
Laurent Mtei justine
30.5K posts

Laurent Mtei justine
@LaurentMtei2
business
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Aralık 2018
2.1K Takip Edilen493 Takipçiler
Laurent Mtei justine retweetledi

LIVE: KUKURU KAKARA PODCAST: MEI 22, 206 x.com/i/broadcasts/1…
Eesti
Laurent Mtei justine retweetledi
Laurent Mtei justine retweetledi
Laurent Mtei justine retweetledi

Si lazima uwe mwanachama wa CHADEMA kuchangia harakati
Kumbukeni tumekuwa tukilia kupata chama cha kuongoza mapambano
Sasa tuelewe kuwa wakoloni weusi wamehakikisha chama hiki hakipati fedha na walifungiwa mwaka mzima!
Kufanikisha harakati zao ni muhimu tuwachangie!
Kwa namna hii @ChademaTZ2 wazidi kuelewa kuwa wananchi tunataka wasukume #FreeTunduLissu na #KatibaMpya - wao kwa sasa ni chama cha wananchi si cha wanachama wao tu!
Namna ya kuchangia 👇🏾 iko kwenye bango!

Indonesia
Laurent Mtei justine retweetledi
Laurent Mtei justine retweetledi

Laurent Mtei justine retweetledi
Laurent Mtei justine retweetledi
Laurent Mtei justine retweetledi
Laurent Mtei justine retweetledi

KESI DHIDI YA CHADEMA, MAHAKAMA KUU KUTOA UAMUZI (RULING) KESHO TAREHE 20/05/2026:
Kesho, Mahakama kuu, Masijala ya Dar es salaam inatarajiwa kutoa uamuzi mdogo dhidi ya pingamizi la mawakili wa Chama kwenye kesi ya Madai ya Said Issa Mohamed na wenzake dhidi ya Bodi ya wadhamini wa CHADEMA na Katibu Mkuu wa Chama.
Itakumbukwa kwamba, Mahakama kuu baada ya kusikiliza pingamizi hilo, Iliana kutoa uamuzi kesho kuanzia saa sita mchana.
Endapo Mahakama kuu itaona pingamizi hili lina mashiko basi kesi hiyo itakuwa imeshia hapo, na kama ikitupilia mbali pingamizi basi shauri hilo litaendelea.
Wananchi mnaopenda haki na marafiki wa Demokrasia tukutane Mahakama kuu.
Indonesia
Laurent Mtei justine retweetledi

Katika Kanda yangu ya Magharibi inayojumuisha mkoa wa Tabora, Kigoma na Katavi (Chadema) kuna mtu ambaye anaishi Dar es Salaam lakini ni mzaliwa wa Ukumbisinganga-Kaliua mkoani Tabora (sitamtaja kwa jina leo)
Mtu huyo anafahamika kwa kwa kufanya "press" nyingi zinazoisifia serikali na kui"ponda" Chadema. Hata majuzi amefanya "Press" akimsema Makamu wa chama CDM John Heche, amepewa kandarasi ya kutafuta watu wajifanye ni viongozi wa CDM toka katika maeneo mbali mbali katika Kanda yangu kwa kuwapa pesa kidogo huku yeye amepewa pesa nyingi sana toka sehemu.
Lengo la kutafuta watu wao ambao watavalishwa nguo za chama cha CDM ni kufanya "Press" zitakazo kuwa na lengo la kuonyesha hawakubaliani na msimamo wa Kamati Kuu na Uongozi wa CDM Taifa wa sasa.
Nina taarifa kuwa leo kundi la kwanza la watu hao watafanya "Press" Tabora Mjini muda wowote kuanzia saa tano Asbh hii.
Wakati sahihi ukifika nitafanya "Press" juu ya suala kwa ushahidi. Kwa sasa nitoe tu rai kwa viongozi, wanachama wote CDM na wapenda Haki na demokrasia katika Kanda yetu waepuke kukichafua chama chetu ambacho ndio tegemeo la watanzania kwa sasa kwa nia ovu ya wanaowatafuta kufanya hivyo.
19/5/2026.
Indonesia
Laurent Mtei justine retweetledi
Laurent Mtei justine retweetledi

@IAMartin_ @MsigwaMpenda Katibu wa Jimbo la kahama ukweli najiskia burudani kwa Matunda haya. Sisi tunalingia wananchi wao wanalingia Polisi
Indonesia
Laurent Mtei justine retweetledi
Laurent Mtei justine retweetledi
Laurent Mtei justine retweetledi

‼️🚨HATUTAKUBALI LONGOLONGO KWENYE AFYA YA LISSU‼️
Jamani eh! Mdau anadai huko gerezani wanafanya vipimo waje kusema Lissu ana food poisoning sijui madudu gani! Ni hivi masuala ya chakula kuharibika tumboni na kugeuka sumu ama kalishwa sumu hatutaelewa! Kama vipi apelekwe Aga Khan tutamchangia ila afanyiwe vipimo! Na kwa usalama wa nchi MWACHIENI mara moja!
Mlishaonywa na Polepole muache huu upumbavu wa kumweka ndani - yakitokea ya kutokea mtajiteteaje? Mkaishia kumteka na Polepole! Mijitu mikatili ninyi 🚮
#FreeTunduLissu

Indonesia
Laurent Mtei justine retweetledi
Laurent Mtei justine retweetledi

Tupeni CHADEMA hii nchi tuiongoze tukishindwa kazi mtupige chini, ndio uzuri wa demokrasia ukiwa mbaya ukashindwa kutimiza yale wananchi wanataka watakupiga chini, wananchi ndo maboss kwenye nchi inayoheshimu demokrasia.
#PEOPLESPOWER
#NGUVUYAUMMA
#LISSUSIOMHAINI
#FREELISSU
Indonesia
Laurent Mtei justine retweetledi
Laurent Mtei justine retweetledi
















