WakuSiz%*%₩¥

7.7K posts

WakuSiz%*%₩¥ banner
WakuSiz%*%₩¥

WakuSiz%*%₩¥

@mrpromic17

Tz4lif

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Eylül 2021
809 Takip Edilen438 Takipçiler
OSAMA BIN LADEN
OSAMA BIN LADEN@AllyAssed13070·
Niwe mkweli sjawahi ishi dar es Salaam spajui dar es Salaam ila one day nataman siku 1 nifike dar ila maisha tuu ndo tatizo 😭
Indonesia
6
1
11
403
EastAfricaTV
EastAfricaTV@eastafricatv·
#MICHEZO: Msemaji mkuu wa serikali na katibu wa Wizara ya Habari sanaa Utamaduni na Michezo Gerson Msigwa pamoja alipokuwa na Waziri wa wizara hiyo Mheshimiwa Waziri, Prof. Palamagamba Kabudi katika uwanja wa Benjamin Mkapa ameweka wazi kuwa uwanja huo kwa sasa umekamilika tayari kwa mchezo wa fainali. "Uwanja upo vizuri na tayari kwa fainali ya Kombe la Shirikisho kati ya Mnyama @simbasctanzania na @rsbfootball ya Morocco tarehe 25 Mei, 2025" - Gerson Msigwa #Michezo #EastAfricaTv
Filipino
61
22
665
88.3K
WakuSiz%*%₩¥ retweetledi
Agnes Prudence
Agnes Prudence@agnes_prudence·
Kuku wa kienyeji si chakula tu – ni ladha halisi ya asili, afya na ubora wa kitanzania Unapokula kuku wa kienyeji, unarudi nyumbani. Bei yake ni 27,000/= Tunapatikana Kiluvya Delivery ipo ndani ya DSM, unalipia gharama za usafiri Call/WhatsApp: 0623 374 863 #kukuwakienyeji
Agnes Prudence tweet mediaAgnes Prudence tweet mediaAgnes Prudence tweet mediaAgnes Prudence tweet media
Indonesia
1
42
62
6.1K
Dazzy Elly
Dazzy Elly@AsajileDaniel·
Tafuta pesa kwa nguvu mpaka ufanikiwe kuzipata,pesa ikupe kujiamini. Ikikupa jeuri basi inaweza kuwa ni anguko lako.Ugumu wa pesa sio kuipata bali ni kuifanya iendelee kuwa yako.Wengi walipata pesa ila wakarudi kwenye umasikini na hawajanyenyuka tena. Good morning fam.
Indonesia
61
54
111
2.9K
WakuSiz%*%₩¥ retweetledi
Necto Kitiga
Necto Kitiga@NectoKitiga·
Makamu Mwenyekiti @HecheJohn akipokea Zawadi ya Kuku Kutoka kwa Viongozi wa Jimbo la Kyerwa Mkoani Kagera baada ya kumalizika kwa Mkutano wa hadhara Mchana wa leo Mei 08,2025. #NoRefomsNoElection
Necto Kitiga tweet mediaNecto Kitiga tweet mediaNecto Kitiga tweet media
Indonesia
1
30
196
5.2K
WakuSiz%*%₩¥ retweetledi
MalisaGJ
MalisaGJ@MalisaGJ_·
Hatimaye moshi mweupe (Fumata Bianca) umeonekana "Sistine Chapel" kuashiria Papa mpya amepatikana. Anakua Papa wa 267 toka Kanisa Katoliki lilipoanza kumhesabia Mtume Petro kama Papa wa kwanza. Conclave iliyomchagua Papa mpya imewakutanisha Makadinali 133 na kuwa "conclave" kubwa zaidi kuwahi kutokea kwani mara zote huwa hawazidi 120. So hii ni mara ya kwanza kuzidi. Papa mpya alipaswa kupata 2/3 ya kura za Makadinali wote, yani angalau kura 90 au zaidi. Baada ya kuchaguliwa, Papa mpya ataelekea "Cubiculum Lacrimarum" yani chumba cha machozi kilichopo "Sistine Chapel" kwa ajili ya kuomba rehema za Mungu amsaidie kubeba wajibu huu mkubwa. Ndani ya chumba hicho ndipo atavaa mavazi ya Kipapa kwa mara ya kwanza. Kisha "Protodeacon" atatangaza "Habemus Papam" yani tangazo rasmi la kumpata Papa mpya. Kardinali wa Ufaransa Dominique Mamberti ndiye Protodeacon wa Conclave hii, kwahiyo yeye ndiye mwenye mamlaka ya kutangaza "Habemus Papam" na kumtaja Papa mpya. Baada ya kutajwa Papa mpya atajitokeza kwa mara ya kwanza katika dirisha la Basilica kuu la Mtakatifu Petro na kusalimia maelfu ya waumini waliokusanyika mahali hapo wakikesha usiku na mchana kuisubiria siku hii. Papa mpya ataanza na maneno "benedictio urbi et orbi" yaani "baraka ziwe kwa mji huu (Vatican) kwa Ulimwengu wote" kisha atataja jina alilochagua kutumia katika Upapa wake.!
