MWANAHISABATI

84.3K posts

MWANAHISABATI banner
MWANAHISABATI

MWANAHISABATI

@ArthurGeil

i love ❤️ Tanzania 🇹🇿 || Writer || Content Creator || Life lessons daily. Think better. Live better || Nisapoti→https://t.co/Ou3OMfdh6u

Be Your Own Boss→ เข้าร่วม Ocak 2022
421 กำลังติดตาม6.4K ผู้ติดตาม
ทวีตที่ปักหมุด
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
Kama Unapitia Haya Mambo 5, Huenda Mafanikio Yako Yamekaribia :🧵
Indonesia
5
26
196
27.7K
Fact
Fact@Fact·
What's one skill you believe everyone should learn to improve their daily life, regardless of their profession?
English
33
11
104
13.7K
♟️
♟️@iamFallacy·
Ngoja nikae mwaka mzima bila kubet nione itakuwaje😎
Indonesia
6
2
42
1.6K
Assenga Jr
Assenga Jr@assengajrr·
Mo alikopa Milion 800 benki ili awekeze. Ila wewe ukikaa huko vijiweni unseema Mo aliridhi mali. Sasa na ww si itengeneze mali wanao waje waridhi.
Indonesia
10
2
62
2.7K
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
Nimejifunza mambo 3 kwenye haya maisha: Kuwaacha watu mahali walipo, Kukubali kila hali jinsi zilivyo na sio Kila vitendo vinahitaji majibu yangu.
Filipino
2
9
51
878
MZANZIBARI🇪🇦
MZANZIBARI🇪🇦@ZenjiboyZnz·
Introverts wanaongoza kupiga nyeto 😁
Filipino
18
11
58
1.6K
Zed🇮🇷
Zed🇮🇷@Zephania_Ndaki·
Twiter Wajuaji Na Wafukunyuku Nisahihi mwanaume kutumia neno "Udugu" Kumuwish Mdogo Wake Au Kaka Yake?
Indonesia
14
6
26
742
METRO🎭
METRO🎭@kishoka_·
@ArthurGeil IPO siku namimi nitaotea msukuma mmoja 😂😂
Filipino
1
0
1
139
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
@EdwinMjeru Ni muhimu sana sana Tena sana. Unaanza na kujifunza ujuzi Unatengeneza wateja alafu mwisho Unauza. Nadhani hii ndio siri ya utajiri wengi wetu tunayoitafuta
Indonesia
1
1
7
161
Edwin F.M
Edwin F.M@EdwinMjeru·
Ujuzi wa KUUZA ni muhimu kujifunza kwa mtu yeyote anayetaka KUGEUZA kipaji, Ujuzi katika jambo fulani, taaluma, bidhaa, huduma au hata wazo tu. Mtu unaweza ukawa na kipaji kikubwa, uwezo mkubwa, ujuzi mkubwa, bidhaa au huduma nzuri ila usipojua KUUZA unaweza kubaki Maskini.
Indonesia
1
5
29
596
Mohammed Dewji MO
Mohammed Dewji MO@moodewji·
Zawadi kubwa kuliko zote ni familia. Eid hii, Allah aijaze nyumba zetu baraka, amani, na furaha isiyo na kikomo. 🌙✨ // The greatest gift of all is family. This Eid, may Allah fill our homes with endless blessings, peace, and joy. 🌙✨ #eidmubarak
Mohammed Dewji MO tweet media
Filipino
12
11
165
2.4K
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
@francismtey System haitaki watu wajifunze maarifa yenye nguvu (ya kuendelea duniani) zaidi.
Indonesia
1
0
2
64
I AM
I AM@francismtey·
Moja ya sababu Kubwa "48 LAWS OF POWER" Kimekuwa Banned Baadhi Ya Maneneo Au Watu Fulani Hawatakiwi Kukisoma Sio Kwasababu Kinafundisha "Manipulation" Ni Kwasabau Kinafundisha 1. How to Master Yourself 2. Namna Ya Ku- Control Perception Power is Perception.
Filipino
5
4
33
975
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
@MaxTz255_ ananza kuona amepata kitu cha bure wakati amenunua ndani ya ile ile 160k
Indonesia
0
0
0
12
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
@MaxTz255_ Hiyo kitu watu wengi hua wanakosea hapo, Mtu A akisema: bidhaa Z ni 150k na delivery 10k jumla 160k ala Mtu B aseme: Bidhaa Z ni 160k alafu utafanyiwa delivery ni bure. Atakaeuza sana ni Mtu B kwa sababu Neno “delivery bure” lina trigger kitu kichwani kwa mteja anaanza kuo..
Indonesia
2
1
2
34
Myunani
Myunani@MaxTz255_·
Au basi Ikae Hivi Badala ya Kusema bidhaa Z ni 150k na delivery 10k jumla 160k Embu tuseme Bidhaa Z ni 160k delivery ni bure mpaka ulipo 🤣
Indonesia
4
2
35
1.2K
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
@prossoff Kuwa na wazazi waliofanikiwa kujipata ni baraka sana, haswa pale ukikuta wana maarifa ya kutengeneza generational wealth ni BARAKA KUBWA MNO!
Indonesia
2
0
11
201
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Bro hakuna blessings muhimu kama kuwa na financially literate parents Wazazi wakiskia ume make 1M wanakuambia mahali pa ku'invest hiyo pesa Wengine tumetoka kwa poverty stricken/illlitrate & ignorant families Tunashika pesa nyingi inatushtua tunaanza kulipia koumer.
Filipino
6
19
193
3.1K
MWANAHISABATI
MWANAHISABATI@ArthurGeil·
@The_mesha24 Wanawake wanapenda wanaume majiri, wasiowajali na wenye nguvu na ujasisi na ku walk away
Indonesia
0
0
0
19
THE MESHA
THE MESHA@The_mesha24·
Mwanamke wako atakuacha kama utamuweka mbele zaidi ya malengo yako
Indonesia
2
5
19
412
IAmHaule
IAmHaule@IAmHaule·
Kuna hali inaitwa Normalizing Poverty. Ni ile unaanza kuzoea kukosa. Unaanza kuzoea madeni. Mpaka hali ngumu inaanza kuonekana ya kawaida. Unaogopa kujaribu kitu kipya. Unaogopa kushindwa. Kwa hiyo unabaki kwenye maisha yale yale unayoyachukia. Naweza kukusaidia.
Indonesia
2
5
40
1.1K