RTX9010
309 posts


Almost 2years, never give up💪❤️


fw_merlin@swhat03
Let's see a picture of your day one at the gym vs now
English

@Mvuvi_Nyasa Kwani nyie aliyekwambia uislam ni dini ya Waarabu au kikundi cha watu fulani ni nani
Indonesia

@zyron_tech10 @akinkunmi @KharayKrayKray Jumia is not just code; even if they open-sourced their code, replicating it would be 1/100.
English

@claudeai I wonder if animated films are going to be mass produced now.
English
RTX9010 retweetledi

@Positivenga1 "Kucheza forex", Kwamba Forex ni mchezo!!??😅. Uliifanya kama mchezo lazma ikuchezee kweli😂. Ila usivunje moyo wengine kwasababu wewe "uliicheza" badala ya kufanya biashara. Inaitwa " Biashara ya kuuza kununua sarafu za kigeni & kidigital,hisa,Nishati na Madini chuma" #BIASHARA
Indonesia

Kipindi nacheza Forex ulikuwa ukigusa story za kuipondea Forex nilikuwa natamani nikurukie. Na baadae niligundua ulikua ni utoto wa kifikra sio kiumri.
Nilichokuwa napitia ndio ambacho wacheza forex wengi wanapitia sasa.
Vijana wenzangu ile sio biashara ya kubet potential na future yako yote.
Africa tuna matatizo mengi makubwa sana ambayo ukitatua ni pesa nyingi sana! Lets go solve them.
Indonesia

@Positivenga1 Imekuwaje ukaichukia hivyo mkuu😂? Nakumbuka nilikuja kwenye uzinduzi wa jarida lako la Swahili miaka mingi kidogo iliyopita. Kwenye lile jarida kulikuwa na watu wengi wa forex uliowaangazia kule.🤷♂️
Indonesia

kwa siku kwenye Global Forex Market ela zinazokua traded ni zaidi ya $4 Trillion.
Sasa nyie hamjiulizi kwanini nchi kama Marekani ambapo ndo kuna mitaji mikubwa na vijana wake ni very smart sana lakini hamsikii mtu kama Sandile Shenzi wa Kimarekani anatrend Huko Marekani? Yani Vijana wa Marekani waone io fursa afu waiachie itawaliwe na kina Sandile na Ref wayne?
Kila ukiona kijana wa Marekani anatrend ni amebuni solution flani na sio anabet forex! Unahisi kwanini?
Ila sisi huku na marole model wetu wa South Africa ndo tunaona io fursa namba 1 duniani.
Tuamke wanangu! Tumechelewa sana!
Indonesia
RTX9010 retweetledi





























