technocrat

4.9K posts

technocrat

technocrat

@technocrat62241

Bonafide citizen of these streets since 2008.

Global Katılım Aralık 2023
30 Takip Edilen86 Takipçiler
technocrat
technocrat@technocrat62241·
@Thommunkondya Si ulisema wewe jana mnafuatilia yanayoendelea kwenye mkutano wa CDM?
Indonesia
0
0
0
85
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
Mtoto wa shule ya msingi huyu UVCCM gani.? Makamu hizi propaganda achia vijana bhana wewe sio wakupost mambo ya kizushi kama haya. Mtaongoza nchi kweli nyie kama hadi propaganda cheap kama hizi mnafanya.? Acha na haya ya kitoto bhana fikiria kujenga kiwanda cha parachichi utoe ajira bhana.
John Heche@HecheJohn

Jana nilipokwenda kuhuduria Kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu Chaso. Walitumwa baadhi ya vijana kutoka UVCCM, kwa kulipwa vifedha kidogo… Sina tatizo na vijana hata kama ni wa ccm kuhudhuria na kusikiliza sera, misimamo na hoja zetu. Lakini huyu kijana, watu wetu walipomgundua na kumhoji alisema alikua ameambiwa kwamba tukianza kuzungumza kuhusu ripoti ya Chande wazomee.. Lakini pia wafanye fujo na kutoka ukumbuni, ionekane vijana hawakutusikiliza. Kwenye simu yake alikua anawasiliana na mtu anaitwa Shangwe Mtei ambae ni kiongozi wa Uvccm. Huyu Shangwe akawa anamhakikishia kwamba hata kama wako wachache wafanye fujo kwasababu OCD alikuwepo nao pale. Ghafla huyu kijana akiwa anahojiwa na watu wetu kwanini yuko pale na nia yake ni ipi, Magari mawili ya polisi yalikuja pale kitendo kinachoonesha kwamba tukio hili lilikua limepangwa kwa ushirikiano huo. Huyu kijana alikua ametumiwa muamala wa sh 50,000 kwa madai yake walitumiwa wote na wenzake, na walipatwa hofu na kutokufanya fujo kwasababu vijana wa Chaso walikua wengi zaidi na pia ulinzi ulikua imara.. Fikiria kwamba huyu ni kijana wa chuo kikuu ana fikra na mawazo ya kutumwa na kulipwa sh 50 elfu!! Tuna safari ndefu kama Nchi Lakini lazima tufike.. Asante watu wetu wa ulinzi kwa kazi nzuri.

