Farmer 🌱

1.3K posts

Farmer 🌱 banner
Farmer 🌱

Farmer 🌱

@Mkulima1521

I'm the winner 🥂

Katılım Eylül 2024
381 Takip Edilen83 Takipçiler
Farmer 🌱 retweetledi
MR PIRATE ☠️
MR PIRATE ☠️@KoilekenP·
In agriculture, patience is the first lesson. Wednesday 💪
MR PIRATE ☠️ tweet media
English
1
1
3
65
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Mchekeshaji Charlie Chaplin amewahi kwa siri kushiriki Shindano la kumsaka mtu anaefanana naye na Akapoteza..,Mkali Alimaliza nafasi ya 20..😅😅😹
Indonesia
23
54
501
14.6K
Farmer 🌱 retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Viwanja vya Nyankumbu, Geita Mjini vimeongea! Zaidi ya TZS 2,559,000 zimepatikana kupitia #ToneTone. MaCCM hayataki kuamini kwamba chama cha siasa ambacho ni mali ya umma Tanzania ni CHADEMA. Angusha TONE lako hapo kupitia 0744446969; Jina - CHADEMA HQ. #PeoplesPower. 👊🏾
Indonesia
15
217
1.1K
19.7K
FELIX JASON
FELIX JASON@Iamfelixtz·
🚨 Kiungo wa Singida Black Stars, Khalid Aucho 🇺🇬 ataikosa mechi ijayo ya NBC PL 🇹🇿 dhidi ya Yanga kutokana na kadi nyekundu aliyoonyeshwa leo dhidi ya Coastal Union kwenye mechi ya robo fainali ya Kombe la CRDB. Yanga itawakaribisha Singida Mei 22 ndani ya KMC Complex
FELIX JASON tweet mediaFELIX JASON tweet media
Indonesia
32
17
828
25K
LOLOTE JAMBO
LOLOTE JAMBO@sinahisa·
Tumeanza kushuhudia Wimbi la akaunti kubwa zinazojiongelesha, alianza KIGOGO, akaja MADENGE, sasa zamu ya BUYOBE imefika, halafu atafuatia yule JAMAA😎
Filipino
50
52
705
32.6K
Tindo Nyundo
Tindo Nyundo@kinwillys·
@fbuyobe @Tonnyfaza Issue sio ya muda gani, bali ni ukweli katika hili. As how it stand, you are double agent.
Filipino
2
0
11
1K
Fortunatus Buyobe
Fortunatus Buyobe@fbuyobe·
Mahakamani shaidi hudodoshwa ili kumcondradict na ushaidi wake na mwisho kumpotezea credibility. Story ya Hilda sitaki kuisema kuwa yote ni ya ukweli au yote ni uongo. Nitakuwa nagusa maeneo maalumu tu. 1. HILDA: Buyobe alimdanganya Mshabaha kwamba Msuya alikuwa Diwani wa Chadema wa Ubungo huku akijua fika kwamba Msuya hajawai kuwa Diwani. FACT: Si kweli nilidai Msuya alikuwa diwani Ubungo. Ili limepindishwa makusudi kimkakati. Nilimtambulisha Msuya kama aliyewahi kuwa mwenyekiti wa CHADEMA Ubungo Msewe. 2. HILDA: Mshabaha alimuliza ndani ya CHADEMA anamfahamu nani Buyobe akasema @ExMayorUbungo na Hilda Newton kama girlfriend wake japo kwasasa Msuya hana mahusiano mazuri na Bony. FACT: Sikuwahi kutaka kwa njia yoyote kumtumia Bonny kutia ushawishi ili Msuya aaminike. Sijisikii vizuri kumjadili hapa Bony kwani nitakuwa namuingiza kwenye issue isiyomuhusu. But ni kweli tukiwa kwenye maongezi ni Msuya mwenyewe alieleza juu ya ukaribu wake na Bony very casually. Pia ni kweli Msuya alitueleza mimi na Mshabaha kuwa Hilda alikuwa girlfriend wake. Hapa ukakasi ninaoupata, Hilda kwa nini anataka kujitenga na Msuya kwa kukana kutomjua. Lets say inawezekana hawakuwa na mahusiano, vipi ashindwe kumtambua Msuya kama mwenyekiti wa mtaaa maarufu kama Msewe, ambao wakati ule ulikuwa ni kama kambi ya wasomi wengi wa UDSM NB: Nitaomba nisaidiwe, Msuya alitueleza alikuwa mwenyekiti wa wenyeviti mkoa wa kichama Ubungo. Kama ni kweli, Hilda bado anashindwa kumtambua kiongozi wake huyu chamani? 