ELIZABETH MAMBOSHO

965 posts

ELIZABETH MAMBOSHO banner
ELIZABETH MAMBOSHO

ELIZABETH MAMBOSHO

@mambosholizzy

Katılım Eylül 2024
958 Takip Edilen3.9K Takipçiler
ELIZABETH MAMBOSHO
ELIZABETH MAMBOSHO@mambosholizzy·
Tunaanza upyaaaaaaaaaa ✌️✌️✌️
हिन्दी
28
152
956
9.2K
Vitus Nkuna
Vitus Nkuna@VitusNkuna·
Kaskazini mpaka Kusini mwa Tanzania , Magharibi mpaka Mashariki mwa Tanzania, CHADEMA hatuta ruka,Kitongoji,Kijiji, Kata,Jimbo,Wilaya na Mkoa tutaongea na Watanzania kwenye Mikutano ya hadhara na Operesheni mbalimbali. HAKI imeshinda Mungu Ibariki Tanzania Mungu ibariki CHADEMA.
Vitus Nkuna tweet mediaVitus Nkuna tweet mediaVitus Nkuna tweet media
Indonesia
11
74
333
2.8K
HP wa zamani
HP wa zamani@odompopodo·
@IkindaKani11826 Huyu ni lizzy Namkumbuka sana alipokamatwa na kitoto kidogo cha miezi miwili sijui
Filipino
1
1
4
200
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Dada Elizabeth Mambosho, Mungu akubariki sana kwa majitoleo yako. For the records, Lizzy hajawahi kosa mahakamani. Alipigwa na kudhalilishwa mahakamani Kisutu April mwaka jana. Alikabiliana na makarao waliopiga watu Mahakama Kuu. A LIONESS in her category. Respect!!
Chadema Tanzania@ChademaTZ2

Dua na Sala leo Mahakamani.

Filipino
8
105
660
10.7K
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Watanzania soon mtapata habari njema ambazo kidogo zitatufanya tuone dunia inajali mauaji ya kikatili tuliyoyapitia. Bookmark this tweet.
Indonesia
179
712
5.2K
161.8K
ELIZABETH MAMBOSHO
ELIZABETH MAMBOSHO@mambosholizzy·
KANDA YA PWANI ITAONGEA LEO Leo saa kumi jioni Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani, Mh. @ExMayorUbungo atazungumza na wananchi kupitia vyombo vya habari. Nitawaletea link ✌🏽✌🏽
ELIZABETH MAMBOSHO tweet media
Indonesia
3
56
260
6.6K
Ramm
Ramm@AbdulRamad27884·
@mambosholizzy Wanaompost huyu jamaa ukiangalia wote ni chadema, you guys are so nice and kind😂😂, ila hatuwezi kuwapa nchi
Filipino
2
0
0
37
ELIZABETH MAMBOSHO
ELIZABETH MAMBOSHO@mambosholizzy·
#BREAKING_NEWS Nicodemus Julius loyore Amekamtwa jana ofisini kwake walienda watu waliovaa kiraia wakajitambulisha kuwa ni Polisi wakamchukua na kuondoka nae Ofisi yao,, Ofisi za ALISTAIR. #FreeNicodemusLoyore
ELIZABETH MAMBOSHO tweet media
Indonesia
10
86
281
11.3K
Adv. Dickson Matata
Adv. Dickson Matata@AdvMatata·
Jana @MalisaGJ_ aliutaarifu umma juu ya watu waliovamia nyumbani kwao Kidia Moshi usiku wa manane. Leo tangu saa tatu Polisi wako hapo na wamemweka mama yake chini ya ulinzi wakiwa na waandishi wa habari kadhaa. Hakuna mtu anaruhusiwa kufika hapo hata majirani wamezuliwa.
Indonesia
12
114
525
15.2K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Mtu HAJAFA unatupostia-ili iweje?
SIR TIVA tweet media
Indonesia
76
88
1K
26.3K
Alcantara
Alcantara@Luminol190·
@mambosholizzy Hapo kwenye chadema digital hebu mfanye maboresho kidogo hasa kwenye payments.
HT
1
0
4
77
ELIZABETH MAMBOSHO
ELIZABETH MAMBOSHO@mambosholizzy·
Huu ndio ukweli ✌️✌️✌️ Hakikisha umekamata kadi yakoya Chadema ya kidigitali.
ELIZABETH MAMBOSHO tweet media
Filipino
14
124
453
5.1K
ELIZABETH MAMBOSHO retweetledi
Ananilea Nkya (PhD)
Ananilea Nkya (PhD)@AnanileaN·
Siku zilizobaki kwa mwaka huu 2025 ikiwa ni pamoja na X-Mas, SIYO VEMA kwa Mtanzania yoyote kutoka kwenda KUSHEHEREKEA hasa kwenye miziki ya wasanii kwa sababu familia nyingi zina MAJONZI kufuatia watawala KUWAUWA raia wengi kwa kutumia RISASI mwezi Oktoba.
Indonesia
0
141
587
14K