king kinya

8K posts

king kinya banner
king kinya

king kinya

@king_kinya

Mr King Kinya.Editorial cartoonist.

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Şubat 2014
669 Takip Edilen13.4K Takipçiler
king kinya
king kinya@king_kinya·
Halafu @IAMartin_ tunaye mtaani, bungeni tunaye baba levo...weitaaa,niongeze bia hapa!!
Martin Maranja Masese@IAMartin_

KIUMBE HUYU NI MZIGO. Mtu ‘anayejiita mbunge’ anasema Serikali ya CCM imeongeza bei kidogo sana ya mafuta kulinganisha na Kenya. Huyu mtu hajajishughulisha vya kutosha. Huwezi kulinganisha uchumi wa nchi na nchi kwa kutaja tarakimu tu. Kulinganisha uchumi wa Tanzania na Kenya anatakiwa kutumia vipimo viwili vikuu ambavyo ni; GDP per Capita (Pato la Taifa kwa kila kichwa) na GDP per Capita PPP (Pato la Taifa kwa kuzingatia Uwezo wa Kununua - Purchasing Power Parity). Zingatia hivyo. 1.GDP Per Capita (Nominal); Hiki ni kipimo cha thamani ya fedha ya bidhaa na huduma zote zinazozalishwa nchini, ikigawanywa kwa idadi ya watu katika nchi. GDP (pato la Taifa) inatumia viwango vya soko vya kubadilisha fedha (USD). Hii hutumia viwango vya soko vya kubadilisha fedha (market exchange rates). Tofauti na Tanzania ambayo uchumi wake unategemea zaidi rasilimali za asili (kama madini), Kenya imejenga msingi wake katika sekta ya huduma na ubunifu. Kenya ni kiongozi wa kidijitali barani Afrika, jambo lililoipa jina la utani la “Silicon Savannah.” Mapinduzi ya huduma za kifedha kwa njia ya simu yalianzia hapa. Nairobi ni makao makuu ya makampuni makubwa ya teknolojia duniani (Google, Microsoft, na Amazon) yanayofanya shughuli zake katika bara la Afrika. Benki za Kenya (kama Equity na KCB) zimepanuka na kutawala soko la kanda ya Afrika Mashariki na Kati, zikiwa na matawi nchini DRC, Rwanda, South Sudan Uchumi wa Tanzania kwa sasa unapitia kipindi cha mpito ambapo matokeo yake katika thamani ya sarafu na soko la kimataifa yanachukua muda sana kuonekana. Tanzania inasafirisha madini ghafi. Thamani kubwa ya soko inabaki nchi za nje ambako madini hayo yanasafishwa na kutengeneza bidhaa za mwisho. Thamani halisi inayobaki ni asilimia ya mirahaba na kodi, wakati thamani kubwa ya soko la madini hupimwa masoko ya hisa ya kimataifa (London au Toronto). Uchumi wa Tanzania una sehemu kubwa sana ya sekta isiyo rasmi inayozalisha fedha nyingi, lakini hazionekani kwenye takwimu rasmi za thamani ya soko la kidunia. Kwa wastani, raia mmoja wa nchi ya Kenya anaonekana kuzalisha thamani ya fedha karibu mara mbili ya raia mmoja wa Tanzania katika soko la kimataifa. 2.Purchasing Power Parity (PPP); Hiki ni kipimo cha “uwezo wa kununua.” Kinarekebisha tofauti za gharama za maisha na bei za bidhaa kati ya nchi hizi mbili. Kwa mfano, kama $1 inaweza kununua mikate miwili Tanzania lakini kwa bei hiyo, unaweza kununua mkate mmoja tu nchini Kenya, PPP inazingatia ukweli huo. Kenya ina kipato kikubwa, gharama za maisha ni kubwa. Tanzania ina gharama ndogo za maisha baadhi ya sekta (vyakula vya asili na baadhi ya huduma za kijamii). Kenya ina sekta ya huduma (Banking, Tech, Tourism) iliyoendelea zaidi, ambayo huzalisha thamani kubwa ya fedha. Tanzania inategemea zaidi Kilimo na Madini. Kenya imekuwa kitovu cha kibiashara (Regional Hub) kwa muda mrefu, jambo linalovutia makampuni mengi ya kimataifa kufanya uwekezaji mkubwa Kenya. Kwa sasa nchini Kenya, bei za mafuta zilizotangazwa na Mamlaka ya Kudhibiti Nishati na Petroli (EPRA) zinazotumika hadi Aprili 2026 kwa Mombasa; Petroli (Super Petrol) KSh 189.60 kwa lita (Tsh3,771. Dizeli (Diesel) KSh 173.10 kwa lita (Tsh 3,452). Mafuta ya Taa (Kerosene) KSh 163.00 kwa lita (Tsh 3,253). Hizo habari lita moja ya mafuta ya petroli Kenya inauzwa Tsh 5,450 ametoa wapi? Au amesogezewa kipeperushi na KIHONGOSI kutoka ma’group yao ya WOSAPU? Mtu ambaye anayejiita ‘mbunge wa CCM’ alitakiwa apitishe ubongo wake maeneo hayo, halafu ajenge hoja zake. Vinginevyo ni MPUMBAVU mwenye ujasiri.

