Thedricq

4.7K posts

Thedricq banner
Thedricq

Thedricq

@jtmlay92

GoD first

Dar es salaam Katılım Nisan 2015
891 Takip Edilen867 Takipçiler
TICHA MANDEVU13
TICHA MANDEVU13@TichaMandevu·
Dogo alikua anatembea na mke wa mtu. Jamaa mwenye mke akaseti watu wakamtumia mke wa jamaa kumseti dogo asogee eneo fiche dogo kaenda chapu akijua ni mwanamke kufika wazee wamemkata kata na mapanga wakamtupa wakaacha simu za marehemu. Zimetolewa password wamedakwa wote 🙌
Indonesia
55
56
1K
81K
NGASSA+255
NGASSA+255@Therealngassa·
Kumbe trailer ina garama kuliko horse
Tanzania 🇹🇿 Filipino
12
4
134
7.7K
Thedricq
Thedricq@jtmlay92·
@maestrochance_ Kituo cha mafuta, hotel ina msimu labda lodge na maeneo ya karibu na ICDs au stand ya mkoa
Filipino
0
0
0
18
MAESTRO 🎭
MAESTRO 🎭@maestrochance_·
kati ya Sheli na Hotel ni uwekezaji gani ukijikita unaingiza pesa nyingi sana ?
MAESTRO 🎭 tweet mediaMAESTRO 🎭 tweet media
Indonesia
27
22
153
12.4K
Thedricq
Thedricq@jtmlay92·
@MaxTz255_ 40km Jkt tulikuwa tunarud saa 5 na tumetoka saa 12 Kwahyo x2 ni zaidi ya masaa 10 alikuwa anasoma muda gani?
Indonesia
0
0
0
117
Myunani
Myunani@MaxTz255_·
Mi Ni Mtembezi Kidogo ila Huwa natembea Na Bike ina Cc 200-9 Ngoja Nikuelezee Km 80 nilizowahi kutembea 👇🏿 Dar - Bagamoyo ni km 80 Arusha - Moshi ni Km 80 Mwanza - Usagara ni km 80 Dodoma - Chamwino ni Km 80 Mbeya - Mbalizi ni Km 80 Morogoro - Mikumi ni Km 80 Tanga - Muheza ni Km 80 Kigoma - Ujiji ni Km 80 Iringa - Mafinga ni Km 80 Songea - peremiho km 80
Myunani tweet media
Indonesia
87
10
155
29.4K
Thedricq
Thedricq@jtmlay92·
@Therealngassa Kubishana na watoto nayo ni kukosea so mpo sahihi Gen Z
Filipino
1
0
1
131
NGASSA+255
NGASSA+255@Therealngassa·
Millennials bana waga kama majinga yakitokaga matokeo ya form 4 au six miaka hii madogo wakifaulu sana utaskia elimu ilikua zamani enzi zetu😁🚮
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
32
24
264
7.6K
Thedricq
Thedricq@jtmlay92·
@yaredy30 Yuko vizur kiakili sema life ndo linaamua
Indonesia
0
0
0
14
𝗥𝗼𝗱𝗮𝗰𝗵✝
Ajira mpya kafika kituoni anasema yeye hataki kustaafu sijui miaka 60 Anafanya kazi miaka 10 tu kuset mambo yake baada ya hapo anaacha kazi 😂😂
Indonesia
47
44
700
29.1K
Anko MJOMBA
Anko MJOMBA@MacAlpho·
@PresenterNoah Ukikutani mke wa mtu ukampakata kwenye boda hadi mje mjieleze vizuri kuwa hamfahamiani, watu wameshatafasiri ya kwao.
Indonesia
3
0
32
4.5K
Presenter Noah
Presenter Noah@PresenterNoah·
Kuanzia leo sipandi tena boda zakuchangia na mwanamke ambaye simjui.
Indonesia
47
30
697
43.6K
Thedricq
Thedricq@jtmlay92·
@Labella_Mafia95 Jana wameingia kundi la watu 4 wamenunua maji chupa nne za buku buku
Indonesia
0
0
1
381
𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚
Now days madem huenda bar kuwinda wanaume wenye pesa. Kama ulikuwa hujui sasa ujue kuanzia leo. Ukiingia bar — utamuona dem amekaa na bia yake moja. Au wako kundi la watu wanne kila mtu ana yake. Kaa kitaalamu. Hao wapo windo.
𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚 tweet media
Indonesia
20
15
438
35.2K
Malkia Nyuki 👑
Malkia Nyuki 👑@nyuki_malkia·
Hivi mnaonunua utelezi kwa wadada wanaojiuza huwa mnaongea bei kwanza au unapiga miti kwanza ukishamwaga ndio bei inaongeleka???
Indonesia
24
9
162
19.4K
Thedricq
Thedricq@jtmlay92·
