mujun katikabakama

2.7K posts

mujun katikabakama

mujun katikabakama

@mujun77

Mwenye kutawala akisikiliza uongo watumishi wake wote watakuwa waovu Mithal 29:12

Katılım Mart 2022
137 Takip Edilen65 Takipçiler
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
We as Tanzanians are deeply disappointed in @AlikoDangote and @DangoteGroup for choosing to legitimize a woman who, just six months ago, massacred over 10,000 of her own citizens in order to cling to power. While Tanzanian families are still searching for the bodies of their loved ones, Dangote chose not to stand with the victims, but instead to shake hands with the butcher of Tanzania. At a time when humanity should come before profit, Dangote has chosen business over justice, silence over conscience, and access over moral courage. @AlikoDangote could use his enormous influence across Africa to speak out against the killings, the disappearances, and the brutality inflicted upon Tanzanians. Instead, he is using that influence to normalize and legitimize a regime built on bloodshed and fear. @AlikoDangoteFdn @DangoteGroup We Tanzanians do not recognize this woman as our legitimate president, and when our country is reclaimed by its people, we will not honor agreements unlawfully entered into on behalf of Tanzanians by an illegitimate regime. @AlikoDangote Did you learn nothing from how lawless Tanzania is from your experience with Magufuli? when your cement factory investment in Mtwara was undermined? Yet once again, you are choosing to align yourself with repression instead of justice. KEEPING FUCKING AROUND, NEXT TIME YOU SHALL REALLY FIND OUT!!!!! What Tanzania needs right now is accountability, healing, and justice for the victims not Africa’s richest businessman helping sanitize the image of those responsible for the killing of our children. @bbcswahili @CNNAfrica #Dangote #alikoDangote #Dangotegroup #NIGERIA
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet mediaMange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet media
English
31
166
764
23.1K
millardayo
millardayo@millardayo·
Vyombo vya Ulinzi na Usalama Nchini Uganda vimekamata Mali za aliyekuwa Spika wa Bunge la Uganda Anita Among yakiwemo magari yake ya kifahari aina ya Rolls-Royce Cullinan pamoja na Range Rover katika operesheni kubwa ya kupambana na Ufisadi na utajiri unaotiliwa shaka inayoendelea nchini humo. Operesheni hiyo imefanyika hii leo Mei 18, 2026 katika makazi yake ya Kigo, Wilaya ya Wakiso ambapo maafisa kutoka Idara ya Upelelezi wa Jinai nchini Uganda (CID), Vikosi vya Kijeshi vya UPDF pamoja na vitengo vya ujasusi walizingira eneo hilo kwa ulinzi mkali ambapo wameyachukua magari hayo na kwenda nayo makao ya uchunguzi wa Polisi Naguru kwa uchunguzi zaidi. Aidha kwa mujibu wa ripoti za Vyombo vya Habari vya Uganda, uchunguzi huo umeongezwa hadi kwenye mali nyingine zinazohusishwa na Among katika maeneo ya Ntinda, Nakasero na Bukedea, ambapo Maafisa wa upelelezi wanatafuta nyaraka za kifedha, kumbukumbu za mali na ushahidi mwingine unaohusishwa na madai ya utakatishaji fedha, matumizi mabaya ya ofisi na utajiri usioelezeka. Gari la kifahari la Rolls Royce limezua mjadala mkubwa Nchini humo baada ya kuripotiwa kuingizwa Uganda, Januari 2026 kupitia kampuni ya Anita Foundation Limited, ripoti zimedai kuwa zaidi ya Shilingi bilioni 1 zililipwa kwa fedha taslimu kwa ajili ya ushuru na gharama za usafirishaji, jambo lililoibua maswali kuhusu chanzo cha fedha hizo. Among, ambaye hapo awali amedai kuwa gari hilo lilikuwa zawadi ya siku yake ya kuzaliwa kutoka kwa marafiki na biashara zake, amekuwa chini ya shinikizo kubwa la kisiasa na uchunguzi wa ndani na nje ya Uganda, Marekani na Uingereza tayari zilimuwekea vikwazo mwaka 2024 kufuatia madai ya ufisadi yanayohusiana na sakata la mabati ya Karamoja. Hatahivyo, taarifa zinaeleza kuwa simu ya Among pamoja na baadhi ya vifaa vingine vya kielektroniki vimechukuliwa kwa uchunguzi wa kidigitali huku Maafisa wawili wa karibu naye wakizuiliwa kwa mahojiano. Credit Picha: #DailyMonitor #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
13
5
163
17.1K
Thadei Mhabuka
Thadei Mhabuka@mhabukat·
Kifupi kiongozi huyu walimkamata akiwa na afya njema hata haya yanayo semwa yanatuachia maswali mengi sana hivi nani anae washauri kufanya mambo ya hovyo kama haya hivi huyu kiongozi mwenye wafuasi wengi kiasi hiki ikithibitika amepewa chakula chenye sumu wananchi hatutawaelewa.
Thadei Mhabuka tweet media
Indonesia
3
14
52
789
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Mkuu wa Kituo OCS Kenya aliamua kuwaachia waandamanaji - sasa kawekwa yeye ndani Je polisi 🇹🇿 wanajifunza nini hapa?
MwanzoTvPlus@MwanzoTvPlus

