Mark_Digala
2.4K posts


@Oktoba29 Jamaa kichwa sana,,,haiwekani akapotea ,Sara kila muda!!
Indonesia

@EduTalkTz Ukiheshimu n’a kufuata haki amani inakuja yenyewe,watu wengi tunachanganya utulivu na amani.
Indonesia

@siadevinci @jjmnyika @MarthaKarua @TunduALissu @SuluhuSamia Hiyo sio democracy huwezi mpangia mtu nini cha kufanya
Indonesia

@jjmnyika @MarthaKarua @TunduALissu @SuluhuSamia Safi. Kenya inamatatizo makubwa ya kisiasa wadili kwanza na ya nchi yao wakiyamaliza ndyo waje.

Indonesia

Nalaani hatua ya Serikali kumzuia Mwanasheria @MarthaKarua pamoja na mawakili wengine wa Chama cha Wanasheria wa Afrika Mashariki kuingia nchini kwa ajili ya kesi ya @TunduALissu . Niko njiani kurejea Dar Es Salaam kwa ajili ya kesi.
Rais @SuluhuSamia suluhisho ya kuficha aibu ya kesi ya uongo ya uhai sio kuzuia mawakili wa nje bali ni kuifuta kesi hiyo. #FreeTunduLissuNow
Indonesia

@abbleluv @MwananchiNews Chadema ina wanachama zaidi ya milioni saba hawa hata buku hawafiki,impact hi muda muda mfupi na chama kitarudi kuwa na nguvu mara dufu,,,
Angalia ziara za Heche pamoja na yote haya bado anajaza,piga picha akitoka Lisu…..
Indonesia

@MwananchiNews Mimi hili jambo naliona baya sana kwa afya ya chama. Ila viongozi wa chama naona wanaichukulia poa poa.
Indonesia

Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Serengeti na Mwenyekiti wa Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, Jackson Scania, pamoja na wanachama wengine 50 wametangaza kujivua uanachama wa chama hicho, wakilalamikia kutokuaminiwa, pamoja na kushindwa kupatiwa mgawo wa fedha za ‘Tone Tone’ kwa viongozi wa ngazi za chini katika uendeshaji wa shughuli za chama.
Hatua hiyo ilitangazwa jana Mei 16, 2025 katika Ukumbi wa Chambuso mjini Bariadi, walipokuwa wakizungumza na waandishi wa habari. Scania amesema kuwa amefikia uamuzi wa kujiondoa Chadema kutokana na kile alichokiita migogoro mingi ndani ya chama, ikiwemo viongozi wa juu kujilipa fedha za Tone Tone bila kuzifikisha kwa viongozi wa chini.
Akizungumzia madai ya fedha za 'Tone Tone', Mkurugenzi wa Mawasiliano, Brenda Ruphia amesema madai hayo ni dalili ya wanaotangaza kujivua uanachama kuishiwa hoja kutokana na madai yao ya awali ya kutengwa na kubaguliwa kukosa mashiko.
Amewataka Watanzania wapenda haki na demokrasia kuendelea kuunga mkono kampeni ya kudai mabadiliko ya sheria na mfumo utakaorejesha nguvu na mamlaka ya kuchagua na kuwajibisha viongozi mikononi mwa umma.
#mwananchiupdates
#Tunawezeshataifa
Indonesia

@Inkubuman @HopeQuotes__ @TunduALissu Kila mtu ni mwanasiasa sababu siasa ni maisha,kama hufanyi siasa wewe ni mfu!!
Kila kitu kizuri huaribika kwanza na ndio huibuka kuwa bora sasa,,,vuteni subra
Indonesia

Just imagine Mwenyekiti yupo Ndani Lakini Kuna Wajinga bado wanafanya vitu vya Hovyo kama hivi.!
Kiukweli Hamumfanyii Fair Mhe. @TunduALissu
Hata kama ni Chuki Sio Kiivyo hii imepitiliza sio Chuki tena bali ni UCHAWI..
Huu Ujinga Kumbe bado unaendelea!
Indonesia

@bbcswahili Miaka ya nyuma niliwaamini sana BBC ila kwa sasa najilaumu sana kwa nini nilipoteza muda wangu mwingi kufuatilia habari zao nikiamini za kweli, kumbe wanatumika kufanya propaganda na kueneza chuki kwa Mataifa ya Afrika 🙌😢😢
Indonesia

Ibrahim Traore: Habari potofu zinazotumiwa kumtukuza kiongozi huyu wa kijeshi
bbc.in/3FceElq


@OlalWireman @mboni_sir @bbcswahili Kusimamia barabara rasilimali za nchi ni ubaya???hua unajiuliza kwanini hua tunaitwa nchi masikini???tunaona na kuwatamani wazungu sababu ya maendeleo ya miundombinu sio demokrasia,fanya utafiti
Indonesia

@mboni_sir @bbcswahili Traore is even worse than Magufuli!
English

@joniieugene @CarolNdosi Wengine mkumbo,hasa wanawake wanatumia hisia zaidi kuliko akili
Filipino

@CarolNdosi Siamini kama wote hawa wameongwa....kuna tatizo sehemu
Filipino

@JumaMahuba @siadevinci Kila anaepingana na utawala mbovu ni cdm???
Indonesia

@siadevinci Haiharakishi kauli alizozitoa,kwani amesema nini kibaya!!
Indonesia

@nyuki_malkia Mwanamke akishalalwa Tambua kuwa hisia kwako mume zilishahama,hata ukijatahidi kumrekesha atarudi kwako physically not emotionally,hata ukitaka kumlala atavuta picha ya yule mwanaume mpya ili alidhike,suluhu ni kukaa na mbali ili mwanaume upone na usonge mbele
Filipino

@onlydjole Peace is easy to fix. Putin says stop, pulls the troops home. Peace. And there is nobody who can stop that. He has all the cards.
English

🇪🇺🇺🇦🇷🇺‼️Sergey Markov: In the background of the negotiations, a strategic trap is taking place - Something terrible will happen‼️
May 16, 2025
At a time when the whole world is talking about a possible end to the conflict and diplomatic initiatives, in the shadows of those talks, according to Russian political scientist Sergey Markov, a scenario is unfolding that could have unfathomable consequences. 👇

English

@scotty_fred @onlydjole You mean Russia is losing???which sense are you using
English

@onlydjole When you can't win on the battlefield. Threaten nuclear war. That's the Russian way.
English















