mwanaseguye

2.1K posts

mwanaseguye

mwanaseguye

@stevenkatalas

gambushi

Katılım Mayıs 2021
452 Takip Edilen67 Takipçiler
Jayleen 💞
Jayleen 💞@JayleenRickie·
Bajeti ya Mshahara wa laki 3
Jayleen 💞 tweet media
Indonesia
84
46
546
48.4K
mwanaseguye
mwanaseguye@stevenkatalas·
@Pipes2000Pipes @Happinesmlay Sio mlay tu ni genetics kwa wachaga maana kuna wakina swai pia nawafahamu wanakaka yao alikuwa na tatizo kama hilo lakini alienda milembe akatibiwa akakaa sawa na anaendelea kutumia dawa
Filipino
0
0
0
23
Pop
Pop@Pipes2000Pipes·
@Happinesmlay Kwa Mlay ni genetic my Dear- Hapo ni ku deal na Hosp na Maombi tu. Nina marafiki wa toka utotoni walikuwa kinawaka- Mmoja tulisoma nae Kafarik last year- ila alishajarib kujiua mara kadhaaa- Muombee sana.
Filipino
2
0
0
706
HAPPNES MLAY
HAPPNES MLAY@Happinesmlay·
Twitter waganga/ wachungaji/mashekhe & madaktari Niko na kaka angu ni mwendawazimu/ kichaa/zuzu/inshort hajielewi wala hafanyi chochote/haongei japo anajua kuongea ukimuita haitiki ukimwambia aoge hataki yaani anaweza kaa sehemu moja masaa hadi anajikojolea na haja kubwa hapo👇👇
Indonesia
25
9
95
12.8K
mwanaseguye
mwanaseguye@stevenkatalas·
@DotoMatembo @bbcswahili Umeshawahi kuuona misamaha ya kodi na sababu ya misamaha hyo kwenye hizo taarifa za kwenye mbao za matangazo?
Filipino
0
0
0
2
Jay Kipajizle
Jay Kipajizle@DotoMatembo·
@bbcswahili Mbona kanisan hawatupatii Haki zakufaham.michango yetu inapokwenda?? Ama haki kwenye serikali tu Ila sio kanisan?
Indonesia
2
0
2
74
Boaz Theodore
Boaz Theodore@159CRT·
@bajabiri Huteki watu. Una deliver maendeleo. Siasa safi na shirikishi. Kwanini watu wasikupende?
Indonesia
4
0
25
3K
Hormuz™️
Hormuz™️@bajabiri·
Uwanja mzima umejaa picha za Mohammed wa VI mfalme ea Moroko. Hawa wamoroko inaonekana wanampenda sana Mfalme wao
21
23
730
42.1K
Katego ladslaus
Katego ladslaus@Kategoladslaus3·
Vyema Jeshi La Polisi Likazingatia Haki Za Binadamu Kumshikiria @fbuyobe,Pasipo Kumpeleka Mahakamani Ni Kinyume Na Utaratibu Wa Katiba Ya Nchi Yetu, Lakni Pia Ni Kinyume Na Haki Za Binadamu Mpelekeni Mahakamani Kama Hana Kosa Muachieni Bila Masharti Yeyote. @freebuyoye
Katego ladslaus tweet media
Indonesia
3
27
86
1.3K
Katego ladslaus
Katego ladslaus@Kategoladslaus3·
Mapigano Yalizuka Katika Jiji La Mexico Wakati Wa Maandamano Dhidi Ya Sera Ya Usalama. Swali Kwenu Nani? Kaona Mtu Yeyote Kwenye Hiyo Video Ya Maandamano Akiwa Na Bango Lolote,Disemba 09,Tusifundishene Kazi Madai Yetu Yanaeleweka Safari Hii Ushezi Hapan
Filipino
19
80
235
5.7K
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
Maandamano ya Gen-Z Kenya Rais William Ruto alithibitisha kufadhiliwa wa Ford Foundation, na katika mazungumzo ya Jonh Heche amekiri kuwa Uchaguzi hautafanyika na katika mbinu za kufanikisha hilo ameonesha kufanya engagement na NGO's. NGO's hizi ndizo zinazoonekana kufadhiliwa na Mfadhili yuleyule wa maandamano ya Gen-Z Kenya na Maria Sarungi. Kuna jambo la kujifunza tusikurupuke kwa kila kinachoitwa maandamano.
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿 tweet media
Indonesia
264
36
160
81.5K
StewartCharlz
StewartCharlz@stewartcharlz·
@stevenkatalas @YusuphSowa @Mo_Bjr Kuchoma mali ni kosa, kukata vidole watu ni kosa lakini kosa la uhaini linastahili adhabu ya kunyongwa na hilo limefanywa na ccm kwa kubaka uchaguzi na kupika data.
Filipino
1
0
0
12
Billy
Billy@BillyTronix1·
Mwanangu @Thereal_taivina kaamua kuachana na kina mama fua Karibu sana tena boss 🙏🙏🙏
Billy tweet mediaBilly tweet media
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
10
19
216
17.6K
mwanaseguye
mwanaseguye@stevenkatalas·
@stewartcharlz @YusuphSowa @Mo_Bjr Maandamano ya amani yakuharibu miundombinu inayokusaidia wewe mwenyewe,kuiba Mali za watu kutishia watu wasiowaunga mkono na wengine kukatwa vidole ,kuchomewa Mali zao
Indonesia
1
0
0
18
🇾 🇺 🇸 🇺 🇵 🇭 🇸 🇴 🇼 🇦
@Mo_Bjr We jamaa hebu tusaidie mawazo yako. Ni njia Gani ingetumika kuwaonesha watawala kuwa umma umechoshwa na MATUKIO ya utekaji,mauaji holela,ufisadi na ukandamizwaji wa haki zao unaofanywa na watawala na vyombo vya Dola? Au damu za wakina mzee kibao na mdude zile ni za wanyama?
Indonesia
3
1
3
218
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
The violence Samia Suluhu unleashed on Tanzanians for protesting demanding free and fair elections
English
27
337
932
71.2K
Katego ladslaus
Katego ladslaus@Kategoladslaus3·
Toka Kuumbwa Kwa Dunia Haijawahi Kuwa Na Dikiteta Katili Zaidi Ya SAMIA,Huyu Ndiye Mwanamke Wa Kwanza Katika Historia Ya Dunia Kuwa Dikiteta Aliyemwaga Damu Nyingi Kuliko Mwanamke Yeyote Aliyewahi Kushika Madaraka Ya Juu.
Katego ladslaus tweet media
Indonesia
2
33
119
8.1K