#KENYA: MKUU WA POLISI AKAMATWA BAADA YA KUWAACHIA WASHUKIWA WA MAANDAMANO KENYA Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Central nchini Kenya, Chief Inspector Dishen Angoya, amekamatwa kwa tuhuma za kuwaachia washukiwa 64 waliokuwa wamekamatwa wakati wa maandamano ya kupinga ongezeko la bei ya mafuta yaliyoikumba nchi hiyo. Polisi nchini Kenya wanasema Angoya anachunguzwa kwa madai ya kutumia vibaya madaraka baada ya kuwaruhusu washukiwa hao kutoka mahabusu bila idhini halali kufuatia vurugu zilizoshuhudiwa wakati wa maandamano hayo. Kukamatwa kwake kunakuja wakati Kenya ikiendelea kushuhudia mvutano mkubwa baada ya maandamano yaliyovuruga shughuli za usafiri na biashara katika maeneo mbalimbali nchini humo kutokana na kupanda kwa gharama ya mafuta. Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Kenya Kipchumba Murkomen amesema watu wanne walifariki dunia, zaidi ya 30 kujeruhiwa huku washukiwa 348 wakikamatwa wakati wa maandamano yaliyoripotiwa katika kaunti kadhaa nchini humo. Wakati huo huo, maafisa wa upelelezi wanaendelea na uchunguzi kuhusu tukio la kuchomwa moto kwa gari linalodaiwa kumilikiwa na mwanasiasa wa chama tawala cha UDA wakati wa vurugu zilizotokea katika eneo la Thika Road.

