@YerickoNyerereT Kaka yeriko, kwahiyo mapungufu kwenye tume ilikuwa inakusudiwa kutoa mwanga na majibu ya kina kwenye tukio la kihistoria kwa inchi linawezaje kuwa la bahati mbaya wakati tume ikiwa Bado haimaniki ilitakiwa ifanye kazi ya kukata mzizi wakutokuamini lakini wameweka pengo zaidi
Tume kwamjibu wa sheria ya Tume za Uchunguzi, ilikuwa na mamlaka ya kumuita yeyote na kumhoji, lakini katika ripoti nzima hakuna walipoainisha kuwa waliwaita Mkuu wa Polisi, Mkuu wa Jeshi, Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa na kuwahoji, Wameishia kusema tu waliwaita askari 26 kwa viapo…. Je hao askari 26 ni pamoja ya hawa wakuu wa vyombo?
@Baradhuli2 Kwahiyo hii ni hoja kweli au maneno yakutafuta kick tu mchango wa chama Cha siasa hujui unakuwaje kwenye jamii na Bado unataka chadema ndio ujue mchango wake mbona hujiulizi kwann vyama vya siasa vyote nchini vinapewa ruzuku ikiwemo ccm Yako hizo Kodi zetu wanapewa za nn? Pumbaa.
Mimi naona faida yao ni kuwafundisha vijana kutokuwa na hoja bali ubishi na kuhakikisha hatusikilizi bali tunatukana watu wenye hoja mitandaoni.
Kama naongopa someni komment zitakazokuja hapa.
Mwandishi 🎤 Kwanini wakili/ mwanasheria anamtetea mtu aliefanya uhalifu
Wakili 🎤 Anamtetea mhalifu ili kulinda kanuni ya kudhaniwa hana hatia ( Presemption of innocent) ibara ya 13(6)(b) ya mwaka 1977 inaeleza, "kila mtu hana hatia mpaka pale mahakama itakapo thibitisha kua ana hatia"
🎤 Hivyo wakili anakuepo pale ili kuhakikisha mtu hatahukumuwa kwa hisia, chuki wala shinikizo la Jamii. Bali kwa ushahidi thabiti uliowasilishwa mahakamani. Lakini pia kuhakikisha taratibu za kisheria zinafuatwa, hata kama mtu kafanya kosa ni lazima apate haki ya kusikilizwa.
Umeelewa?
Like
Repost
Bookmark
Umejifunza nini hapa?
🇷🇺 A Russian influencer has gone viral with strong criticism of President Putin.
Victoria Bonya, a well-known blogger with millions of followers, posted an 18-minute video on Instagram. It has already been viewed more than 26 million times.
In the video, she says: “People are afraid of you. Artists are afraid. Governors are afraid.” She warns that Russians feel under pressure “like a coiled spring” and that one day it could suddenly snap.
She points out problems such as floods in Dagestan, oil pollution in the Black Sea, issues with animals in Siberia, internet blackouts, and economic difficulties for small businesses.
In an unusual move, the Kremlin responded publicly. Officials said they have seen the video and that work is already underway to solve the problems she mentioned.
@MaxTz255_ Ina mana hajui kama kibatala, nshala ni mawakili wa chadema na wameshinda kesi nyingi za kikatiba ambazo Sheria inafutwa Ili isivunje katiba
Hatuilazimishi CDM kufanya lolote maana sisi tunachohitaji ni kwamba Majani yasilindwe na Ng'ombe, Nyama isilindwe na simba au samaki asilindwe na paka ,,
@idrisalamut Mtoa maada anamaana kuwa Rusaia,China na Iran wanaubaya gani wa kuwaogopa ukilinganisha na Ufaransa na Marekani ambazo zina recodi za maovu tayari. Au mimi ndo sijaelewa hii
@VungaEl74 Huo nao uwongo hao ndio tishio kwa ukristo Israel ana backmail ili ukristo na uislamu uwe na uwadui swali jepesi kwann hakuna ana angalia kuhoji uhalali wa dini ya kihindu au budha kwa sababu ziko ndani ya nchi zao tu ila hizi project za IS ni haohao Israel na USA so sio Salama.
Trump na Netayanhu wanabaki kuwa tumaini la mwisho la Ukristo kote ulimwenguni.
