Ibrahim Omary
812 posts







Matumizi ya Anasa, ndani ya Taifa Masikini, Rukwa ni miongoni mwa mikoa mitano bora kwa umasikini, lakini serikali inaweza kufanya Anasa hii mkoa ambao ni masikini,, Bado tunajukumu la kufanya,. Dah







Kimyaaa kimetawala, Wadau wanasubiri Bendi. Hakuna watu wenye huruma na hili taifa ata kidogo? Sasa kwann watu wale hivi alaf waje tena kuua ndugu zetu vile bila Huruma?? Ni muda wa Watanganyika kuungana na kudai haki.

@Ibrahimomy Unaweza kusema same kwa polepole, mzee warioba na wengine wao. Siwezi kuja kusema uongo ili niwafurahishe, na unachosema ni kweli labda kuna namna mmoja au nyingine tumekua tumekua accomplices i admit. Ila hio haini ondolei Validity ya kusema uwkweli. Tunapaswa tuwe wamoja.




@MariaSTsehai Dada nimeona watu wengi wananishambulia na kuja inbox kuwa mm ni Ccm. Ni kweli mm ni ccm na tuliandika hapa kushauri, kwenye vikao tulivyopata bahati tulisema, Majibu yalikua ni nini? Hapa tulipofika hakuna Remedy isipokua Accountability.







Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, imeongezewa tena muda wa siku 21 na Mamlaka ya Uteuzi. Sababu za kuongezewa muda ni pamoja na kuiwezesha kukamilisha uchambuzi wa ushahidi, taarifa na maoni yaliyopokelewa, kutoa fursa kwa wataalamu wa uchunguzi wa kisayansi kufanyia kazi baadhi ya vielelezo vipya vilivyowasilishwa na kukamilisha maandalizi ya ripoti itakayowasilishwa kwa Rais.

Mhubiri 9:7 Wewe enenda zako, ule chakula chako kwa furaha, unywe mvinyo yako kwa moyo wa kuchangamka; kwa kuwa Mungu amekwisha kuzikubali kazi zako









