Musa G. Kilua

15.4K posts

Musa G. Kilua banner
Musa G. Kilua

Musa G. Kilua

@Kilua_Musa

Founder & CEO @JME_Group Manager @jmebrands 👞 🎙️🎥 @TheEACelebrity Social Affairs Adviser 📊 📸 #jmebrands

Dar es Salaam, Tanzania🇹🇿 เข้าร่วม Mayıs 2013
23.4K กำลังติดตาม35K ผู้ติดตาม
Musa G. Kilua
Musa G. Kilua@Kilua_Musa·
Hii Vita inapaswa kupiganwa Rohoni kwanza ndio imalizikie Rohoni. Lakini kwa bahati mbaya Viongozi wa kiimani wakipiga Vita mambo haya wanaonekana kama ni Wabaya wanaoingilia Serikali katika majukumu yake. Pia Watoto wetu tuwasimamie katika kuwajenga kwenye misingi ya ki Mungu.
Mamwavi_Nkabasia@joeselasini

Tatizo ni kubwa kuliko uwezo wake na unavyofikiri. Nilipokuwa MP tulipewa semina ya TACAIDS kuhusu maambukizi ya Ukimwi. Mmoja kati ya watoa mara alikuwa Shoga na mfanyabiashara mkubwa. Wabunge walimuuliza swali; " mnapataje wateja wenu?" Jibu likawa wengine ni miongoni mwenu.

