Philipo Kirumba

5.9K posts

Philipo Kirumba

Philipo Kirumba

@phillykiu

Katılım Mart 2020
811 Takip Edilen3.7K Takipçiler
Philipo Kirumba retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Tanzania Jaji ni mmoja tu Joseph Sinde Warioba. Huyu tunatakiwa kumuombea sana maana anazeeka na integrity yake, hajawai kucompromise.🙏
Hilda Newton tweet media
Indonesia
36
299
1.8K
25.7K
Philipo Kirumba retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Kuanzia leo Odero Odero sio mwanachama wa CHADEMA. Hongereni sana Tawi la Olovisa japo mmechelewa sana kumfukuza huyu msaliti. Chadema sio kijiwe cha wasaliti aende akaungane na wasaliti wenzake.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
66
227
1K
36K
Philipo Kirumba retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Kutoka kwa Mdau👇 “Mwambie @HecheJohn awe makini, kwasababu ya hofu ya watawala kwa mapokeo ya Tume ya Chande. Wanapanga kumkata na viongozi wenzake Leo Usiku. Wana hisia kwamba wananchi wataandamana kupinga hiyo ripoti, kwahiyo wanataka kuwakamata viongozi wa Chadema hasa Heche mpaka ripoti itakapotolewa.”
Indonesia
22
190
1K
45.7K
Philipo Kirumba retweetledi
Adv.Leonard Mjelwa
Adv.Leonard Mjelwa@AdvMjelwa·
Uongozi wa Jukwaa la Wasomi @ChademaTZ2 limeanda kongamano kwa Ajili ya Wasomi wa Mkoa wa @DarChaso, hii si ya kukosa kabisa, Kupitia jukwaa hili Chama kitafanya usajili na kutoa kadi kwa wanachama wapya, Jisajili sasa kama ishara ya ushiriki wako. cc:@AdvMahinyila,@HecheJohn
Adv.Leonard Mjelwa tweet media
Filipino
0
53
168
3.5K
Philipo Kirumba retweetledi
Edwin Odemba
Edwin Odemba@chiefodemba·
ZXX
21
235
996
15.4K
Gibson
Gibson@Gibson44178359·
@mangekimambi @phillykiu Chadema hii naamini si ile ya mhuni mbowe na wenzake mikundu kunuka waliohamia chauma mpaka hapa chadema hii ya leo hairubuniki na nichadrma inayojali damu za wa Tangnyika wenzetu,samia asijidanganye kesi aliyompa mh lisu aiguze daraja dunia inajua ni kesi ya uongo haitamsafisha
Indonesia
1
0
4
255
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Sijawahi kufanya video kwa ajili ya Chadema hii ndio ya kwanza. Chadema tunaomba msituangushe kwenye hili. Watanzania tumezika watu kwa ajili ya haki sio kwa ajili ya Lissu kutoka ndani au kwa ajili ya Chadema kufanya siasi.
Indonesia
152
460
2.2K
68.7K
Philipo Kirumba retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Hotuba iliyompa Mhe. @TunduALissu Ushindi kwenye uchaguzi wa Chadema January 21, 2025
Indonesia
16
231
1K
16.7K
Philipo Kirumba retweetledi
KIDUKU OFSA NGIRI
KIDUKU OFSA NGIRI@Innocen89950594·
JOHN WAGESA HECHE Anashusha Nondo Nzito Sana Hapa Wasafi Watangazaji Makada Wanapoteana. Wanauliza Swali Wanafikiri Wameuliza Swali Zito Lakini Namna Heche Anavyotoa Jibu Zito Wote Wanabakia Kukenua Meno Tu. John Heche Kanyooka Kama Mkia Wa Ngiri Mpeni RT 200 🤝
KIDUKU OFSA NGIRI tweet media
Indonesia
9
56
258
3.3K
Philipo Kirumba retweetledi
CINEMAS ANALYTIC 🎬
CINEMAS ANALYTIC 🎬@CinemasAnalytic·
Chama cha CCM kimekufa kama chama Ukiwaondolea oxygen zao mbili ambazo ni Polisi na Dola , CCM hakuna chama John heche, makamu mwenyekiti chadema Repost 320
CINEMAS ANALYTIC 🎬 tweet media
3
51
221
2.8K
Philipo Kirumba retweetledi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Chadema pokeeni huu mchango wangu ambao umetokana na pesa ambazo Watanzania wananipa kupitia subscription za Mange Kimambi App na subscription za account ya Instagram ambayo imefungwa ( ni maajabu account imefungwa ila bado wananikusanyia mapato kila mwezi na kunitumia). Hizi pesa mmpewa na Watanzania sio na Mange Kimambi maana bila Watanzania hii pesa nisingekuwa nayo. Ahsanteni sana Watanzania kwa kuendelea kulipia subscription za Mange Kimambi app, although sijaweka habari zaidi ya miezi 9 sasa. Na pia Ahsanteni ambao hamja cancel subscription za page yangu ya instagram iliyofungwa (@mangekimambi80) nawaomba msicancel. Watanzania, Chadema hawatoweza kutusaidia kudai haki kama hawana pesa yoyote. Ni lazma sisi wananchi tuwachangie. Kama jinsi mlivyojiunga kwenye subscribption za Mange Kimambi app naomba mjiunge na subscription za Chadema. Imagine Kama Watanzania laki 2 tu mkijiunga subscription ya elfu 3 tu kwa mwezi, hiyo ni milioni 600 kila mwezi kwa Chadema. Pia bila pesa hakuna movement ya maana Chadema wataweza kufanya. Wauwaji wanakodi zetu wanazitumia kushikilia nchi bila ridhaa yetu. Ni lazma tuwawezeshe Chadema.
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸 tweet media
Godbless E.J. Lema@godbless_lema

