Malesho

2.3K posts

Malesho

Malesho

@joff_malenga

Katılım Ağustos 2022
705 Takip Edilen84 Takipçiler
Malesho retweetledi
Botlhale M. 💕
Botlhale M. 💕@Mashishi_B·
Unfortunately if you want to grow you need to be exposed to hard things. You need to wire your brain to think that you can actually bypass anything. You are most probably capable, you just have not tested that ability yet. Do hard things. 🤍
English
53
4.3K
17.5K
187.1K
Malesho retweetledi
Ramin Nasibov
Ramin Nasibov@RaminNasibov·
Funny how nobody’s questioning why AI is free.
English
2.3K
2K
16.4K
1M
Malesho retweetledi
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Waziri wa Michezo kwenye nchi maskini kama Tanzania anatembelea gari ya billioni moja na nusu—milioni elfu moja na mia tano. Kujenga boma la darasa Tanzania ni milioni 25.😎😎😎 Ngoja tumwachie Mungu kwanza!
(---) Onesmo Mushi tweet media
Indonesia
13
43
205
7.1K
Malesho retweetledi
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Mimi: Tanzania ilipaki wapi hapo katikati ikapitwa kwa kasi kiasi hiki? Mdau: Hapana, issue hapa ni strategiki lokesheni na ukoloni, umesahau zile SAPs? Zilituumiza sana! Mimi: Oohhh lakini tuna uwezo wa kumnunulia kiongozi gari ya milioni 640 na kulipa wabunge m500. Mdau: 🔬
Indonesia
9
22
99
4.2K
Malesho retweetledi
Jebra Kambole
Jebra Kambole@Advocate_Jebra·
S I M B A Senior Counsel Tundu Lissu, Mungu aendelee kukupigania, wewe ni zawadi kwa Watanzania.
Jebra Kambole tweet media
Indonesia
4
153
730
5.4K
Malesho retweetledi
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Ukimchukua mkulima mkubwa, Ambaye anatumia setup machine kubwa kama hii. Then umlete Tanzania, Mwambie achague mkoa unaomfaa kwa Kilimo. Lazima atachagua Either Dodoma, Tabora, Singida, Maeneo kama haya ni ngumu sana kuyapata Iringa Mbeya njombe au Ruvuma.
Indonesia
12
4
46
3.9K
Malesho retweetledi
Mwinshehe 🕊️
Mwinshehe 🕊️@Mwinshehe07·
Jemedari hajataka unafiki wa juma kusifia sifia zile taarifa zilipostiwa na media Jana kuhusu Rio 😂 📸 @CrownMediaTZ
Indonesia
70
80
408
24.1K
Malesho retweetledi
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Mfumo wa Vyama Vingi vya SIASA YA KIJESHI👇
Peter Madeleka tweet media
HT
3
48
213
4.6K
Malesho retweetledi
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Kila gari moja hapa ni milioni 500+. Mwaka jana TAMISEMI walionesha kwenye bajeti, gharama ya gari ya Mkuu wa Mkoa ni milioni 640. Pale shule ya Msingi Kitonga Daresalaam shule ina wanafunzi 4,000 na walimu 34 tu. Kwa mshahara wa 750,000, hii gari moja tu inaajiri walimu 850.
(---) Onesmo Mushi tweet media
Indonesia
17
52
358
19.7K
Malesho retweetledi
Lawrence Kitema
Lawrence Kitema@lawrencekitema·
Chase everything you want in this life, except love and death. They will find you when it’s time.
English
68
3.1K
12K
142.5K
Malesho retweetledi
Peter Msigwa
Peter Msigwa@MsigwaPeter·
