KAIZA

24.7K posts

KAIZA banner
KAIZA

KAIZA

@ngwekoo

Fear of God

Katılım Nisan 2022
1.1K Takip Edilen1.9K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
KAIZA
KAIZA@ngwekoo·
Taifa ambalo redioni asubuhi hadi mchana wanajadili michezo. Mchana hadi jua linapozama wanajadili umbea. Jua likizama wanarudi kwenye michezo. Usiku wanajadili ngono hadi pakuche. Hakuna vipindi vya taaluma, ujasiriamali, kilimo, midahalo. Hilo ni TAIFA lipo kaburini kitambo.
Indonesia
1
1
1
88
Sina
Sina@all_areSINA·
Hivi wakuu ukiwa unataka kupiga star👩 yeyote wa kike apa bongo unatakiwa uandae shingapi kuna mtu namlia timing😎
Indonesia
19
17
161
12.6K
R.M
R.M@shibobo___·
Kama mishe zako ni 500k mpaka 5M, ~Usiweke ela bank ~Usiweke ela kwenye line za simu 📌Weka ela ndani kwa faida yako na mtaji wako.
Indonesia
52
72
863
32.7K
CHAVO 🌟
CHAVO 🌟@HastaRuego·
Watu wana spend sana pesa, imagine hii ni Bill ya mtu kwa usiku mmoja tu 🙌
CHAVO 🌟 tweet media
Indonesia
24
16
81
10.2K
Njiwapori 10k
Njiwapori 10k@njiwapori_·
Nimehangaika weee,mwisho wasiku mwanangu mmoja kaniunga asee ni moto 🔥🔥🔥 Hapo nikiunga cha 30k ni mpka mwezi ujao.🤣🤣
Njiwapori 10k tweet media
Indonesia
35
30
91
8.3K
Latto 𝕏
Latto 𝕏@Rydx_017·
Patrota umekamatika!! kuuondoa huo mkanda hapo kooni ni tabu sana!! 😂😂 Zile risiti tumezikataaaa!!! Ila ei ai
Latto 𝕏 tweet media
Eesti
27
30
392
43.7K
KAIZA retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Makamu Mwenyekiti wa Chama Mhe. @HecheJohn akiwasili Katoro Geita. Tupate REPOST 200 Hizo repost za kukera WAKOLONI WEUSI na SISTA NYAHOZA.
SIR TIVA tweet mediaSIR TIVA tweet media
Indonesia
21
280
1.1K
10.5K
Wade wa Mercedes Mkalidayo
Siku zote kinachomponzaga Billy ni ujuaji wa kijinga haya wamekuita kaungane nao 😂😂😂
Indonesia
4
12
41
963
KAIZA retweetledi
#MTB🌍, MD
#MTB🌍, MD@Iam_Malunguja·
IGP PEKEE ALIJULIKANA SANA NI SIRRO
Suomi
36
6
99
30.8K
KAIZA retweetledi
Aruatani✨
Aruatani✨@Aruatani·
Hii Twitter ya Tanzania 🇹🇿 Wapwa tumeitoa mbali sana zamani ilikuwa ukipost kitu na hawa jamaa hawajakipenda ulikuwa unaambia FUTA na unafuta chap na unaenda DM kuomba msamaha, mpaka nilihisi au hawa ndo ma Admin wa Twitter.. 😂🙌
Aruatani✨ tweet mediaAruatani✨ tweet media
Indonesia
192
96
1.5K
86.2K
KAIZA retweetledi
MWENYENCHI 🇹🇿
MWENYENCHI 🇹🇿@mwenyenchii·
Suala la katiba mpya litawaliza wengi wenye maslahi kwa watanganyika. Hii ni moja ya sababu kwanini wabara tunaendelea kunyonywa kwa kukosa katiba mpya
Filipino
3
83
379
11K
KAIZA retweetledi
KIDUKU OFSA NGIRI
KIDUKU OFSA NGIRI@Innocen89950594·
1/4 Mana kun watu wanaoa ili waachane na huu ushetan Ikn bado wanaendelea kufny Yaan km hujawahi kufny huu ushetani bc ucjaribu kbsa ata demu wako akikupa bc kataa mana utaanza kwa demu afu utaenda kwa SHOGA na ukieend huko ndio umezama
KIDUKU OFSA NGIRI tweet mediaKIDUKU OFSA NGIRI tweet media
Indonesia
16
3
65
14.8K
Niffer💕
Niffer💕@NifferSancho_·
Page ya biashara unatumia kufanya bullying? Kasheshe
Indonesia
10
5
26
6.9K
JAXiS
JAXiS@jaxis__·
nikipata wateja kama huyu 100 tu. hata 50 tu. au 30 tu. baasi nakua nimeyapatia.
JAXiS tweet media
Indonesia
3
1
6
845
Shakur Faith
Shakur Faith@shaks_prince·
Huwa sipendi kuongelea hii mada, ila leo acha tu nijue nini hasa sababu ya haya mambo. Jana muuza viatu mwenzangu kidogo achukue sheria mkononi. Long story short, alimchukua single maza na mwanae wa miezi 8. Kaishi nae na majukumu yote hadi chalii now ana miaka MITANO. 👇🏽
Kenya 🇰🇪 Filipino
173
106
670
57.6K
KAIZA retweetledi
KINCAID💰
KINCAID💰@AmourGingi·
Ila Dar ipo kimkakati sana, yaani unakwenda saloon kunyoa unatoka umefanya na mapenzi 🤣🤣🤣
Filipino
58
59
847
43.8K
KAIZA retweetledi
Koku Shekya🇹🇿
Koku Shekya🇹🇿@koku_shekya·
Matumizi ya mitandao ya kijamii nchini Tanzania, yanasimamiwa na sheria ya makosa ya mtandao (Cyber Crime Act, Cap katika sheria ya makosa ya mtandao, sheria inazuia kuchapisha taarifa za uongo, udhalilishaji na cyber bullying. Kwa kipingi kirefu sana nimekuwa muhanga Mkubwa wa matumizi mabaya ya mitandao dhidi yangu, watu wazima kwa sababu wanazozifahamu wenyewe wamekuwa wakinidhalilisha na kwenda mbali zaidi kutumia picha yangu. Matumizi mabaya ya mitandao dhidi yangu ni kampeni ya muda mrefu inayoendeshwa kwa lengo la kushusha hadhi yangu katika Jamii, kudogodisha juhudi zangu na biashara zangu. Mashambulizi ya kimtandao niliyofanyiwa siku ya jana na leo nataka yawe mashambulizi ya mwisho dhidi yangu. Kupitia andiko hili natoa muda wa masaa 24 kwa mtu yoyote yule aliyepost picha yangu ama kutaja jina langu na kunidhalilisha kuondoa kwa kufuta posts husika na kuniomba radhi. Mara baada ya masaa 24 kupita nitachukua hatua za kisheria ili kulinda hadhi, utu na ubinadamu wangu. Tusilaumiane.
Filipino
196
94
437
161.3K
KAIZA retweetledi
Boss
Boss@Boss_941·
Muda wa kuinuana😎 Weka Handle tuku follow 🥂 Kalibu kwenye circle ya wanao engage
Boss tweet media
Indonesia
39
35
59
828