaguzi.
Idd Amin mama aliwapa Ubunge haram wote hawa baada ya kufanikiwa kumwaga damu za Watanganyika zaidi ya elfu kumi.
Kwahiyo hapa walikuwa wanamshukuru Idd Amin mama kwa kumwaga damu za ndugu zetu ili wao wawe wabunge.
Halafu kuna mtu anasema nimuheshimu marehemu wewe unaweza kumheshimu mtu aliyeuwa familia yako..?
Indonesia
🕯 🕯🕯🕯 retweetledi
🕯 🕯🕯🕯 retweetledi

Wasenge hao siku ya 6 leo hawajarudisha pesa yangu licha ya kuwatumia email na kwenda tawini.
Staff wa bank nyingi wanahisi wapo kwa interest za kampuni sio wateja🚮
Franklin Tissa@franklin_tissa
Benki ya Kijani iache kampeni nyiiingi zisizo na tija, wajikite pia kwenye kuboresha huduma kwa wateja. 🙏
Indonesia
🕯 🕯🕯🕯 retweetledi
🕯 🕯🕯🕯 retweetledi

Mwanasiasa na Msanii wa Bongo Fleva, Joseph Mbilinyi (Sugu) ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa kwenye mahojiano na Mwananchi Digital, mazungumzo ambayo yamechapishwa Machi 23, 2026.
Fuatilia zaidi jamii.app/SuguDolaCCM
#JamiiForums #Utawala #Governance #Siasa
Filipino
🕯 🕯🕯🕯 retweetledi
🕯 🕯🕯🕯 retweetledi
🕯 🕯🕯🕯 retweetledi

Open minded anastaafishwa na KIFO? Miaka 30+ anajiona yeye bora tuu?
Temidayo@thisistemidayo
Mzee Lukuvi was a good man, an open minded leader🙏🏼 RIP.
Indonesia
🕯 🕯🕯🕯 retweetledi

Nchi yenyewe yakuipigania iko wapi Broo !!
Sean 🦩@iboysean
KELVIN JOHN NA SELEMANI MWALIMU HAMNA MASTRAIKA HAPO
Indonesia
🕯 🕯🕯🕯 retweetledi
🕯 🕯🕯🕯 retweetledi

CCM haijawahi kuwaza future generations hata siku moja , isipokuwa uchaguzi tu, mambo mengi yanayotokea ktk utawala wao ni basic issue tu. Umetumika vibaya ktk kila nyakati za utawala wa CCM , kudhalilisha, kuumiza na mabaya mengine mengi kama ambayo USA waliyatolea tamko.
Anayekutumia wewe hawezi kuwa na maarifa ya kutosha kwa sababu wewe ni liability. Kuanzia wakati wa JK, Magufuli, na sasa Samia. Ulimgeuka yoyote mwenye heshima yoyote kutokana na interest na sio integrity na haki. Nafikiri wanaokutumia wanafurahishwa na uzembe wa fikra za aina hii. Hata hivyo mambo yatakuwa tofauti sana ktk siku za usoni. Nafikiri siku zote huko nje ya kuta za jela kwa bahati mbaya. Unapaswa kuwa jela.
Indonesia
🕯 🕯🕯🕯 retweetledi
🕯 🕯🕯🕯 retweetledi

Katika mahojiano hayo, Sugu ameeleza kuhusu matukio ya Oktoba 29, mwaka jana, akipendekeza njia ya kuliunganisha Taifa na kurudisha mshikamano ni kuwe na uwajibikaji, wakosaji wakiri, na Lissu, aliyekuwa mahabusu kwa kesi ya uhaini, aachiwe huru.
Oktoba 29, mwaka jana kuliibuka maandamano yaliyozaa vurugu na kusababisha watu kufariki dunia na wengine kujeruhiwa, kuharibu mali za watu binafsi na miundombinu ya umma. Hata hivyo, Rais Samia Suluhu Hassan ameunda tume ya kuchunguza kiini cha tatizo, inayotarajiwa kumaliza muda wake mwishoni mwa mwezi huu.
#mwananchiupdates
#tunawezeshataifa
Indonesia
🕯 🕯🕯🕯 retweetledi
🕯 🕯🕯🕯 retweetledi
🕯 🕯🕯🕯 retweetledi
🕯 🕯🕯🕯 retweetledi