02 Hata kabla ya sheria nyingi kuandikwa,dhamiri tayari ilikuwa imeanza kushtaki. Ndiyo maana ukweli mkubwa ni huu:Unaweza kuwadanganya watu kwa muda.Unaweza kuikwepa sheria kwa muda.Lakini ni vigumu sana kuikwepa dhamiri yako mwenyewe milele. Kwa sababu dhamiri ya mwanadamu…ni mahakama ambayo haifungwi milele. Kuna watu wanatembea huru leo, lakini akili zao zimekuwa magereza yao. Watu waliovikwa medali, waliosifiwa majukwaani, waliosalimiwa kwa heshima kubwa— lakini usiku wanashindwa kulala wakiteswa na kumbukumbu ambazo hawawezi kuzizika. Kwa nini? Kwa sababu kuna tofauti kati ya kile kilicho halali na kile kilicho sahihi mbele ya ubinadamu. Mtu anaweza kuwa anafuata amri… lakini bado akawa anasaliti utu wa mwanadamu. Historia imejaa askari waliokuja kukiri baadaye: “Tulikuwa tunafuata maagizo.” Lakini dunia imejifunza kwa uchungu: uovu hauwi haki kwa sababu tu umeamriwa na mamlaka. Na leo hii, onyo langu linaenda kwa kila kiongozi, kila taasisi, kila afisa, na kila mwanachama anayelinda mfumo bila kuhoji: Tusijenge taifa ambalo utii ni muhimu kuliko dhamiri. Kwa sababu taifa likifika hapo, watu huacha kutetea ukweli na kuanza kutetea mamlaka. Na mamlaka yanapoanza kuogopa uwajibikaji, kufichiana (cover-up)huanza. Na cover-up inapoanza, haki huanza kufa. Na haki ikifa, taifa linaweza kuonekana lina amani kwa nje lakini ndani linaoza taratibu. Ndugu watanzania wenzangu Taifa lenye afya si taifa lisilo na wakosoaji. Taifa lenye afya ni taifa ambalo ukweli bado unaweza kupumua. Uzalendo si kulinda makosa. Uzalendo wa kweli ni kulipenda taifa lako kiasi cha kuthubutu kukemea kile kinacholiharibu. Watu hatari zaidi katika jamii yoyote sio tu wale wanaofanya maovu bali wale wanaoyahalalisha, wanaoyatetea, au wanaonyamaza kwa sababu wahusika ni “wa upande wao.” Leo nauliza: Tunataka kuwa taifa la namna gani? Taifa linalotawaliwa na hofu? Au taifa linalotawaliwa na haki? Taifa la watu wanaotii bila kufikiri? Au taifa ambalo dhamiri bado ina thamani? Kwa sababu ipo siku, vyeo vitaondoka. Serikali zitabadilika. Vyama vya siasa vitapita. Lakini historia itabaki. Na historia haina huruma kwa viongozi waliochagua mamlaka kuliko ubinadamu. Tusije tukawa taifa linalozika ukweli kwa kina sana mpaka vizazi vijavyo virithi ukimya wetu kama mateso yao. Kwa sababu… Hatia haina kaburi. Rev Peter Simon Msigwa Iringa
Indonesia
33
72
283
16.3K
Malesho retweetledi
Peter Msigwa
Peter Msigwa@MsigwaPeter·
01 one of two “Dhamiri ni mahakama ambayo haifungwi milele.” na hatia haina kaburi, Kuna wakati ni hatari sana kwa taifa lolote… Pale ambapo ukimya unaanza kuwa salama kuliko ukweli. watu wanapoanza kunong’ona gizani mambo ambayo walipaswa kuyasema hadharani. Na historia imetufundisha jambo moja la kuogopesha sana , Serikali zinaweza kuficha mafaili, zinaweza kuficha ripoti, zinaweza kunyamazisha mashahidi, zinaweza kuwaogopesha wakosoaji lakini hatia haina kaburi. Hata kama uhalifu, kosa, au tendo ovu limefichwa, limezikwa, limefunikwa, au limesahaulika na jamii — hatia yenyewe haifi kirahisi. Mtu anaweza kuficha ushahidi. Serikali inaweza kuwanyamazisha mashahidi. Historia inaweza kupindishwa. Lakini ndani ya dhamiri ya mwanadamu, hatia inaweza kuendelea kuishi kwa miaka mingi. Huendelea “kumsumbua” mtu kupitia kumbukumbu, ndoto, hisia, na mateso ya ndani ya nafsi kutokana na uovu