Mchunguzi รีทวีตแล้ว
Mchunguzi
5.4K posts

Mchunguzi รีทวีตแล้ว
Mchunguzi รีทวีตแล้ว
Mchunguzi รีทวีตแล้ว
Mchunguzi รีทวีตแล้ว
Mchunguzi รีทวีตแล้ว

@Josephmaro8 @IAmHaule Yaaani siku hizi hata town ameacha kuja inaniuma sana. Mtu alikuwa vzr kwenye computer bado akaogopa kujitafuta nje ya ajira. Kijijini kuchomoka au kuwa tofauti si kazi ndogo. Na 2018 akasogezwa ndani zaidi na akapewa hako kacheo🙌🙌
Indonesia

@JMagobe06 @IAmHaule Mkuu nikipiga hii hesabu kwa sasa atakuwa na jino moja mdomoni! Na hiyo suruali na shati lilivyopauka ni mungu anajua!
Filipino
Mchunguzi รีทวีตแล้ว

Ayo first time someone wanted a photo with me in public. #feelingfamous
English
Mchunguzi รีทวีตแล้ว
Mchunguzi รีทวีตแล้ว
Mchunguzi รีทวีตแล้ว

@BOSSferdd Watu tumesahau ya tarehe 29 October itakuwa bei ya mafuta. Tumelaaniwa
Filipino
Mchunguzi รีทวีตแล้ว
Mchunguzi รีทวีตแล้ว

@joshuamsuyatz Halafu kuingia hilo jengo kuna maajabu gani🤔🤔au ndio kubabaisha watu huku mtandaoni? Watu wa Arusha hii ni sehemu tunaingia kama chooni tu. Au shida ni nini? Bei za hapo? Tajiri mtumwaji🤔🤔
Indonesia

@joshuamsuyatz Kwenye sentensi moja unaweka umetumwa na tajiri kisha unaita wengine maskini, wewe uko kundi gani? Ikiwa bado ili uende chooni inabidi utumwe kwanza na mwanaume mwenzako? Tena kwa kuandikiwa maelekezo🤔🤔
Filipino
Mchunguzi รีทวีตแล้ว

Acha kuwa Low IQ, Rais wangu Trump namsifia issue ya Iran na issue ya Venezuela( na Cuba pia nitamsifia) sababu anawasaidia wananchi ambao wamejaribu kwa nguvu zote kupambana na serikali ili wapate haki na uhuru wao ila wakaishia kupigwa risasi au kufungwa.
Popote pale wananchi wakiandamana na wakapigwa risasi jua nipo upande wa wananchi na pia niko upande wa yoyote atakaejitolea kwenda kuwasaidia hao wananchi hata kama atafanya kwa manufaaa yake mwenyewe, yani sijali ana motive gani ya kuwasaidia hao wananchi.all I care about is “HELP IS ON THE WAY”………
Kingine mimi naishi LA. Hapa ndio wamejaa WaIran, karibia kila weekend wanaandamana Trump aendelee na vita mpaka awatoe Islamic republic, hii wiki nzima wamedata sababu wanaona vita inaisha na wauwaji bado wako madarakani, na wanatia huruma maana hawana hata mawasiliano na familia zao huko Iran.
Pia dentist wangu ni mu-Iran, jirani yangu ni Mu-Iran na mjukuu wake ni rafiki na mwanangu, ana miaka 12 ila mtoto anamwambia Keanu huku analia kuwa hajaongea na familia yake iliyopo Iran karibia miezi 2 sababu wamezimiwa internet, nyie mlizimiwa internet siku 3 tu ila mpaka leo mnalia na hiyo issue ila wa Iran wamezimiwa internet karibia miezi 2 sasa alafu wapuuzi kama wewe bado mnaitetea serikali iliyowazimia internet raia. PUMBAV KABISA. Hiyo serikali ya Iran imejaa tele humu X wanachambana na Trump ila wananchi wamewazimia internet na ma Low IQ kama wewe mnawatetea.
Mimi huwa sisimami upande ambao ni popular ili kufata mkumbo, mimi nasimama upande wa wasio na sauti sisimami na serikali zao…..
NA SIJALI NANI ANASAPOTI UPANDE NILIOPO AU HASAPOTI, TUTAKUTANA KWENYE ISSUE TUNAZOKUBALIANA KAMA ZA SAMIA MUUAJI NA KUDAI HAKI TZ ILA HII YA TRUMP KUWANYOOSHA ISLAMIC REPUBLIC MNIKOME NA MPITE KIMYA KIMYA LA SIVYO NI BLOCK TU….
seba_tz@PM_Sebatz
@mangekimambi @MariaSTsehai @SuluhuSamia Lakini maoni yako wewe ni yapi kuhusiana na huu mnyukano?! Kama Father Kitime yuko sawa, basi tunakubaliana na Papa Leo XIV yupo sawa pia. Yaani, raisi wako Trump unayemsifia kila siku na yeye kajaa kwenye 18 za wakatoliki. Mwambie hawa sio wale wakatoliki wa Father Mapendo 🤣😂
Filipino

@Oziko_Jo @HastaRuego Hapa umeshasema ni tajiri hana wa kumu impress tena nadhani mtoa post alimaanisha kwa sisi watafutaji tunaohitaji msaada waa wengin bado
Indonesia

@HastaRuego Inategemeana
No Wonder Huwezi kuwa.. na No. Personal za Watu Unaowaheshmu uone Upuuzi Wao hadi Mnaowaona Matajiri coz POTENTIAL zao haziko kwenye Personal Life👀
Mf.Kuna.. Matajiri wanatumia Mjani ila unaweza kupata kinachoku-Inspire kwake ni Biashara Zake na sio Kijiti
Indonesia