3. HILDA: Nilimpigia simu Buyobe, nikamuuliza kwanin alimdanganya Mshabaha kwamba mimi ni Girlfriend wa Msuya wakati anajua mimi na Msuya hata hatufahamiani, alijiumauma sana mwisho akajitetea kwamba Msuya alimdanganya. FACT: Sijawahi kuulizwa na HILDA juu ya taarifa za Msuya kudai wana mahusiano. Nazidi kutia mashaka kwa nini hapa kwenye Mahusiano anaparejea hadi kutoa ushuuda wa uongo. The fact ni kwamba Hilda anamjua Msuya inawezekana sio kama mpenzi wake. Kumkana kutomjua Msuya hadi kutotambua nafasi yake ya uongozi chamani inaweza kutoa strong suspicion ya inawezekana wanajuana zaidi tujuavyo. Ni issues ndogo but yenye trustworthy issues. HILDA: Msuya baada ya kupiga tukio jioni ya siku hiyo hiyo, alionekana maeneo ya Namanga akivuka kuelekea Dar wakati huo Buyobe yeye alikimbilia maeneo ya Busia (Hii ni kwa mujibu wa maelezo yake mwenyewe) na hapo alifanya bila kuwasiliana na mtu yeyote hata wale waliompokea hakuwajulisha, licha ya kwamba awali wakati anafika alisema haijui kabisa Kenya ni mara yake ya kwanza kufika Kenya. FACT: Sikujiondokia bila taarifa. Mtu nisiyetaka kumuingiza kwenye mjadala kwa kuwa hausiki, tuliwasiliana naye. Nilipigiwa simu ya Mshabaha, huyu mtu mwingine wakiwa na nia ya kutaka kunibrief kilichotokea. Nilikuwa nimelala hotelini sikusikia simu zao. Majira ya kwenda saa 11 nikampata Mshabaha na akanijuza kilichotokea na yupo hospital. Mshabaha pamoja na madhira yaliyompata, hakusahau his duty of care kwangu. Ni yeye akashauri niondoke haraka pale hotelini hadi itakapothibitika kuna usalama. HILDA: Azizi na Msuya walikuwa wakiishi na mimi FACT: Huu ni uongo! Msuya alikuwa anakaa Himalaya Heights, mimi nilikuwa ninakaa Myra residence HILDA: Msuya alipoona Mshabaha amekataa mambo yatraining akamuomba amkutanishe na Hilda, Maria, Sativa, na Mwaipaya. Mshabaha alikataa mind you huyu mtu ambae anamuomba Mshabaha amkutanishe na mimi, kwenye utambulisho wake alisema kwamba mimi ni girlfriend wake. FACT: Hapa Hilda anajichanganya kwenye Dodoso la Pili (2. HILDA) Anasema kuwa mimi nilimtambulisha Msuya kuwa wanahusiano naye wa kimapenzi. Lakini Msuya akamkataza Mshabaha asimpigie Hilda kwa kuwa Msuya anajua uongo wake utajulikana. Hapa anarudi kujicontradict kuwa Msuya baada ya kuwa desperate kwa kukataliwa kutoa training kwa wanaharakati akaomba akutanishwe na kina Hilda na wenzake. Yani Hilda aliyemkwepa asitafutwe kwa kuwa uongo wake utajulikana, sasa anamtafuta bila kuhofia uongo wake. Hilda na Msuya Kunani?
