Hon. Short kibonge ●
3.5K posts

Hon. Short kibonge ●
@jayhappyness
usiniblock ni jokes tu😁, Mpishi Chuo cha Wanafiki Tanzania (CWTZ), i'm here to enjoy i don't seek followers
Katılım Ocak 2022
286 Takip Edilen286 Takipçiler

Niliwasimulia kuhusu huyu mwanangu aliekuta mkewake ni ameathirika wakati yeye hana then akaendelea kuishi nae. Mnakumbuka?
Mwamba hii kitu imemtokea sijajua kama kaukwaa tayari au niaje.
Alikaa kitandani siku tatu bila kuinuka.
Anachoma sindano yanakauka kauka.

ProsperNow.@prossoff
Naanza kuamini kwamba kuna wanawake wanadawa za kuwashika wanaume wao. Kuna mwanangu mmoja amepambana na mkewake katika kuugua. Mwanamke anaumwa mara kwa mara, baada ya muda akapima HIV akakuta positive. Msela akamuachia geto na watoto, ila now wanakaa pamoja tena. MADAWA.
Indonesia

@SeekNaturalLife Qbz 95 kule bagamoyo wanaita t*ko la tembo
Filipino

Hali ilivyo hivi sipatii picha siku itolewe taarifa amekufa mzito yoyote wa kaki, yani sio mitaani wala mitandaoni patachafuka bana yani isikiike tu vuup eti lets say mkanda maalamu amekatika aaagh patanuka
#KAMATAIFATUSAMEHEANE
Filipino

Nje ya kuremba sauti hakuna kitu Kiba anamzidi Diamond
Sean 🦩@iboysean
People who think Diamond is not naturally talented kuliko Mfalme hunistajaabisha sana, Anyways to each their own 😂
Indonesia

Msidhani huyu tu ndio hajui kuandika asilimia kubwa ya watu wa Pwani miandiko yao ipo kama wa Halima
Spana & V.A.R Movement@spana_Konki
Halima 😂
Filipino

Sina Sababu ya ku prove Kwa strangers ila nina uhakika idadi ya kadi za vyombo vya moto navyomiliki ni kubwa kuliko umri wako, Ask around wanaonijua watakwambia
Broke & Zero Aura (BZA)🍁@Kariakoo_
Kitu ninauwakika ni kua hujawai endesha gari but i can’t prove it
Indonesia

@MkulimaKante Kwa Mungu hyo service ni bure kabisaa ataamua yeye apasuke kwa mganga au free service.
Filipino

@cycleclement @Sativa255 Watu wanasema et kikubwa kafa😂
Eesti

@Sativa255 Swali ni kweli katutoka leo asubuhi ama alishatutoka tangu weekend ?.
Jina la bwana lihidimiwe !!.
Filipino

@iboysean Uko wap nkupe gharama mbaka nungwi zanzbar?
Filipino


@BlessdGrooveKid @Kilongi_theDawg Joined 2009, hiyo millennial generation inshort haina akili kichwani hawa ndo walituletea pepo la uchawa 😆
Indonesia

@AM_NIC3 Hapo kuna mawili, either kioo kimekufa au mashine ime react negative hizo Aseries za 500k kushuka chini sio za kuziamini.
NB: Yesu anakupenda
Filipino