Indonesia
8
25
120
7.9K
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
Naikumbuka kauli ya Mzee Warioba. Je! anayelalamikiwa akiunda tume itaaminika? Ni wale wale wanatafuta kutakasana. Damu haitakaswi kwa sanaa bali kwa kuwajibika au kuwajibishwa. Hapo wameshaanda watu wa kuwatoa sadaka.
joseph_selasini tweet media
Indonesia
12
31
158
4.9K
mujun katikabakama
mujun katikabakama@mujun77·
@AlexSamoja Hakuna kosa lolote hii ni hofu ya watawala wameifanyia mambo mabaya Tanganyika tangu uhuru mpaka sasa wanaogopa siku wakitoka madarakani Watanganyika tutalipa kisasi. Namimi nawambia kwanza tutawatoa,pili kisasi tutalipa tutawafata nakuwanyanganya mlivyoiba.#FreeTunduLissu
Indonesia
1
0
1
43
Sekenke One 🌻
Sekenke One 🌻@AlexSamoja·
Kwani CHADEMA iliwakosea nini CCM na polisi.
Sekenke One 🌻 tweet media
15
35
192
3.4K
mujun katikabakama
mujun katikabakama@mujun77·
@eastafricatv FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu @SuluhuSamia
IS
0
0
0
13
EastAfricaTV
EastAfricaTV@eastafricatv·
#HABARI MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kabla ya kuanza kwa mchakato wa maridhiano ya kisiasa, ni vyema kuwabaini kuwachukulia hatua za kisheria kupitia vyombo vya haki watu waliohusika na vurugu zilizosababisha madhara vikiwamo vifo. Amempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kuunda Tume ya Kuchunguza Vurugu za Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 kwa lengo la kujua kiini cha tatizo hilo. Wasira lieleza hayo jana alipohutubia mkutano wa hadhara Mjini Kigoma akiwa katika ziara ya kichama mkoani humo. "Mimi sijasema jina la mtu, lakini wenye kujua hayo mambo wanajijua, waache jinai ichunguzwe kama walihusika waende kwenye vyombo vya haki na sio wengi, wanaobaki watu wema tukae tufanye nao maridhiano," alisema. Alimpongeza Rais Samia kwa kuunda tume ya kusaidia kujua chanzo cha vurugu hizo, pia alipongeza kazi nzuri iliyofanywa na tume hiyo kufanya uchunguzi huo. "Rais (Dk. Samia) tunamshukuru na kumpongeza sana, kwa kuunda tume ya kutusaidia kujua chanzo. Tunampongeza na tunaipongeza tume ambayo imesema katika uchunguzi wake imegundua kuna watu si wengi lakini ndio walioanza mpango ule walifadhili. "Sasa wanasema (tume) wao hawakuwa polisi wa kuwakamata, lakini wanasema tuchunguze wale walioonekana ili tusiwe tunafuga nyoka ndani ya nyumba," alisema. Alisema hakuna anayeshabikia matukio yenye kuumiza yaliyosababisha vifo na kwamba anayefanya hivyo hayuko sawa kiakili. "Wanasema watu wamekufa, ni nani anafurahia kufa watu labda uwe na wewe akili yako imeharibika kama unasherehekea kufa watu. Wote tunapinga mauaji, lakini nani amesababisha, halafu wale walioko wengine kama tunawahisihisi ndio tena wanataka kutufundisha namna ya kufanya...vurugu muanzishe nyie na namna ya kumaliza mgogoro mtupe nyie, hapana," alisema. #EastAfricaTV
Indonesia
10
3
23
2.5K
mujun katikabakama
mujun katikabakama@mujun77·
@maganja_ye71804 FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu @SuluhuSamia
IS
0
0
0
19
Yeremia Maganja
Yeremia Maganja@maganja_ye71804·
#SalumMwalimu tafadhali sana usitukejeli Watanganyika! Ndugu. Othman Masoud Othman hawezi ongoza hicho ulichokiita Maridhiano! Chukua hili: wakati wa kuanzishwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa kule Zanzibar, CCM-Dodoma chini ya Mzee wa Msoga hawakukubaliana na mambo mengi. 1/3
Yeremia Maganja tweet mediaYeremia Maganja tweet media
Indonesia
8
25
109
23.8K
mujun katikabakama
mujun katikabakama@mujun77·
@RahmaMwita FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu @SuluhuSamia
IS
0
0
0
21
Rahuuuum
Rahuuuum@RahmaMwita·
Wakenya wamefika mbali bhana, yule Dada aliyechora tattoo ya Rais Ruto wamemchoma moto kafariki. Sasa hao wanaharakati wetu waliopo huku wakirudi Bongo si itakua balaa.
Indonesia
34
14
186
18.1K
mujun katikabakama
mujun katikabakama@mujun77·
@henrylongino1 @HildaNewton21 FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu @SuluhuSamia
IS
0
0
0
12
ATUPHENA💊
ATUPHENA💊@henrylongino1·
@HildaNewton21 Chadema kwa sasa toeni tamko serious la kumdai Tundu Lissu. tusiwachekee hawa madhulumati na mashetani CCM
Indonesia
2
0
2
159
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Wapendwa Haki wote, tunatakiwa kumpigania Mhe. Lissu kwa nguvu zetu zote ili Nduli Idd Amin Mama amuachie maana wote tunajua Mhe. Lissu sio muhaini. Mhe. Lissu yupo jela hawezi kujipigania lakin sisi ambao tupo uraian, hili ni jukumu na tukiunganisha nguvu zetu kama tulivofanya kwenye #Mo29 lazima watatema ndoano. #FreeTunduLissu
Hilda Newton tweet media
Indonesia
9
168
642
12.5K
mujun katikabakama
mujun katikabakama@mujun77·
@HildaNewton21 FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu @SuluhuSamia
IS
0
0
0
53
mujun katikabakama
mujun katikabakama@mujun77·
@ikulumawasliano FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu @SuluhuSamia
IS
0
0
0
111
ikulu_Tanzania
