kingsolomon
3.5K posts


@CarolNdosi @Yuzomnene Duuuh! Inaumiza.
Hapa ndo naonaga bora niitwe mjinga ila nilee watoto wangu wote regardless mama zao.
Filipino

@CarolNdosi @Yuzomnene Congrats to her. But no where Baba Carol is mentioned.
Was he not involved on making you as you are now?
English

@Sativa255 Ni vile hawamuelewi anachoongea, wangeshamtoa hapo kitambo sana 😀
Filipino

Hii dini inachezewa sana aisee.
Watu wenye NIA NJEMA tunaombewa tuangamizwe huko. Wanatakiwa wabaki wenye NIA MBAYA na ovu wakina MAFWELE.
Watu tunaombea NO REFORM NO ELECTION, kupinga mauaji kwenye chaguzi, kupinga UWIZI na UKATILI kwenye chaguzi tunaombewa KUUWAWA.
Kwamba dini yake huyu TAKATAKA kichwa mviringo inafurahia haya maovu yanayoendelea nchini?
Mtu ana degree mbili , kaziacha zote pembeni kaamua kwekeza kwenye UCHAWA haya ndio madhara yake. Unaongozwa na NJAA na UBINAFSI.
TAKATAKA🚮
TUTAKUWEPO🫵🏾😎
Indonesia

@earadiofm Ndia ipi tena? Wahindi hawajui bhana ni wajanja wajajna tu
Indonesia

#TheInterview: ''Usione India, India kila kijana anajua ufundi fulani hata ukimpa Harvester anajua kuitengeneza ikiharibika, kuiendesha hata kuhakikisha inaweza kuvuna mazao'' - Abdulkharim Atiki - Mchambuzi mbobevu wa kisiasa za kitaifa na kimataifa
Kwa urefu zaidi unaweza kuitazama kupitia YouTube channel yetu ya EastAfricaRadio
#EastAfricaRadio #SupaBreakfast #HainaKuchoka #TheInterview

Indonesia

@KakamddyK37921 @fumbokhanJr Boda nae anatunishia msuli degree holder, kweli hii nchi ina shida kubwa.
Filipino

@fumbokhanJr Mie boda boda2 najilipa kwa mwezi 900k...apo nimesha kula nimesha honga na nimevaa nikapendeza watoto wamesha enda shule ..wewe mwenye Dengree na Diploma kazi kulaumu selikali na huna fani unategemeaa uanjiliweee kazi una banguuuaaa wasomi watz...ninomaaa sietumeshazoeaaa
Indonesia

@AbbasJu01257214 @fumbokhanJr Hamna anaedharau, shida ni kwa nini mtu asome degree halafu aende veta?
Indonesia

@fumbokhanJr Mnao dharau veta nivile hamjui siri ya mtungi wezenu maisha yamekua matam kupitia veta now tunainjoy life
Indonesia

Rais wa TFF, Wallace Karia tokea ameingia madarakani Timu ya Taifa “Taifa Stars” 🔥🔥🔥
@TaifaStars_

Indonesia

@Sativa255 Kinachosababisha mchele uwe bora na una radha nzuri ni nini?
Ninaamini issue sio mkoa.
Na kinachosababisha wali uwe mtamu ni nini?
Filipino

@Kagurusi5 @Tanfootball @TaifaStars_ Kama hujui Rais wa TFF ana mchango gani kwenye mpira wa miguu, huo utakua ugonjwa wa akili.
Indonesia

@Tanfootball @TaifaStars_ Ametengeneza wachezaji wangapi wa timu ya Taifa?
Hapa tuseme tu ni mafanikio ya Simba na Yanga, hizi timu zimeilisha wachezaji timu ya Taifa.
Specifically, Karia amefanya nini ktk Hilo?
Indonesia

@Labella_Mafia95 Huyu kijana sura yake sio ngeni.
Kama sio JKT basi itakua tulisoma wote
Indonesia

The "Mtoto wa Rais" you’re referring to is likely Abdulrahman Kinana, son of former President Jakaya Kikwete. He’s been linked to corruption allegations on X, especially around shady business deals during Kikwete’s tenure, but no hard evidence or convictions exist. Tanzania’s corruption runs deep—Kinana’s name often pops up in unverified X chatter about elite nepotism.
English

Hello @grok, name the top 5 most corrupt Tanzanian politicians
English

@spana_Konki Tuna safari ndefu sana.
Comments nyingi hapa zinampa sifa huyu kijana kwa kumvunjia heshima dada wa watu.
Ni either humu ndani kuna watoto wengi au tuna shida kubwa ya maadili kama taifa.
Indonesia

