Ndugu wanachama wa CHADEMA na Wapenzi wa Demokrasia Nchini. Chama chetu kimefunguliwa rasmi kufanya shughuli za siasa. Hii ni fursa muhimu katika kuendelea na mapambano ya haki, uhuru na uwajibikaji katika Taifa letu. Lakini ukweli usioepukika ni huu hatuna ruzuku hata ya SENTI MOJA. Hii ina maana kwamba uhai, nguvu na uendelevu wa CHADEMA uko mikononi mwetu sisi wenyewe. Hatuna budi kuchukua jukumu. Hatuna budi kusimama. Hatuna budi kuchangia. Kila Mwanachama na kila mpenda Demokrasia ana wajibu wa moja kwa moja, kuchangia CHADEMA. Usione mchango wako ni mdogo. Usisubiri mwingine achukue nafasi yako. Kila senti unayotoa ni nguzo ya kusimama kwa chama hiki. Tujenge utamaduni wa kuchangia bila kusukumwa. Tujenge tabia ya kusaidia chama kila wakati. Hapo ndipo tutakapopata uhuru wa kweli wa kisiasa na kiutendaji. Mimi nipo, na nimeanza. Na wewe pia ni wakati wako sasa. Chukua hatua. Anza kuchangia. Simama na CHADEMA. Kwa pamoja, tutakijenga chama imara na Yaifa lenye HAKI. Tuchange tu kwa namba maalumu za CHAMA na Akaunti za Benki ili kujenga uadilifu wa Taasisi Imara. Mikakati zaidi inakuja baada ya vikao kuanza. Asanteni.

Filipino
129
504
2.4K
156.3K
Philipo Kirumba retweetledi
Auto mogul🇹🇿
Auto mogul🇹🇿@IddMoha30694136·
Kumbukizi muhimu kabisa. Kwani nikipata like yako utapungukiwa nini .retweet mara 365
Indonesia
5
190
624
8.4K
Philipo Kirumba retweetledi
HABARIMPYA TV
HABARIMPYA TV@HabarimpyaTv·
Ikiwa ni mwaka mmoja tangu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antiphas Mughwai Lissu Kukamatwa kwa Tuhuma za Uhaini, Je ni Jambo gani unalikumbuka kutoka kwake,.?
Indonesia
13
128
589
8.6K
Philipo Kirumba retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Leo ni siku maalumu ya kuwakumbuka MASHUJAA WETU WA #MO29 Sema neno lolote kuwakumbuka mashujaa wetu-hii ni siku ambayo KAMWE hatutakuja kuisahau.
SIR TIVA tweet media
Indonesia
73
538
2.4K
28.2K
Philipo Kirumba retweetledi
Sheila Mchamba
Sheila Mchamba@SheilaMchamba·
📍MAHAKAMA YA RUFAA DODOMA. Usikilizwaji wa marejeo (revision) ya kesi dhidi ya Bodi ya wadhamini na Katibu mkuu wa chama
Sheila Mchamba tweet media
Indonesia
18
67
479
6.9K
Philipo Kirumba retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
PRAY FOR TUNDU LISSU🙏🏽
Eesti
19
394
1.6K
31K
Philipo Kirumba retweetledi
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Mungu akubariki sana.
Indonesia
47
508
2.1K
52.7K
Fan Mazi Tuunde
Fan Mazi Tuunde@KingTunde_SZN·
Who is a Billionaire?🤔 Correct answer deserve $2000.
Fan Mazi Tuunde tweet media
English
3.3K
156
2.2K
462.6K
Philipo Kirumba retweetledi
CINEMAS ANALYTIC 🎬
CINEMAS ANALYTIC 🎬@CinemasAnalytic·
Sio kweli. Balozi hawezi kusahaulika Tuonyesheni kwamba Polepole hajasahaulika kwa coment za Free Polepole za kutosha Repost 560
CINEMAS ANALYTIC 🎬 tweet media
Polski
82
530
1.7K
33.3K