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na aliyekuwa Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia anayesimamia nchi za Malawi, Tanzania, Zambia na Zimbabwe, Bw. Nathan Belete, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 18 Mei, 2026. Bw. Belete ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi wa Miradi wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika, alifika Ikulu kwa ajili ya kumuaga Mhe. Rais Dkt. Samia mara baada ya kuhudumu katika nafasi yake ya awali kwa kipindi cha miaka minne. Pia aliambatana na mrithi wake Mkurugenzi Mkazi wa Benki hiyo anayesimamia nchi za Malawi, Tanzania, Zambia na Zimbabwe Bw. Firas Raad.
ikulu_Tanzania tweet mediaikulu_Tanzania tweet mediaikulu_Tanzania tweet mediaikulu_Tanzania tweet media
Indonesia
4
22
60
4.8K
mujun katikabakama
mujun katikabakama@mujun77·
@MariaSTsehai FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu @SuluhuSamia
IS
0
0
0
55
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
‼️🚨MOMBO ANAISHI KAMA DIGIDIGI‼️ Huko ndani mambo si shwari! Mombo amekataa kuishi kwenye nyumba za serikali na kaamua kuishi huko Dodoma chini ya ulinzi mkubwa mbali kabisa kijijini 😁 Watumishi huko ndani wamewaka wanatema info wanadai akaunti yake kwa sasa inasoma 800 bilioni! Mi huwa nasema sihusudu pesa maana money cannot buy peace of mind! Ona anavyohangaika! Ila ajue #TanzaniaMassacre ni yake! Atawajibika! #TutaelewanaTu #SamiaMustGo
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
41
139
938
74.8K
mujun katikabakama
mujun katikabakama@mujun77·
@Abraha1Brighton FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu @SuluhuSamia
IS
0
0
0
200
NKENJA_7
NKENJA_7@Abraha1Brighton·
Katungu kapewa kazi ya kummaliza Lissu,akiwa Gerezani. Katungu kapewa mahela na samia na Ahadi ya kupewa nyumba DUBAI. Tunayaongea haya mapema sababu sisi tupo jikoni lakini tunapenda hili taifa katungu acha mara moja huo Mpango utaitia nchi kwenye MACHAFUKO.
NKENJA_7 tweet media
Indonesia
18
73
387
17.7K
mujun katikabakama
mujun katikabakama@mujun77·
@ikulumawasliano FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu @SuluhuSamia
IS
0
0
0
2
Mtikila Jr
Mtikila Jr@Legend_Mtikila·
Mbogamboga wakiona nyomi hili wanahaha, wanawaza kututeka na kutufungulia kesi za michongo.
Mtikila Jr tweet media
Indonesia
9
88
532
7K
mujun katikabakama
mujun katikabakama@mujun77·
@BrendaRupia Ifike mahali msifurahie uwingi wa watu na michango ya fedha tu tumieni uwingi uo kumkomboa Tundu Lissu anayeteseka gerezani bila kosa. Maneno matupu hayavunji mfupa awa watesaji muda mfupi watawazuia kufanya mikutano mtakosa jukwaa la mapambano. Free FreeTunduLissu @SuluhuSamia
Indonesia
0
0
1
47
Brenda Rupia Jonas
Brenda Rupia Jonas@BrendaRupia·
Geita mmetisha sana! Asanteni sana kwa mapokezi yenu makubwa na ya kihistoria. CHADEMA tunawashukuru kwa kujitokeza na mioyo yenu ya kujitolea na michango yenu ya ton tone ,hakika mchango yenu ina nguvu kubwa katika mapambano haya. Mwenyezi Mungu aendelee kuwabariki sana. Kesho tunaelekea Kahama kuendeleza mapambano ya kudai haki, demokrasia ya kweli, uhuru wa kweli kwa Watanzania wote na mwisho lakini sio kwa umuhimu uwajibikaji wa waliotoa order ya shoot to kill Oktoba 29. CHADEMA NI 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 #KatibaMpyaNiSasa #FreeTunduLissu #TunawatuTutashinda
Brenda Rupia Jonas tweet mediaBrenda Rupia Jonas tweet mediaBrenda Rupia Jonas tweet mediaBrenda Rupia Jonas tweet media
Indonesia
7
129
679
8.4K
mujun katikabakama
mujun katikabakama@mujun77·
@BrendaRupia Viongozi acheni kutuona wajinga kama maccm weka deadline kwa serikali ya CCM wamwachie Tundu Lissu haraka muda ukiisha ni moja tu kuingia barabarani
Indonesia
0
0
1
36
mujun katikabakama
mujun katikabakama@mujun77·
@MariaSTsehai FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu @SuluhuSamia
IS
0
0
0
114
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
‼️🚨HATUTAKUBALI LONGOLONGO KWENYE AFYA YA LISSU‼️ Jamani eh! Mdau anadai huko gerezani wanafanya vipimo waje kusema Lissu ana food poisoning sijui madudu gani! Ni hivi masuala ya chakula kuharibika tumboni na kugeuka sumu ama kalishwa sumu hatutaelewa! Kama vipi apelekwe Aga Khan tutamchangia ila afanyiwe vipimo! Na kwa usalama wa nchi MWACHIENI mara moja! Mlishaonywa na Polepole muache huu upumbavu wa kumweka ndani - yakitokea ya kutokea mtajiteteaje? Mkaishia kumteka na Polepole! Mijitu mikatili ninyi 🚮 #FreeTunduLissu
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
14
165
509
16.7K
mujun katikabakama
mujun katikabakama@mujun77·
@HildaNewton21 @AdvMatata FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu FreeTunduLissu @SuluhuSamia
IS
0
0
0
31
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Magharibi Mhe. @AdvMatata akizungumza katika mkutano wa mwendelezo wa Operesheni #KatibaMpya #FreeLissu leo tarehe 17 Mei 2026 Geita Mjini, Kanda ya Victoria.
Hilda Newton tweet mediaHilda Newton tweet mediaHilda Newton tweet mediaHilda Newton tweet media
Indonesia
2
43
196
3.1K