Fortunatus Buyobe tweet mediaFortunatus Buyobe tweet mediaFortunatus Buyobe tweet mediaFortunatus Buyobe tweet media
Filipino
172
40
253
68.1K
Farmer 🌱 retweetledi
TICHA MANDEVU13
TICHA MANDEVU13@TichaMandevu·
Kumekucha wanangu 👊
TICHA MANDEVU13 tweet mediaTICHA MANDEVU13 tweet media
Polski
12
23
116
2.4K
Farmer 🌱 retweetledi
Jumanne (KILIMO MAISHA YETU)
Jumanne (KILIMO MAISHA YETU)@JumanneMkilya·
Hakuna watu wako na Imani kama wakulima +255766506080
Jumanne (KILIMO MAISHA YETU) tweet media
Indonesia
1
2
25
431
TICHA MANDEVU13
TICHA MANDEVU13@TichaMandevu·
Dogo alikua anatembea na mke wa mtu. Jamaa mwenye mke akaseti watu wakamtumia mke wa jamaa kumseti dogo asogee eneo fiche dogo kaenda chapu akijua ni mwanamke kufika wazee wamemkata kata na mapanga wakamtupa wakaacha simu za marehemu. Zimetolewa password wamedakwa wote 🙌
Indonesia
55
56
1K
81K
Latto 𝕏
Latto 𝕏@Rydx_017·
Mkoambiwa Fear women... Mnauliza kwanini? Mwanamke yuko tayari kuumia ilimradi analolitaka lifanikiwe. Angalia huyu anachomwa hapo kwa ajili ya birthday. Video kwa Comments 👇
Latto 𝕏 tweet media
Filipino
6
2
78
11.5K
Farmer 🌱 retweetledi
TICHA MANDEVU13
TICHA MANDEVU13@TichaMandevu·
Kumekucha wanangu 👊
TICHA MANDEVU13 tweet mediaTICHA MANDEVU13 tweet mediaTICHA MANDEVU13 tweet mediaTICHA MANDEVU13 tweet media
Polski
11
27
202
7.4K
Farmer 🌱 retweetledi
cαηυтү
cαηυтү@Canuty96·
Kutokana na ufinyu wa muda nilijaribu kulima kitunguu kwa kutumia simu, leo nimefanikiwa kufika shambani nimekutana na hiyo hali. Wakuu hichi kitunguu kinatoboa au ndo mwisho apa.??👋 Nb. Nimara ya kwanza kulima kitunguu maji.
cαηυтү tweet mediacαηυтү tweet mediacαηυтү tweet media
Burundi 🇧🇮 Indonesia
18
9
106
11.6K
NGASSA+255
NGASSA+255@Therealngassa·
X wachawi dawa ya asili ya kuzuia chuma ulete ni nini
Tanzania 🇹🇿 Filipino
16
8
77
6.9K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Nina wasiwasi. Huyu mtuhumiwa anaonekana very smart, strategic na sharp. Lakini namna anavyoomba msamaha mbele ya RC… mmmh. Naguna kabisa. Pengine hakuna sinema yoyote; labda tu nimeathiriwa na movies za CIA na Mossad ambazo nimekuwa nikiziangalia sana. Maana mara nyingine unaanza kuona patterns, narratives na hidden motives kila mahali. Lakini bado, kuna kitu hakikai sawa. Mtu ambaye anaonekana composed na calculated, ghafla awe mnyenyekevu kiasi hicho mbele ya mamlaka , naturally inafanya watu waulize maswali, Je, ni hofu ya kawaida? Ni pressure? Ni survival instinct? Au kuna narrative fulani inatengenezwa? Sina majibu. Nauliza tu.
Indonesia
105
102
763
60.1K
Farmer 🌱
Farmer 🌱@Mkulima1521·
Wakuu kumbe jina la SELEMANI limetokana na neno salesman?
Farmer 🌱 tweet media
0
0
0
8