Indonesia
0
0
2
113
Musa G. Kilua
Musa G. Kilua@Kilua_Musa·
Kwa maslahi mapana ya Taifa tunaweza kuangalia Faida tunayoipata sasa hivi ya Bandari ambayo tumewapa wawekezaji na hasara itakayokuja siku za mbeleni ambapo sisi hatupo. Mwalimu J.K Nyerere aliwahi kusema "Kama hatuna wa taalamu kwa sasa basi tuyaache madini yetu maana hayaozi".
Indonesia
0
0
0
48
Musa G. Kilua
Musa G. Kilua@Kilua_Musa·
Wananchi wa Kitanzania kufanya Biashara kwa urahisi na nchi ambazo unaweza kwenda kwa njia ya Bahari. Hata hivyo Serikali kuweza kujenga miundo mbinu ya kuwawezesha Wafanyabiashara wa ndani kufanya Biashara kwa urahisi kwa kutengeneza Barbara kurahisisha ufikaji mzuri. 3/3
Indonesia
0
0
0
10
Musa G. Kilua
Musa G. Kilua@Kilua_Musa·
Bandari yetu ya Dar, inahudumia nchi nyingi sana za Afrika ambazo tumepakana nazo na nyingine tunafanya Biashara nao. Hivyo uwepo wa hizo nchi kupitishia Mizigo yao kwenye Bandari yetu ni kufungua Uchumi wa nchi na kuinua Maisha ya Wananchi kwa kuwatengenezea njia nzuri ya...2/3
Indonesia
1
0
0
33
Musa G. Kilua
Musa G. Kilua@Kilua_Musa·
Bandari pekee ingetosha sana kutufanya Watanzania kutembea kipaumbele iwapo tungeieekezea Bilioni za Fedha za uboreshaji na tukaiendesha Watanzania wenyewe. Naona kama Taifa kwenye Bandari yetu ya Dar es salaam hatunufaiki nayo kama wanavyonufaika wanaoitwa Wawejezaji(Waarabu)1/3
Indonesia
1
0
0
60
Musa G. Kilua
Musa G. Kilua@Kilua_Musa·
Mbona kwangu bila VPN haifunguki wazee nipeni code hizo!? Maana wengine wanasema Mtandao wetu pendwa wa X kwa sasa unaweza kutumia bila kuwasha VPN?
Indonesia
0
0
2
46
Musa G. Kilua
Musa G. Kilua@Kilua_Musa·
Jumatano ya Majivu. Mwenyezi Mungu asikie Sara na Maombi ya Watu wake wamuombayo kwa sifa na Utukufu wake. Amina! #jumatanoyamajivu
Indonesia
0
0
0
13
Musa G. Kilua
Musa G. Kilua@Kilua_Musa·
Mzazi usifurahie kulipia Ada za Watoto wenu Mashuleni na kuwapatia mahitaji yao mengine. Vita ni kali sana ktk ulimwengu wa Roho dhidi ya Watoto kwenye eneo la Ushoga.Maombi pekee ndio njia pekee ya kuwaokoa Watoto wetu kwenye vitendo vya Ushoga vinavyoshika kasi siku hadi siku.
Indonesia
0
0
0
27
Musa G. Kilua
Musa G. Kilua@Kilua_Musa·
Ni kweli tumekuwa tunahimizana sana kuwa Wazalendo kwa Taifa letu, lakini kwa nini linapokuja suala la kuambiana ukweli unaonekana mbaya kwa Nchi? So sad!😭
Filipino
0
0
1
30
Musa G. Kilua
Musa G. Kilua@Kilua_Musa·
Wakati Watoto wetu wakiamini Baba ataninunulia hiki na kile kwa mahitaji yao mbalimbali, Sisi Wazazi tunaamini Mwenyezi Mungu ndiye atakayetufanikisha katika riziki zetu za kila tuweze kuwatimizia Watoto wetu mahitaji yao. Kibali na uwepo wa Mungu ktk upande wetu na uwe nasi!🙏
Indonesia
0
0
0
20
Musa G. Kilua
Musa G. Kilua@Kilua_Musa·
Yes, God can change your situation!
English
0
0
0
22
Musa G. Kilua รีทวีตแล้ว
Amnesty Eastern Africa
Amnesty Eastern Africa@AmnestyEARO·
This Extended Press Release documents countless  human rights violations perpetrated by security forces in #Tanzania under President @SuluhuSamia to suppress the protests that erupted across the country following the 29 October general elections. amnesty.org/en/latest/news…
English
12
185
469
22.5K
Musa G. Kilua รีทวีตแล้ว
JMEBrands
JMEBrands@jmebrands·
Usisubirie mpaka ifike Januari ndio utafute Viatu vya Shule vya Mtoto wako!? Karibu sana tukuhudumie mapema Viatu imara na vinadumu kwa muda mrefu ambavyo ni Ngozi halisi 💯✅ tena kwa gharama nafuu kabisa. 📲☎️+255658858658. 📍 Kunduchi Mtongani DSM. #jmebrands #viatuvyashule
JMEBrands tweet mediaJMEBrands tweet media
Indonesia
0
1
1
31
Musa G. Kilua รีทวีตแล้ว
JMEBrands
JMEBrands@jmebrands·
Je, Unahitaji Viatu vya Shule vya Ngozi halisi 💯✅ ambavyo vitampendezesha Mtoto wako Shuleni na haujhi ni wapi utapata? Basi ondoa shaka! Wasiliana nasi kupitia; Simu: ☎️ +255658858658. WhatsApp: 📲💻+255679440445. Karibu sana tukuhudumie imara na vinavyodumu kwa muda mrefu.
JMEBrands tweet media
Indonesia
0
1
0
21
Musa G. Kilua รีทวีตแล้ว
JMEBrands
JMEBrands@jmebrands·
Viatu vya Watoto kuvalia Suti, kwendea Ibadani, Kipaimara na sherehe nyingine mbalimbali vikiwa ni Ngozi halisi 💯✅ vinapatikana JME kwa gharama nafuu kabisa. Simu ☎️ +255658858658. WhatsApp 📲 +255679440445. Mahali 📍 Kunduchi Mtongani jijini Dar es salaam-Tanzania 🇹🇿. Karibu!
JMEBrands tweet mediaJMEBrands tweet media
Indonesia
0
1
1
26
Musa G. Kilua รีทวีตแล้ว
Musa G. Kilua
Musa G. Kilua@Kilua_Musa·
Mass Graves!😭😭
English
0
0
0
30
Musa G. Kilua รีทวีตแล้ว
US Embassy Tanzania
US Embassy Tanzania@usembassytz·
We join in mourning with all Tanzanian families and communities who have lost loved ones during this difficult period.
US Embassy Tanzania tweet media
English
593
1.8K
6.1K
396.6K