Filipino
1
10
138
6.1K
WakuSiz%*%₩¥ retweetledi
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Kiroho Safi naomba Repost yako hapa.
The mandevu tweet media
Filipino
21
319
632
20.3K
WakuSiz%*%₩¥ retweetledi
George Rugambwa
George Rugambwa@georgerugambwa·
Nyota wa zamani Uso kwa uso na wanamapinduzi Hayaamini machoye! Alikipata chama Akazipata enzi Akajivika ufalme Akavuruga hesabu Akapanda ulingo dhidi ya wakti Wakti ukampupusa. Ufipa jifunzeni Ukuu wa wakti Wakti kipupuso Kwenu kishawasili.
George Rugambwa tweet media
Indonesia
5
11
236
74.5K
CMFUKWE
CMFUKWE@cmfukwe_tz·
Mwenyezi Mungu akapate kubariki haso zetu hii leo zikapate kuzaa matunda🙏. Gm wakuu🤝
CMFUKWE tweet media
Indonesia
47
98
1.2K
37.6K
WakuSiz%*%₩¥ retweetledi
𝐢𝐚𝐦_𝐬𝐢𝐭𝐭𝐲 💚😻
Si atokee mkaka mmoja anipe helaaa, nimfatie vitambaa halafu anipe maelekezo nimshonee mama/ mlezi / mke au dada yake gauni nipate ugali...!.
𝐢𝐚𝐦_𝐬𝐢𝐭𝐭𝐲 💚😻 tweet media
Indonesia
10
31
94
3.5K
WakuSiz%*%₩¥ retweetledi
Sarafina
Sarafina@Finah_Business·
JIKO DOGO LA UMEME TSH 30,000 LINATUMIA UMEME KIDOGO 0755693113 📍DAR, MIKOANI NATUMA
Sarafina tweet media
Filipino
2
55
57
1.8K
WakuSiz%*%₩¥ retweetledi
Masaki
Masaki@selemasaki·
Wacha tu waandishi wa habari wapewe tuzo maana wqnapitia mengi sana 😂😂
Indonesia
38
69
796
117.9K
WakuSiz%*%₩¥ retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Haya ndio maamuzi ya MAHAKAMA siku ya jana (6.5.2025). Baada ya sarakasi za muda mrefu sasa rasmi mahakama inasema UMMA unaruhusiwa kufika mahakamani kusikiliza Kesi ya LISSU. Wale ndugu zetu 25 waliovunjwa miguu na mikono 24.4.2025 na kuenda kutupwa maporini huko waliwe na wanyama watakuwa mstari wa mbele tukamuonyeshe mwenyekiti makovu na vidonda vya KUPIGANIA HAKI. Sisi wengine tunatakiwa kujitokeza kwa wingi sanaa maana mahakama imejiandaa vyema kuhimili kundi kubwa la watu litakalojitokeza MAHAKAMANI siku hiyo. Kikubwa na cha muhimu ni kulinda AMANI. Kutokufika MAHAKAMANI 19.5.2025 ni USALITI kwa #NoReformsNoElection , ukiona unashindwa kuja MAHAKAMANI siku hiyo inamaanisha wewe ninsehemu ya WAKOLONI WEUSI, ambao mnafurahia KUPEWA kesi ya UHAINI MH. Tundu Lissu. Wakazi wa DAR & mikoa JIRANI karibuni sana tukaonyeshe MSHIKAMANO wetu kwenye hili, tunaenda kushinda. #freetundulissunow #NoReformsNoElection #TUTAKUWEPO🫵🏾😎
SIR TIVA tweet media
Indonesia
8
31
129
6.3K
WakuSiz%*%₩¥ retweetledi
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Nauza bei ya kila mtu apate, karibuni sana The Mandevu Store 👊
The mandevu tweet media
10
45
223
11.5K
WakuSiz%*%₩¥ retweetledi
Mondinho Diallo
Mondinho Diallo@Mondinhodiallo·
Jersey Original 💫💫 Size: S M L XL 2XL Price: 15,000 Delivery Yes I Do Call & Dm 0626560477 @Mondinhodiallo Leo si mnaona wenyewe bei imekufaa sanaa! 😊🔥
Mondinho Diallo tweet mediaMondinho Diallo tweet media
Indonesia
4
50
54
3.1K
WakuSiz%*%₩¥ retweetledi
malone
malone@malonetz_·
YALIYOJIFICHA NYUMA YA UTUMISHI WA MUNGU WA MOTHER TERESA. Alikuwa na Huruma Iliyoumiza, Katika Hospitali Zake Vifaa vya Matibabu Vilikuwa Vinaoshwa na Maji na Kisha Kutumika Tena Upya kwa Wagonjwa Wengine.🥺 Alikuwa Anapokea Misaada Kutoka kwa Wahalifu. —OpenThread🪡🧵
malone tweet mediamalone tweet media
Filipino
7
9
12
6.8K
WakuSiz%*%₩¥ retweetledi
Ronaldinho
Ronaldinho@10Ronaldinho·
SOM CAMPIONS! Título La Liga 06, com vitória diante da nossa torcida e mta festa em Barcelona!!! Vamos por mais @FCBarcelona 💪🏾 🔵🔴
Português
262
3.5K
39.9K
658.1K