Manu retweetledi
Manu
3.5K posts

Manu retweetledi
Manu retweetledi
Manu retweetledi
Manu retweetledi

Wanawake WAJINGA
Silaha Yao Hua Ni MBUSUSU
Akikukosea Hakuombi Msamaha Kwa Mdomo
Anatumia Mbususu
Kama Akikuomba Umnunulie Kitu
Ukamwambia Huna Pesa
Ananuna
Hatokupa Mbususu
Ukipeleka Mkono Kwenye Mbususu
Unapigwa Kama Anauliwa Mbu.
Chakufanya Mpandishe Cheo Awe Mke Mkubwa
Fimbo ya mwanamke ni mwanamke mwenzie.
Indonesia
Manu retweetledi
Manu retweetledi
Manu retweetledi
Manu retweetledi

Ndugu wanachama wa CHADEMA na Wapenzi wa Demokrasia Nchini.
Chama chetu kimefunguliwa rasmi kufanya shughuli za siasa. Hii ni fursa muhimu katika kuendelea na mapambano ya haki, uhuru na uwajibikaji katika Taifa letu.
Lakini ukweli usioepukika ni huu
hatuna ruzuku hata ya SENTI MOJA.
Hii ina maana kwamba uhai, nguvu na uendelevu wa CHADEMA uko mikononi mwetu sisi wenyewe.
Hatuna budi kuchukua jukumu.
Hatuna budi kusimama.
Hatuna budi kuchangia.
Kila Mwanachama na kila mpenda Demokrasia ana wajibu wa moja kwa moja, kuchangia CHADEMA.
Usione mchango wako ni mdogo.
Usisubiri mwingine achukue nafasi yako. Kila senti unayotoa ni nguzo ya kusimama kwa chama hiki.
Tujenge utamaduni wa kuchangia bila kusukumwa. Tujenge tabia ya kusaidia chama kila wakati. Hapo ndipo tutakapopata uhuru wa kweli wa kisiasa na kiutendaji.
Mimi nipo, na nimeanza.
Na wewe pia ni wakati wako sasa.
Chukua hatua.
Anza kuchangia.
Simama na CHADEMA.
Kwa pamoja, tutakijenga chama imara na Yaifa lenye HAKI.
Tuchange tu kwa namba maalumu za CHAMA na Akaunti za Benki ili kujenga uadilifu wa Taasisi Imara.
Mikakati zaidi inakuja baada ya vikao kuanza.
Asanteni.

Indonesia
Manu retweetledi
Manu retweetledi
Manu retweetledi
Manu retweetledi

Vijiwe vimechangamaka ,hiki chama ni tumaini kwa watanzania wengi kila kona wanakijadiri
#TheFutureisChadema

Indonesia
Manu retweetledi

Nyasa tumeanza namna hii.
Kata kwa Kata huku tukielekea kwenye Msingi, Vitongoji na Mitaa.
Tukutane tarehe 18.04.2026 kwenye ofisi za Kanda.
#chamakipohuru
#Nyasatupotayari

Indonesia
Manu retweetledi
Manu retweetledi

Ndugu wanachama wa CHADEMA na Wapenzi wa Demokrasia Nchini.
Chama chetu kimefunguliwa rasmi kufanya shughuli za siasa. Hii ni fursa muhimu katika kuendelea na mapambano ya haki, uhuru na uwajibikaji katika Taifa letu.
Lakini ukweli usioepukika ni huu
hatuna ruzuku hata ya SENTI MOJA.
Hii ina maana kwamba uhai, nguvu na uendelevu wa CHADEMA uko mikononi mwetu sisi wenyewe.
Hatuna budi kuchukua jukumu.
Hatuna budi kusimama.
Hatuna budi kuchangia.
Kila Mwanachama na kila mpenda Demokrasia ana wajibu wa moja kwa moja, kuchangia CHADEMA.
Usione mchango wako ni mdogo.
Usisubiri mwingine achukue nafasi yako. Kila senti unayotoa ni nguzo ya kusimama kwa chama hiki.
Tujenge utamaduni wa kuchangia bila kusukumwa. Tujenge tabia ya kusaidia chama kila wakati. Hapo ndipo tutakapopata uhuru wa kweli wa kisiasa na kiutendaji.
Mimi nipo, na nimeanza.
Na wewe pia ni wakati wako sasa.
Chukua hatua.
Anza kuchangia.
Simama na CHADEMA.
Kwa pamoja, tutakijenga chama imara na Yaifa lenye HAKI.
Tuchange tu kwa namba maalumu za CHAMA na Akaunti za Benki ili kujenga uadilifu wa Taasisi Imara.
Mikakati zaidi inakuja baada ya vikao kuanza.
Asanteni.

Indonesia
Manu retweetledi

Viongozi na wanachama wameitumia siku ya leo April 16, siku moja baada ya kufunguliwa shughuli za chama kuendelea na madai ya kuachiwa huru kwa Mwenyekiti wa chama Mh Tundu Lissu.
#FREE LISSU
Indonesia
Manu retweetledi
Manu retweetledi

Ndugu Watanzania wenzangu,
Kama mnavyofahamu, mapambano ya kutafuta haki na kuleta mabadiliko ya kweli si rahisi,na yanakuwa magumu zaidi pale rasilimali zinapokuwa haba.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinaendelea kusimama imara upande wa wananchi wakati wote.Aidha, kufuatia kutoshiriki katika uchaguzi haram, chama hakipokei ruzuku hata shilingi moja. Hali hii inaleta changamoto katika kuendesha shughuli za kila siku za chama na kuendeleza harakati za kidemokrasia.
Kwa msingi huo, tunawaomba Watanzania wote muendelee kuwa sehemu ya mapambano haya kwa kuchangia kwa hali na mali. Mchango wako, hata kama ni mdogo, una mchango mkubwa katika kusukuma mbele gurudumu la mabadiliko.
Changia sasa kupitia:
Namba: 0744 446 969
Jina: CHADEMA HQ
Tuchangie kwa pamoja ili kuimarisha harakati za kudai haki, uwajibikaji na mustakabali bora wa taifa letu.
Asanteni kwa uzalendo wenu.
#ToneToneImerudi
#FreeTunduLissu

Indonesia





