@J_Camavinga @ReganTesla_ Hizo chuki ulizonazo dhidi ya wachaga ungeuchukia umasikini namna hyo wakati huu ungekuwa kama baharesa
Indonesia
0
0
1
75
Shai Gilgeous
Shai Gilgeous@J_Camavinga·
@ReganTesla_ Acha uongo Sababu kubwa ni kwenda kufanya matambiko(ushrikina)
Filipino
5
0
3
1.3K
M.D (🅨)
M.D (🅨)@ReganTesla_·
SKIA NIKWAMBIE.... Najua umeskia sana kuhusu hii kauli ya "Kwenda kuhesabiwa" ambayo kimsingi imekuwa maarufu kwa watu wa Kilimanjaro. Sasa ni hivi, Kama ukiwazingatia wengi ikifika December wanakuwa na shauku sana ya kurudi majumbani mwao lakini kuna siri ambayo labda wengi hatuijui.. Wengi hii shauku inatokana na kwamba kuna vitu wametanguliza huko vijiji kwao. Na wanakuwa na shauku ya kwenda kuona na wengine waone sababu huwa ni baraka. Mfano, Unakuta mtu toka January anapambana kubadilisha kibanda cha Wazazi wake kutoka nyumba zile za mbavu za mbwa kwenda nyumba ya tofali au alikuwa anapambania kuwajengea wazazi wake ukuta wa tofali kutoka ule wa nyasi au mabanzi. Mambo yaha ni moja ya sababu nyingine ya kuongeza shauku ya mtu kufika kijijini kwao. Sasa wakifanya wengine kuna wale ambao nao hawajafanya ila wakifika kula wakiona wenzao wamewafanyia wazazi wao basi nao wanapata hasira zaidi ya kupambana. Ndipo sasa mtu anarudi Dar akiwa kama mbogo anaitafuta pesa kama vile aliipoteza. Basi hiyo ni moja tu ya zile sababu nyingi za watu kwenda kuhesabiwa. Ila pamoja na yote, Kama wewe sio mtu wa wivu na unapenda maendeleo kuhusu nyumbani kwenu basi Kilimanjaro ni sehemu sahihi sana kwako kutembelea. Nenda Rombo, Marangu, Kibosho, Sanya n.k Huko kuna watu wamefanya wonders sana na ukienda hautarudi kama ulivyotoka.
M.D (🅨) tweet media
Indonesia
9
16
224
14.1K
💕Mide💕
💕Mide💕@HaYoMiDe_·
Show us you’re a genius 😁😁
💕Mide💕 tweet media
English
24.9K
627
6.8K
3.4M
Barbosa
Barbosa@gratian_barbosa·
Luis Suarez au Robin Van Persie?? Unaondoka na nani na kwanini.
Indonesia
71
24
287
26.2K
Thedricq
Thedricq@jtmlay92·
@kirigitim Kuna maelekezo ya kampun Kuna kampun zenye hotel zao Na kingine kuna sehem anawapeleka kwa sababu ya kupewa chochote kitu
Filipino
0
0
0
3
Taivina James
Taivina James@Thereal_taivina·
Mtu akiniambia mapenzi yanatesa huwa nacheka sana.
Taivina James tweet media
Indonesia
12
11
205
10.4K
chuga girl❣️
chuga girl❣️@Lizzie36021·
Oyaa nyie mnatoa wap ela???😎
Indonesia
10
1
20
2.4K
𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚
Waziri Mkuu mstaafu Kassim Majaliwa alitangaza kuchukua fomu ya Ruangwa, lakini siku ya mwisho akasitisha. Dkt Tulia Ackson naye alionekana kurejea Uspika, lakini akabadili mwelekeo dakika za mwisho. Unaweza kujiuliza. Kwa nini vigogo hawa walichukua hatua ngumu kama hizi?
𝐋𝐚𝐛𝐞𝐥𝐥𝐚 𝐌𝐚𝐟𝐢𝐚 tweet media
Indonesia
40
41
722
29K
FatmaFetty
FatmaFetty@FatmaFetty2·
@AbdallahCh53659 @Labella_Mafia95 Ona sasa huyu nae anakuja na kamdomo kake haya😂unadhani Mimi nimekuja kujiongelea hapa 😅ukipata nafasi ya kuwa Karibu na mbunge yyt muulize akuelezee kabla hujaja kunijibu Tena hapa , broo sinaongea for likes, NINA UHAKIKA.
Indonesia
2
0
0
74
Thedricq
Thedricq@jtmlay92·
@Ireneigora Sio utani Nilienda mida ya jion 11 hv natafuta viatu nikapata travota shingo fupi wakaanza 90k ila nilinunua kwa 17k tena 12k cash na 5k nimemrushia kwa m pesa
Indonesia
1
0
1
77