Indonesia
47
3
14
5.9K
EastAfricaTV
EastAfricaTV@eastafricatv·
#HABARI Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam linachunguza kifo cha James Temba mkazi wa Tabata Chang’ombe Wilaya ya Ilala. Taarifa Kamanda wa Polisi Kanda hiyo, Jumanne Muliro aliyoitoa leo Jumapili, Mei 3, 2026 imesema linachunguza kifo cha mtu huyo ambaye Aprili 30, 2026 saa 09 :00 Alasiri mwili wake ulikutwa unaelea kwenye maji yaliyokuwa yanatiririka katika Mto Msimbazi eneo la Kipawa Wilaya ya Ilala. Kamanda Muliro amesema mwili huo ambao haukuonekana kuwa na kichwa baadaye uchunguzi wa awali umeonesha unaweza kuwa wa mtu aitwaye James Temba. Amesema uchunguzi wa tukio hilo unaendelea ili kubaini chanzo cha kifo hicho na hatua zaidi za kisheria zitachukuliwa kwa watakaobainika kuhusika. #HABARI #EastAfricaTV
EastAfricaTV tweet media
Indonesia
30
16
362
40.8K
technocrat retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Jana nilipokwenda kuhuduria Kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu Chaso. Walitumwa baadhi ya vijana kutoka UVCCM, kwa kulipwa vifedha kidogo… Sina tatizo na vijana hata kama ni wa ccm kuhudhuria na kusikiliza sera, misimamo na hoja zetu. Lakini huyu kijana, watu wetu walipomgundua na kumhoji alisema alikua ameambiwa kwamba tukianza kuzungumza kuhusu ripoti ya Chande wazomee.. Lakini pia wafanye fujo na kutoka ukumbuni, ionekane vijana hawakutusikiliza. Kwenye simu yake alikua anawasiliana na mtu anaitwa Shangwe Mtei ambae ni kiongozi wa Uvccm. Huyu Shangwe akawa anamhakikishia kwamba hata kama wako wachache wafanye fujo kwasababu OCD alikuwepo nao pale. Ghafla huyu kijana akiwa anahojiwa na watu wetu kwanini yuko pale na nia yake ni ipi, Magari mawili ya polisi yalikuja pale kitendo kinachoonesha kwamba tukio hili lilikua limepangwa kwa ushirikiano huo. Huyu kijana alikua ametumiwa muamala wa sh 50,000 kwa madai yake walitumiwa wote na wenzake, na walipatwa hofu na kutokufanya fujo kwasababu vijana wa Chaso walikua wengi zaidi na pia ulinzi ulikua imara.. Fikiria kwamba huyu ni kijana wa chuo kikuu ana fikra na mawazo ya kutumwa na kulipwa sh 50 elfu!! Tuna safari ndefu kama Nchi Lakini lazima tufike.. Asante watu wetu wa ulinzi kwa kazi nzuri.
Suomi
80
350
1.1K
51.7K
technocrat retweetledi
Anna Tibaijuka
Anna Tibaijuka@AnnaTibaijuka·
NAMSHUKURU BONGO ZOZO KWA MAONI NA USHAURI WAKE MZURI WA KIZALENDO NA UPENDO NA MAARIFA. TUNGEMSIKILIZA TUNGEPIGA HATUA KATIKA MENGI IKIWEMO KUMUACHIA TUNDU LISSU ILI KULILETA TAIFA PAMOJA. WE NEED TO MOVE ON.
Indonesia
113
583
2.2K
40.5K