alioutenda kinyume na ubinadamu. Kwa sababu dhamiri ya mwanadamu ni mahakama ambayo haifungwi milele.” Mtu anaweza kuukwepa mkono wa sheria…anaweza kuficha ushahidi…anaweza kunyamazisha mashahidi…anaweza kutumia mamlaka, pesa, propaganda, au nguvu kufunika ukweli… Lakini ndani ya nafsi yake mwenyewe, bado kuna mahakama nyingine inayobaki wazi:Dhamiri. Na tofauti na mahakama za dunia:• dhamiri haihitaji polisi,• haihitaji jaji wa nje,• haihitaji ushahidi wote hadharani. Inajua ukweli hata pale dunia nzima inapodanganywa. Ndiyo maana watu wengi wanaonekana kuwa na nguvu nje —lakini ndani wanaishi na hofu, hasira, usingizi mbaya, au amani iliyopotea. Historia ina mifano mingi sana. Mfano wa kwanza: Baadhi ya wanajeshi waliowahi kushiriki vita vya mauaji ya raia duniani walinusurika kisheria, lakini miaka baadaye walikiri kuwa walikuwa hawawezi kulala usiku.Walikuwa wakisikia sauti za waliouawa kichwani mwao.Sheria iliwaacha huru.Lakini dhamiri iliendelea kuwafunga. Mfano mwingine: Katika tawala nyingi za kiimla duniani, viongozi waliotesa wananchi waliweza kuzima vyombo vya habari, kufunga wapinzani, na kuogopesha taifa lote kwa miaka mingi.Lakini wengi wao waliishi maisha ya mashaka makubwa:• waliwaogopa hata marafiki zao,• waliwaogopa walinzi wao,• waliishi wakihamisha walinzi kila mara,• wengine walikufa wakiwa na paranoia na upweke mkubwa. Kwa nini?Kwa sababu ndani yao walijua ukweli ambao propaganda haiwezi kuufuta. Hata katika maisha ya kawaida:Mfanyabiashara anaweza kudanganya watu na kupata pesa.Mwanasiasa anaweza kusema uongo na kushangiliwa.Kiongozi wa dini anaweza kuhubiri haki huku akiishi kinyume chake.Mtu anaweza kuonekana “amefanikiwa” mbele ya jamii. Lakini kuna tofauti kubwa kati ya:kuwa huru nje…na kuwa huru ndani. Ndiyo maana baadhi ya watu wana kila kitu:• pesa,• mamlaka,• ulinzi,• umaarufu… Lakini hawana amani. Kwa sababu dhamiri inapofungua kesi dhidi ya mtu,hakuna usingizi wa kutosha,hakuna pombe ya kutosha,hakuna sifa za kutosha,na hakuna propaganda ya kutosha inayoweza kuifunga kabisa. Biblia pia inaonyesha hili. Baada ya Kaini kumuua Abeli, Mungu alimwambia:“Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka ardhini.”
Filipino
36
75
277
15.6K
Malesho retweetledi
Novelle art.
Novelle art.@artistryhere·
Novelle art. tweet media
ZXX
126
2.3K
16.4K
417K
Malesho retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Leo na kesho tuhakimishe #FreeTunduLissu inatrend Andika post, weka picba weka hashtag nq share, repost kila post hata za zamani za Lissu Tuwe serious people! Siku 405 ??!!
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Filipino
15
389
795
8.3K
Malesho retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Hii comment inachoma kama pasi.
Hilda Newton tweet media
Eesti
54
272
1.8K
44.3K
Malesho retweetledi
Jebra Kambole
Jebra Kambole@Advocate_Jebra·
“Mtu anaweza kuwa na bei ila umma hauna bei” chukua hiyo!
Indonesia
6
65
333
4.3K
Malesho retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Hivi Lissu tumeshindwa kabisa kumdai kwa shinikizo? 😓 Roho inaniuma sana!
Indonesia
63
312
1.8K
28.4K