Mr. R

4.1K posts

Mr. R

Mr. R

@suleiman42776

Katılım Nisan 2025
295 Takip Edilen89 Takipçiler
Mr. R
Mr. R@suleiman42776·
@DailyIranNews His friends start to attack him. Be careful with Israel. UAE should not act hypocrisy against fellow Arabs and the Islamic world. They should know their enemy is Israel
English
0
0
0
103
Daily Iran News
Daily Iran News@DailyIranNews·
Iran denies involvement in drone strikes against UAE's Barakah Nuclear Power Plant.
Daily Iran News tweet media
English
6
33
121
7.2K
The Chanzo
The Chanzo@TheChanzo·
Kamwaga: ACT Wazalendo Ichukue Uongozi Kututoa Kwenye Mkwamo wa Kisiasa Dar es Salaam. Mwandishi wa habari mkongwe nchini Ezekiel Kamwaga ametoa wito kwa chama cha ACT Wazalendo kuchukua uongozi kuelekea kukwamua mkwamo wa kisiasa nchini kwani chama hiko kina wanasiasa wenye uzoefu na masuala hayo. Akizungumza kwenye mkutano wa kitaifa ulioandaliwa na chama cha ACT Wazalendo juu ya mkwamo wa kijamii na kisiasa uliopo Tanzania kufuatia matukio ya Oktoba 29, Kamwaga amesema kwa sasa ni kama kila upande upo kifungoni hivyo unahitajika utayari wa kisiasa kutoka mahali ambapo Tanzania imefikia sasa.
Filipino
101
5
50
52.6K
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Eric Omondi amekusanya madumu matupu kisha akayafunga kamba na akaanza kuzunguka nayo kwenye barabara za Kenya kama ishara ya kupinga ongezeko la bei ya Mafuta. Omondi amesema haiwezekani viongozi watembelee magari yanayokunywa mafuta wakati wananchi wanateseka na mfumuko wa bei.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
43
106
1.4K
38.9K
Mr. R
Mr. R@suleiman42776·
@DailyIranNews Iran is preparing to seize UAE and expand it's territory for security purposes
English
1
0
0
98
Daily Iran News
Daily Iran News@DailyIranNews·
The Telegraph: Trump aides are urging the UAE to deepen its role in the Iran war, including seizing Iran’s strategic Lavan Island, Iran.
English
6
18
90
13.1K
Mr. R
Mr. R@suleiman42776·
@A_M_R_M1 Iran used a secret weapon from their holy Books to attack Israel
English
0
0
0
68
The Middle East
The Middle East@A_M_R_M1·
🚨 Watch the explosions in central Israel: “A massive explosion near Beit Shemesh.”
English
4
8
85
6.1K
The Middle East
The Middle East@A_M_R_M1·
🚨 What is known so far about the explosion that occurred a short while ago in Israel: Location of the explosion: the Beit Shemesh area. On land belonging to “Tomer Ltd.”, a defense industries company that manufactures missiles and advanced equipment. Israeli media, citing sources in the company, reports: the explosion was controlled and pre-coordinated, meaning the company scheduled its timing as part of certain tests, and the actual causes are still not known.
English
17
40
177
15.9K
Mr. R
Mr. R@suleiman42776·
@A_M_R_M1 Trump must calm down. This war will cost much with low gain
English
0
0
0
103
The Middle East
The Middle East@A_M_R_M1·
🚨 The war on Iran is approaching its start. ▪︎ Donald Trump posted an image on Truth Social showing warships in the Strait of Hormuz with the phrase “the calm before the storm.”
English
1
3
34
15.1K
Mr. R
Mr. R@suleiman42776·
@othmasoud @zittokabwe Ni wazo zuri. Na ni vyema kumchukua mawazo yao na kuyafanyia kazi. Kwa mda mwengine misimamo ya vyama inatupoteza
0
0
0
37
Othman Masoud Othman
Othman Masoud Othman@othmasoud·
Leo Jumamosi ya Mei 16 2026, nimejumuika na wananchi na Viongozi mbali mbali wakiwemo, Wasomi na Wanataaluma Mashuhuri, Mabalozi na Wanadiplomasia Wanaowakilisha Mataifa yao mbali mbali hapa Nchini, Wawakilishi wa baadhi ya Vyama vya Siasa, Wahariri na Waandishi wa Habari Waandamizi, Viongozi wa Dini na Watu Maarufu, katika Kongamano Maalum la Mjadala wa Kitaifa kuhusu Mwelekeo na Khatma ya Nchi yetu, lililoandaliwa na chama chetu cha @ACTwazalendo na lililofanyika hapo katika Hoteli ya Serena, Jijini Dar es Salaam.
Othman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet mediaOthman Masoud Othman tweet media