technocrat retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Nikisikia hizi habari za watu kutekwa najisikia vibaya sana. Watu zaidi ya saba mnakwenda kumteka kijana asiyekuwa hatari kwa usalama wa nchi nyumbani kwao mbele ya familia yake? Mnaelewa kweli trauma mnayotengeneza kwa hizi familia? Mnajua chuki mnayoipandikiza kwa jamii? Watu waliomteka Damour Nyakairo, @Ninja_Damour muachieni huko mafichoni aendelee na maisha yake. Hatutaki kuona kijana mwingine anatekwa na kupotezwa. Hatuwezi wote kufikiri na kuwaza sawa. Taifa letu litajengwa kwa msigano wa mawazo. #FreeNinjaDamour
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Indonesia
22
346
1.3K
42.5K
technocrat
technocrat@technocrat62241·
@JamiiForums Hao watu hawana majina?? Ni utaratibu gani huo watu wanakamatwa bila kutajwa majina yao , watapataje haki ya kupata mawakili kama hawajulikani majina?
Indonesia
0
0
0
116
Jamii Forums
Jamii Forums@JamiiForums·
DODOMA: Jeshi la Polisi limetoa Taarifa, leo Mei 2, 2026 kuwa linawashikilia Watu Watatu kwa tuhuma za kutoa Matusi kwa Wajumbe wa Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, 2025, ambapo Watuhumiwa wanatokea mikoa ya Arusha, Iringa na Mbeya. Taarifa hiyo iliyotolewa na Makao Makuu ya Jeshi hilo imeeleza uchunguzi unaendelea pia kwa wale waliopokea na kusambaza jumbe zenye matusi, kashfa, uchonganishi, chuki na upotoshaji. Zaidi jamii.app/KutukanaRipoti #JamiiForums #Utawala #Uwajibikaji
Jamii Forums tweet mediaJamii Forums tweet media
Indonesia
26
5
89
14.5K
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
Yani CHADEMA licha ya kukaa jengo la Mabilioni ya pesa, wameshindwa kununua Standby Jenereta, katikati ya mkutano @BrendaRupia umemkatikia anasema 'Yesuu' badala ya kutafuta solution hadi waandishi wakawasha Taa zao. wanashindwa kununua Jenereta watapeleka umeme vijijini kweli.
Dr. Sisimizi tweet mediaDr. Sisimizi tweet media
Indonesia
44
7
38
6.3K
technocrat
technocrat@technocrat62241·
@ChaummaT @YerickoNyerereT Haya ndio madhara ya kuingia ofisini "OH-" ikiwa bado kichwani. Hata jimbo mnalosema mnatangaza kuweka mgombea hamuwezi kuliandika kwa usahihi. Kanuni mbovu za uandishi usiozingatia wapi mahali sahihi kuweka herufi kubwa na wapi kuweka herufi ndogo. Nimejitolea kuwarekebishia.
technocrat tweet media
Indonesia
0
0
7
284
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Makahama Kuu Dar leo imekataa rasmi ombi la Lissu la kuunganushwa katika kesi ya Mgawanyo wa Mali, maarufu kama kesi ya Wazanzibar. Uamuzi huo umesomwa leo ambapo Lissu alifikishwa ili kusomewa uamuzi huo.
Indonesia
34
4
22
3.8K
technocrat retweetledi
Senate Foreign Relations Committee Chairman
As expected, this “commission” glossed over a violent crackdown and the facts. I support the administration’s bilateral review and call for sustained pressure on Tanzania, including the release of Tundu Lissu. Waiting out scrutiny with a whitewashed report is a flawed strategy; it won’t restore credibility but rather deepens long-term risk and mistrust of the ruling regime.
Senate Foreign Relations Committee Chairman@SenateForeign