Filipino
0
0
0
28
king kinya
king kinya@king_kinya·
@RMinjben Ufichage aibu zako. Siyo lazima kila mtu aone ujinga wako
Indonesia
0
0
1
5
Reema-MinjBen@MinjBenReema
@king_kinya Unaogopa Deni? UNafikiri SGR na Mbwawa la Umeme Vimejengwa kwa MKOJO? Je Hao MARAIS a Nyuma walijenga SGR na Bwawa la UMEME Na KUJENGA MJI MPYA wa DODOMA? Kwanza Deni lilitakiwa liwe kubwa zaidi kwa vitu vilivyofanyika Awamu ya 6
Indonesia
1
0
0
22
king kinya
king kinya@king_kinya·
Deni...
king kinya tweet media
Indonesia
15
64
613
34.2K
king kinya
king kinya@king_kinya·
@tzDiscovery Wataaibika wengi sana. Na ikifika April 25 ndio hapatakuwa na pa kujificha hata kwa kuchutama
Indonesia
0
0
0
12
king kinya retweetledi
Fortunatus Buyobe
Fortunatus Buyobe@fbuyobe·
Mafuta yapo hadi ya July. Je, nini kilichosababisha leo mafuta yapande bei? Au storage?
Fortunatus Buyobe tweet media
Indonesia
84
103
784
32.8K
D A L A L I
D A L A L I@_zolendronic·
Kama Biblia ingeandikwa leo👇 "Ikawa wakati wa kumiliki kwake Donald Trump mfalme wa Amerika, Benjamin Netanyahu mfalme wa Israeli aliivamia Uajemi, akamuua Ayatollah Ali Khamenei pamoja na makamanda wake wa vita, akauhusuru mji wa Tehran" Hili andiko lingekaa kitabu gani😎??
Indonesia
21
9
42
3.7K
DevotaTweve
DevotaTweve@TweveDevota·
Jamii imeanza kunormalize mapenzi ya kinyume na maumbile? pita mitandaoni usome stori za vijana wadogo wakitoa shuhuda na kuzungumzia. Naogopa🥹
Filipino
18
9
155
15K
king kinya retweetledi
Kigogo Media
Kigogo Media@kigogo2014·
NDIYO MAANA WATANZANIA WANASHANGILIA MKINYOFOLEWA ROHO..📌 Kuna mambo yanatia kichefuchefu sana ukiona yanatokea halafu wanaoyafanya wanaita makamera na kwenda kujifanya wanashangaa kwa nini yanatokea. Kuna mambo yanafanyika ndiyo chanzo na yanaakisi jinsi wananchi wa Tanzania wanavyochukia viongozi na serikali na wanafurahi sana wakiona wanang'olewa roho sababu ni kama hizi za kinachoendelea Coco Beach.. Hakuna jinsi ambavyo Coco Beach inaweza kubinafsishwa halafu serikali isijui au iwe haina taarifa. Hakuna jinsi mtu yoyote anaweza taka kuwekeza Coco Beach halafu serikali isiwe na taarifa. Kinachofanyika sana ni mazingaombwe na kujifanya serikali haijui lolote lakini ukweli ni kuwa wanajua na watakuja wengi tu kujifanya kushangaa!.. Wanachofanyiwa wananchi wa Coco Beach na wafanyabiashara wale ni mazingaombwe ambayo yamekuwa sehemu ya utamaduni wetu na siasa zetu kwa muda mrefu sana na inatia kinyaa sana. Kuna watu kwa makusudi kabisa wamekuwa wanafanya jitihada za dhati kweli kweli kuhakikisha wanamtia Rais na serikali kwenye mikingamo na wananchi ili mradi kuwe na sintofahamu tu kika siku. Yaani unabinafsisha Coco Beach kivipi? Kwa sababu zipi yaani? Suala la kubinafsisha Coco Beach lilishazikwa na kumalizwa na serikali ya Kambale na kupiga marufuku jambo hilo na kutangaza kuwa Coco Beach ni sehemu ya ufukwe kwa matumizi ya wananchi wa kawaida wa Dar Es Salaam na kama kuna mwekezaji anataka kuwekeza atafute beach nyingine!. Baada ya kauli ile wafanyabiashara wadogo wengi wakajimwaga kufanya biashara zao za mihogi 😁 hapo na kwa kweli watanzania wa hali ya chini wamefaidika sana na uwepo wa biashara hizo na ruhusa ya kutumia hizo fukwe! Leo zinapokuja porojo za kuwa eti kuna mwekezaji maana yake ni kuwa serikali inajua inachokifanya na tayari kuna watu wameshakula milungula kwa ajili ya kufukuza watu hapa na kuweka wanaojiita wawekezaji! Nimeona fulani katembelea Coco Beach jana sijui juzi! Zote hizi ni porojo na mazingaombwe ,hawa watu wanajua kinachoendelea na kinachofanyika sasa ni kujikosha tu lakini kwa kweli tuna shida sana kama serikali inashindwa kuacha hata maeneo madogo hivi kwa ajili ya wananchi wa kawaida!. Mambo haya ndiyo chanzo cha chuki kati ya wananchi na serikali japo mnajifanya hamuoni na kusikia. Magufuli alikuwa Rais wa hovyo na mkatili sana lakini kuna baadhi ya mambo kama haya ndiyo yanafanya watanzania wanamkumbuka Magufuli mpaka leo pamoja na ukatili wake! Yaani haiwezekani serikali iliyopita ilikataa mambo ya kuwekeza Coco Beach na kusema hili eneo ni la wananchi wa kawaida halafu inakuja serikali nyingine inafukuza wananchi na kusema kuna muwekezaji! Halafu mnakaa kabisa kwenye vikao vyenu mnajiuliza kwa nini wananchi wanawachukia! Mnakaa kabisa mnajiuliza kwa nini wananchi hawawapendi na wanashangilia mkinyofolewa roho ! Kama hamjui sasa hizi ndiyo sababu zake halisi kabisa!. HUU SIYO UJI kwamba kila mtu aonje! Uongozi ni kipaji na maarifa na busara siyo kuvaa vaa maskafu na kuimba umaskini fake.. BADILIKENI.. HALAFU huu mwaka CAG huna ripoti ya kutoa mbona siku kama zimepitiliza au ripoti bado haijakamilika? Au bado mnatekeleza mapendekezo ya mwaka jana 😁😁 #KigogoMediaUpdates
Kigogo Media tweet media
Indonesia
1
11
78
17.9K
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
“Kuanzia sasa itachukua saa 48 hadi 72 tu kwa Mkenya kupata Passport” Rais William Ruto
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
35
79
1.3K
21.9K
Daniel Mwandala
Daniel Mwandala@DannyThePlanner·
@Kariakoo_ Anguko la mwanadam lilipelekea kuwa na matokeo yote haya tunayo yaona. Mauti kwa viumbe vyote, maradhi, majanga ya aina yote. Binadam aliwekwa kuwa mlinzi, mwangalizi na mtawala wa vyote vilivyopo duniani, kuanguka kwake kulipelekea vyote alivyo pewa navyo kuharibika kama yeye.
Filipino
3
0
1
487
Broke & Zero Aura (BZA)🍁
Mbona wanyama na wao wanazaa kwa uchungu na hawakula tunda au walikula!!?🤔
Broke & Zero Aura (BZA)🍁 tweet media
Indonesia
23
24
215
11.1K
king kinya
king kinya@king_kinya·
@kasesco_tz Sijaona NYOTA NYEKUNDU hapo. Au ulikuwa bado hujazaliwa?😀
Indonesia
0
0
0
306
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Hapa Chama Gani unatamani lirejee tena ligi kuu ? Lipuli fc Stend united Njombe mji Tukuyu Stars Kariakoo Lindi Bandari Mtwara Pan Africa Ashanti United Mirambo FC Kurugenzi Kagera sugar Allience fc Mbeya kwanza
Indonesia
129
47
271
14.6K
Mamwavi_Nkabasia
Mamwavi_Nkabasia@joeselasini·
Hatimae kanisa la Uingereza "Anglican Church" Kwa mara ya kwanza ktk historia limepata Mkuu wa kanisa Mwanamke. Hata hivyo Yesu Kristo hakuchagua mwanamke yeyote kati ya mitume wake kumi na wawili, kwa hivyo naona kampeni za usawa wa kijinsia hatimae zimewateka.
Mamwavi_Nkabasia tweet media
Indonesia
32
7
87
6.3K
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Imani ni zao la ujinga, maradhi, na umaskini?🤔🤔🤔 Kwa nini tukiuliza kidogo kuhusu masimulizi ya Mungu na imani zake, watu wanakuwa wakali na kutoa kauli kama: “Mkisoma kidogo mnakataa uwepo wa Mungu” Au “Mkipata pesa kidogo mnahoji uwepo wa Mungu” Au “Mkiwa na uzima kidogo mnapata kiburi na kuhoji uwepo wa Mungu.” Ni Mungu wa tabu na mateso?? 🤔🤔🤔
Indonesia
18
3
41
2.3K
king kinya
king kinya@king_kinya·
Politoon
king kinya tweet media
Eesti
0
0
7
505
Fumbo Khan
Fumbo Khan@fumbokhanJr·
List ya Mikoa inayo ongoza kwa Uchawi kwa hapa TANZANIA. >Mtwala >Lindi >Rukwa >Kigoma >Mwanza >Tabora >Iringa >Mbeya >Dodoma
Filipino
34
10
95
6.1K