Indonesia
2
10
24
1.6K
Mr. R
Mr. R@suleiman42776·
@MwanzoTvPlus @MariaSTsehai Heche apunguze jazba. Mwenye rungu tembea nae kwa hadhari vinginevyo atakudhuru iwe hasara
Indonesia
0
0
0
5
MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus@MwanzoTvPlus·
HECHE AJITOA SADAKA, AMTANDIKA MSAJILI WA VYAMA SIASA, AZUA KIZAA ZAA, AMTAKA LISSU NA KATIBA MPYA, "HATUTANYAMAZA, FANYA UNACHOTAKA KUFANYA": youtu.be/dGxSbytRaNs
YouTube video
YouTube
Indonesia
2
11
34
2.5K
Jamii Forums
Jamii Forums@JamiiForums·
DAR: Wakili wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), William Maduhu ameyasema hayo Mei 16, 2026, ameeleza kwa nafasi yake ya Wakili katika kesi za Uhaini, alichambua Hati za Mashtaka 1,651 na hakubaini mtuhumiwa yeyote kutoka nje ya Tanzania katika Matukio ya Oktoba 29. Zaidi jamii.app/MaduhuVijanaNje #JamiiForums #Uwajibikaji
Indonesia
18
97
385
14.7K
Mr. R
Mr. R@suleiman42776·
@millardayo Izo nyaya wanaenda kuuza au kuunga umeme? Km kuunga umeme basi tanesko wanasaidiwa kazi tu
Indonesia
0
0
0
13
millardayo
millardayo@millardayo·
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro kwa kushirikiana na Polisi wa Mikoa ya Tanga na Pwani limefanikiwa kuwakamata Watuhumiwa watano kwa tuhuma za kujihusisha na wizi wa miundombinu ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Akizungumza na Waandishi wa Habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, ACP Andrew Kantimbo, amesema Watuhumiwa hao wamekamatwa wakiwa na gari aina ya Toyota Hilux lenye namba za usajili T241 CDQ, lililokuwa limebeba nyaya za umeme zinazodhaniwa kuwa mali ya TANESCO, ambazo zinadaiwa kuibiwa katika site ya smShirika hilo iliyopo eneo la Mindu Mkoani Morogoro. Aidha, Kamanda Kantimbo amesema Watuhumiwa wengine wamekamatwa katika eneo la Mazimbu, Manispaa ya Morogoro, wakihusishwa na mtandao huo wa wizi wa miundombinu ya umeme, huku akieleza kuwa operesheni dhidi ya wahusika wa vitendo hivyo bado inaendelea katika mikoa mbalimbali. Pakoja na hayo, Jeshi la Polisi limeeleza kuwa nyaya zote zilizokamatwa zimehifadhiwa kama vielelezo huku uchunguzi zaidi ukiendelea ili kuwabaini Watuhumiwa wengine wanaohusika na mtandao huo wa uhalifu. #MillardAyoUPDATES
Indonesia
1
2
43
3.7K
Mr. R retweetledi
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
𝐍𝐀𝐖𝐀𝐉𝐔𝐙𝐀: Tajiri wa mwisho wa Kikristo aliyepambana na Manji, Rostam, Subhash Patel ni Dr. Reginald Mengi, alimuinua Godfrey Simbeye wa TPSF amsaidie ikakataa Kwenye kitabu cha I CAN, I MUST, I WILL Mengi anasema muda mrefu wa darasani hukwamisha wakristo kuwa matajiri
Dr. Sisimizi tweet media
Indonesia
22
28
342
22.1K
Mr. R
Mr. R@suleiman42776·
@JohnieZeBest @kipepe123 Kwa hili suala asilimia ya ndio ikiwa zaidi ya 10 ujie tatizo like serious haijalishi udogo wake
Indonesia
0
0
1
8
Mr. R
Mr. R@suleiman42776·
@eastafricatv Nimeumia sana kwa huyo mtoto maskini😭
Indonesia
0
0
1
171
EastAfricaTV
EastAfricaTV@eastafricatv·
#HABARI Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Halima Abdalah (22), Mkazi wa kitongoji cha Mbumi A kata ya Mbumi Wilaya Kilosa Mkoani Morogoro, amekutwa amekufa nje ya Nyumba yake. Mwenyekiti wa Kitongoji Yusuph Omary amesema jana Mei 15 majira ya Alfajiri walikuta Mwanamke huyo amelala nje ya Nyumba yake huku Mtoto wake akinyonya. Anasema siku moja kabla ya tukio hilo, Mwanamke huyo alikuwa na mgogoro na Mume wake, jambo lililopelekea kupewa talaka hata hivyo ndugu wa pande zote 2 pamoja na balozi walisuluhisha ugomvi huo na talaka ikachanwa. #EastAfricaTV
Indonesia
3
1
76
11.3K
Mr. R
Mr. R@suleiman42776·
@Royal_Tv_Tz @AdoShaibu Kawaida nchi haiendeshwi kwa mijadala ya umma. Ila km Kuna nia njema ya kuleta mabadiliko mema basi Kuna misingi maalum ya uendeshaji ikizingatiwa hiyo nchi itakwenda salama usalmini. Mijadala ya umma husaidia iwapo misingi ilikosewa vipi turekebishe
Indonesia
0
0
