cccXYZ
597 posts


@Makamo10 @siadevinci Kukiwa na ratio ya 20icbm kutoka n.korea to usa kwa 2000 kutoka usa na washirika wake kwenda north korea wapi patabaki kwenye vitabu vya historia, si hta kidugu anajua na n muoga sana ,rais anayeogopa mpaka raia wake hawezi kuwa shujaa
Indonesia

@Makamo10 @siadevinci Vita yq nuke haina mshindi so haihitaji ushabiki ,ukweli n kuwa how many nuke ztatua usa kutoka n.korea na how many nuke ztatua north korea kutoka usa,kutoka all nato member accord to article 5,kutoka japan na australia ,
Filipino

@siadevinci We jamaa uko paranoid sana, wakatu juo unasema inaweza igonga marekan amekaa kama zoba, hta nirth korea wanajua wakianzisha hawaponi, icbm zitatokea japan ,south korea, australia ,a very shkrt distance, is better kukaa kimya na kuwaachia ugomvi wao,
Suomi

@ezekiel_kamwaga Hata sehemu zingine za Africa na waafrica kwa hili watamuunga Mkono
Indonesia

@DiabloG1961 @ayubu_madenge Mzee usalama wa taifa sio sumu,waachie wenyewe wanajua wnachomaanisha hii n kubwa kwako,ukiona umetoka kwako asubuhi na umerudi salama jjue kuna watu wako busy kuhakikisha usalama wako, mfano mdogo kuzuia ngono kwenye mitandao wanalinda wanao,huu ndio usalama wenyewe sana
Filipino

@ayubu_madenge Sasa kuhatarisha maisha ya raia wao, hapa ndipo nilipo mim kama ina sumu au tatzo lolote mbona mpaka wajadili?? Ina maana kitu cha kuhatarisha maisha ya watu kwel unaweza kukipa time kujadili?
Indonesia

@millardayo Tutafanya biashara na china na urusi na iran ,hatuhitaji tena marekani,ndie endeleeni kuka...zana ,msilazmishe watu upuuzi wenu
Indonesia

Msemaji wa Ikulu ya Marekani Karine Jean-Pierre ameonya Wabunge wa Bunge la Uganda kwamba vikwazo vitakavyowazuia kufanya biashara na Marekani vinaweza kuwekwa kwa wale wanaohusika na kupitishwa kwa sheria ya kuwafunga jela wanaofanya mapenzi ya jinsia ya moja.
#MillardAyoUPDATES

Indonesia

@JOHNKOM7 @siadevinci Huu ni uoga wanaume wanatungua kwa kombola kama baloon ,ukimsindikiza aliyekuchokoza ndio zile pigo tukiwa watoto unapigwa kisha unaishia sitaki uchokozi, huo ni ungese ukichokozwa toa dozi ili mtu akitaka rudia ajiulize mara mbili mbili, ndio maana Israel anaogopwa hatanii
Indonesia

@siadevinci Wanume hao wanakuweka kwapani wanakisindikiza ukivuka geti unaambiwa usirudie tenna kuja sa naenda geuza njoo tuna fanya kama MQ mambo mengine yanaendelea
Indonesia

@siadevinci Me nilidhani utSema wameilipua kwa kombola fulana kama balon lilivyotunguliwa ,dah china mikwala mingi tokea Spika atue Taiwan wakati wlitia mkwala mkubwa nimeshawadharau bora Putin kathubutu
Filipino

@Musisa90 @ayubu_madenge Umekalili mzee unaweza somea kulipua mizinga tukakukuta unauza nazi,maisha hayana fomula
Indonesia

@ayubu_madenge Computer science and Financial management to media personality how comes? Au ndiyo Bongo unasoma BA.Economics unafanya kazi ya mtu wa Geomatics
Filipino

@bbcswahili Kwan nini sasa,alikua wapi,silaha za urusi zipo mikononi mwa waasi wa Africa zikiua raia wa africa,anadhani ataugwa mkono kwa kitendo cha kijinga kuvamia taifa huru, @bbcswahili Matatizo ya Africa yatamalizwa na waafrica wenyewe sio Urusi
Indonesia

Urusi yatoa kipaumbele Afrika na kusema itasambaza vyakula kwa nchi zenye uhitaji barani
bbc.in/401uyEw

Indonesia

@Ukraine_vita Ukraine imepoteza zaidi ya askari 100,000 ambao wenye ujuzi na mafunzo ya hali ya juu, tangu mgogoro huu uanze. Askari wengi wamepoteza maisha ktk mji wa bakhumuti, taarifa hii imeandikwa na gazeti la politico kwa kuwanukuu viongozi wa jeshi la marekani
Indonesia

Siku 7 zilizopita, Rais @SuluhuSamia alisema nchi jirani za EAC hazina hifadhi ya fedha za kigeni ya kutosha kununua bidhaa hata siku 14 wakati Tanzania tunayo ya miezi 4
@Kenyans wameweka data za WB zikionyesha Kenya wana FR ya $9.49bn wakati TZ wakiwa na $5.05bn.
Who’s lying?


Indonesia

@mark_Digala @Ukraine_vita U don't Read a book for Black people(bible) u think what is happening is an accident, no my bro is prophetic Hitler knew better and his loss was the world loss,Putin will lose so the world and last they will fight God
English

@xyz_ccc @Ukraine_vita I don’t give a fck to who’s gonna die!!
Western propaganda sucks!!
US walizoea vita kutofika kwenye ardhi yao, wamesababisha madhara makubwa sana kwa mataifa mengi,in Latin America alone US launched 56 military intervention in recent memory,forget about Africa,Middle East,Asia e
English


@siadevinci Kuna wars na kuna battle ndan ya war winning a battle is not winning a war,Putin know better he won't win this war ,he can win battle but not war, TWT
English
