Even before its handpicked “independent” commission began work, Tanzania’s government rushed to blame vague “foreign” actors for the bloodshed. It has offered no credible explanation for its own election-related crackdown, including why Christian leaders were singled out for deadly attacks and abductions. Those responsible for persecuting these Christians must be held to account. breitbart.com/africa/2025/12…

English
77
296
694
63.4K
technocrat retweetledi
Senate Foreign Relations Committee Chairman
Even before its handpicked “independent” commission began work, Tanzania’s government rushed to blame vague “foreign” actors for the bloodshed. It has offered no credible explanation for its own election-related crackdown, including why Christian leaders were singled out for deadly attacks and abductions. Those responsible for persecuting these Christians must be held to account. breitbart.com/africa/2025/12…
English
196
944
2.8K
612K
Dr. Dorothy Gwajima
Dr. Dorothy Gwajima@Dr_DGwajima·
Mkakati huu unaoshirikisha wadau wa sekta kadhaa, umezinduliwa tarehe 29 Aprili, 2026 na Mhe. Paul Makonda (Mb) mwenye miwani kwenye picha ambaye ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Wananchi pia wanalo eneo lao la utekelezaji kwenye ngazi ya familia kuhusu suala zima la malezi na makuzi ya watoto. Viongozi wa dini nao wanahusika kwenye kulea roho zetu, wanahabari nao wanahusika kwenye ubora wa habari, content creators nao wamo. Kifupi, kila mdau amechambuliwa na kupewa majukumu yake.
Dr. Dorothy Gwajima tweet media
Indonesia
83
14
65
11.3K
technocrat
technocrat@technocrat62241·
@YerickoNyerereT Binti ukiachwa, achika oga pendeza na ingia sokoni tena... CHAUMWA kungekua na amani usingekuwa unachungulia kila siku kwa Ex- mume kunaendelea nini.
technocrat tweet media
Indonesia
1
1
6
449
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Anajifanya rastafari, akitoka ataanza kuimba rege….. yoooo gwata gwaaa! Mliyataka wenyewe 21 januari 2025, kunyweni sasa kikombe hicho hatutaki kelele zenu tuko zetu Chaumma! CHAUMMA kuna amani CHAUMMA kuna furaha ya kweli CHAUMMA kuna Upendo CHAUMMA kuna mawazo mbadala CHAUMMA kuna haki Niseme nini juu ya Chaumma jamani, kitaniua kwa furahaaaaaaa✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿✊🏿
Filipino
106
6
33
9.6K
technocrat
technocrat@technocrat62241·
@YerickoNyerereT "Hiki chama unapigwa unatulia hakuna kuhama, unapigwa unatulia tunajenga chama tunasonga mbele" , 21 January 2025- Yeriko Njegere.
technocrat tweet media
0
0
3
180
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Mwambieni Hilda na wanachadomo wengine kwamba; Ikitokea Lissu kaachiwa leo wakati kesi haijafika mwisho, basi watambue hayo ni makubaliano aliyoingia na dola baada ya kutepeta, Na hili ni automatic anakuwa amewasaliti wanachadomo wote na sisi watu wema nchi hii tutahubiri nchi nzima tukieleza usaliti wake!
Indonesia
219
18
90
22.8K
technocrat
technocrat@technocrat62241·
@MsigwaGerson Ninapata shaka kukuamini mtu kama wewe uliyesema huu mtandao hauna maadili ndio maana mmeufunga. Sasa wewe bado upo kwenye mtandao usio na maadili ukiongelea maadili tena? Unataka nikuamini??
technocrat tweet media
Indonesia
0
0
3
120
technocrat retweetledi
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Hili Tukio ni Mwanza Lakini hawa wazee wasio jiheshimu wanasema ni AI au Gaza Mnatetea vipi mambo kama haya na uzee wote huo? Hii biashara mwachieni Kabudi sababu ameoza ubongo, Kabudi anafikiria hivyo vyeo ni kila kitu alimuita Magufuli jina la Mungu Sasa mpumbavu kama huyu anawatiaje kwenye mashimo sababu anawinda cheo na pesa za Samia ?
Think Different tweet mediaThink Different tweet media
Indonesia
17
119
478
28.3K
technocrat retweetledi
Mbwaa wa Ileje.
Mbwaa wa Ileje.@Baharyy25·
@YerickoNyerereT Hii siku ndo ilitenganisha pumba na mchele, Mungu awabarik popote mlipo wajumbe.
Mbwaa wa Ileje. tweet media
Indonesia
1
4
21
579
technocrat
technocrat@technocrat62241·
@YerickoNyerereT Waliopanga, je walipanga wakiwa wapi? Waliofadhili, je walifadhili wakiwa wapi na ili iweje? Waliotekeleza, je mnaweza kutueleza watekelezaji? Wanufaika, je unaweza kutueleza walinufaikaje? Wewe ushachanganyikiwa na CCM yako ripoti mmeshaambiwa ni ya Samia wewe unatudanganya.
Indonesia
0
0
1
122
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Pamoja mapungufu machache ya ripoti ya tume ya uchunguzi wa matukio ya 29 oktoba 2025 kama binadamu, Lakini ukweli unabaki kuwa ripoti ya Tume imenyooka na ina mahitaji “yote” muhimu kwa mstakabali wa Taifa letu. ANGALIZO; Ni ukweli kwamba, Waliopanga, waliofadhili, watekelezaji na WANUFAIKA ndio watu pekee hawaitambui Tume, na hawaitaki ripoti hii.
Indonesia
66
3
25
9.5K
technocrat
technocrat@technocrat62241·
@YerickoNyerereT Wewe hiyo 90% utaiamini vipi kama tume imeshindwa kutaja aliyeua 518! Hakina common sense is nit common
Indonesia
0
0
2
322