0
47
ROYAL TELEVISION
ROYAL TELEVISION@Royal_Tv_Tz·
Profesa mkongwe wa Sheria nchini Profesa Issa Shivji ametoa simulizi ya kihistoria ya ghasia za dola na vitendo vinavyofanywa na polisi nchini Tanzania, akitaja majanga maalum kama vile mauaji ya katika shamba la sukari Kilombero na mauaji ya wafanyabiashara wa Arusha ili kuangazia ukosefu wa uwajibikaji unaojirudia. Akizungumza leo, Mei 16, 2026, kwenye Kongamano la Kitaifa la Wadau wa Demokrasia lilioandaliwa na chama cha ACT Wazalendo jijini Dar es Salaam, Shivji amejenga hoja kuwa haki yenye maana haiwezi kupatikana kupitia ripoti za serikali zinazotoka juu kwenda chini au mikutano ya milango miwili, kwani mbinu hizi mara nyingi zinafeli kuleta mabadiliko ya kweli. Badala yake, Shivji ametoa wito wa kuwa na mjadala wa umma jumuishi, akisisitiza kuwa amani inategemea daraja la uwajibikaji lililojengwa na wananchi wenyewe.
Indonesia
3
26
82
3.6K
Mr. R
Mr. R@suleiman42776·
@almasially4352 @millardayo Bila kuingia kwenye uchaguzi wasingekuwa na ushahidi wa hayo wanayoyasema. Siasa ni hoja na hoja ni vielelezo. Walipoingia ndo wameshuhudia mengi na wakisema huwa wanasema kwa ushahidi
Indonesia
0
0
0
1
Bongozozo!!!
Bongozozo!!!@almasially4352·
@millardayo Ivi lengo la Act hua ni Nini hasa!!........mnalaum wakati nanyie mlibariki uchaguzi ambao ulileta maafa!!!............Matako yenu
Indonesia
1
0
1
75
millardayo
millardayo@millardayo·
Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema kitendo cha Wananchi kushangilia pindi Viongozi wa Nchi Wanaporafiki ni matokeo ya Chuki na hasira kubwa iliyojengwa kwa Wananchi na Vingozi ikiwemo yaliyotokea katika uchaguzi Mkuu wa Octoba 2025. Akizungumza kwenye Mdahalo wa Kitaifa kuhusu mwelekeo na Khatima ya Tanzania, leo May 16, 2026, Jijini Dar es salaaam, Othman amesema “Mshikamano wa kijamii umeyumba sana tunasema pamoja na utamaduni huu wa Mtanzania wa kuwa na mshikamano, kuwa na uvumulivu lakini kwa yaliyotokea katika uchaguzi basi umeyumbisha sana mshikamano huu wa Kitaifa tumeona Chuki kubwa ambayo imejengwa hasira kubwa ambayo iko kwa Wananchi” “Tunachosikitika na kinachosikitisha ni kwamba viongozi badala ya kuona hili ni tatizo walichukulie hatua wao wanalaani watu wanaoshangilia Kiongozi anapofariki haya ni matokeo tu ya kile ambacho mmekitengeneza sasa wakulaaniwa ni nani? Ndie aliyevuna matokeo au aliyesababisha tukafika hapa ndio maana mimi nasema haya yote ni matokeo ambayo mimi nayaita uasi katika Nchi hii na uasi mkubwa ni pale ambapo mna Viongozi ambao hawataki kwa makusudi, wanavuruga misingi ya Katiba, misingi ya Sheria katika Nchi na kutufikisha hapa tulipo” #MillardAyoUPDATES
Indonesia
5
20
135
7.5K
Mr. R
Mr. R@suleiman42776·
@Mwabuk2Boniface Apa tz waislam wengi. Kenya watu km Hawa siku zao huwa zinahisabika😂
Indonesia
0
0
0
25
Boniface Mwabukusi
Boniface Mwabukusi@Mwabuk2Boniface·
WAMEIBA NGOMA YA KIJIJI WANAHANGAIKA KUTAFUTA MALI PA KUIPIGIA. SIYO TU KUSITISHA USAJILI WA CHADEMA ILE BARUA NI YA HOVYO IMEANDIKWA RECLESSLY bila kujali yanayopitiwa katika Taifa labda imeandikwa na Mwanagenzi ? Nashauri kwa uthabiti tena.Hii ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa isipodhibitiwa au kufutwa au wote waliopo hapo kuondolewa kabisa na ikaachwa iendelee na vitendo vyake vya kihalifu dhidi ya dermokrasia ya ndani ya Vyama. Punde tutakuwa na kilio katika nchi ambacho hatutapata wa kutubembeleza ili kututuliza. Muungwana akivuliwa nguo huchutama.Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa ni Mzabibu mwitu katika shamba la demokrasia. wahenga walisema tatizo siyo kuiba Ngoma ya kijiji.Tatizo ni pahala salama pa kuipigia. BAK MWABUKUSI.
Boniface Mwabukusi tweet media
Indonesia
57
259
1K
34.4K
Mr. R
Mr. R@suleiman42776·
@zittokabwe @Sharb84 @YouTube Chuma kipo. Sheikh Ponda. Huyu ndo angefaa kuwa Rais wetu. Nchi ingenyooka km enzi za Omar bin Abdullaziz
Indonesia
1
1
2
20