Trump na Netayanhu wanakubali na kusimama imara kwa ajili ya idadi ya Wakristo kote ulimwenguni.
Kwa sababu, wao pekee ndio wanaowafundisha magaidi kwa lugha wanayoielewa.
Magaidi kwa maneno hawaelewi
Tulisema mapema kwamba Mlango-Bahari wa Hormuz uliofungwa ni ushindi mkubwa kwa Donald Trump.
Sasa, ametangaza tu kwamba atazuia Mlango-Bahari wa Hormuz mwenyewe na Iran haitauza tena mafuta.
Na sasa, Marekani ina mafuta mengi kuliko Urusi na Saudi Arabia zikiwa zimeunganishwa pamoja.
Na meli nyingi za mafuta ziko tayari kuelekea Marekani kujaza mafuta.
Iran haijawahi kuona hili likitokea.
Wayahudi wanampenda Yesu zaidi.
Hawaamini kwamba Yeye ni Mungu, na wala Waislamu hawamwamini.
Lakini idadi kubwa ya Wayahudi wanamheshimu Yesu kama mtu muhimu wa Kiyahudi.
@HabiibYahyaa Kuna kuwa mkatoliki Moja na kuwa na Imani ya kanisa katoliki na kuiishi hiyo ni tofauti na hii ya kuwa mkatoliki ni sawa kuwa mpare ila hujui kuongea kiparenna Mila zako za kipare so kitakacho fata ni utadili na Mila zako ila utadili na unachopenda
Hivi ikitokea Meli za mafuta za China na Urusi zinasindikizwa na meli zao za kivita unadhani Marekani anauwezo wa kuzizuia?
Tuliza kichwa kujibu usikurupuke kama umeshikwa bega.
#BilaGanzi
@De_Cyola@EsirEid Ila mbona kama unawasingizia watu uwongo kwa uelewako mdogo nani alikuaminisha kuwa yule kwenye movie ni yesu? askofu, padre au katekista yupi na wa parokia ipi labda kama una ajenda ya kukosoa tu ila usijaze uwongo
@EsirEid Mzee mi ni mkristo lakini kuna namna hawa jamaa walicheza na akili zetu nilipogundua yule jamaa pale msalabani ni mcheza filamu baasi nilikua nikiamini yule ndio yesu mwenyewe na nilikua namnyenyekea'
Ila nilichikuja kugundua amini usiamini dini zote mbili ni kuna plan za watu
@VungaEl74 Hapo ndio unanishangaza unapo kuwa na msimamo wa kutetea hata uhuni anaofanya USA so makubaliano ya unyonyaji ndio unataka Iran ikubali? au kuwa mtumwa mamboleo mlango wa Iran udhibitibi wa mapatobya makusanyo USA apate hatachizi akubali
Iran imefanya makosa kuto itumia hii fursa ya waziri mkuu wa Pakistan
Waziri Mkuu wa Pakistan Sharif alikuwa na lengo zuri kupitia kwa JD VANCE
Ila hiyo ndio imedhiilisha kuwa huwezi kupatana na MAGAIDI
MAGAIDI watakipata wanacho sitahili na dunia imeona
Wataijutia zaidi kwa siku zinazo kuja maana nchi yao kwa sasa imefungiwa na marekani hakuna kutoka
Meri zote za mafuta zinazuiliwa marekani hawana utani uchumi wa irani unazidi kiwa mbaya zaidi
Na irani hawana cha kufanya wamepewa onyo Ole wao walishe bomu lolote
Rais wa Iran Pezeshkian anasema Iran iko tayari kwa makubaliano ya "haki na usawa" na Marekani ili kuhakikisha amani na usalama wa kudumu.
Huyu raisi mala zote yupo upande wa raia sana a anajari watu mno
@PolycarpMDM Sasa hapo ndio pazuri yaani ufaransa aruhusiwe na Iran ila meli ije kukamatwa international sea uzuri India meli zake ana zisindikiza na converter
Trump ametangaza kuanzishwa kwa kizuizi kamili cha kijeshi baharini (naval blockade) katika mlango wa Hormuz.
Amesema mafuta yote ya Iran yanayosafirishwa kwenda kwenye masoko ya dunia yatasimamishwa.
“Navy ya Marekani itaanza mchakato wa kuzuia meli zote zinazoingia au kutoka eneo hilo"