@Shaith_1@OfficialKyejo@shealerjohn77@MsomiKhan18 Mpaka sasa taarifa zako hazina mashiko kwa kushindwa kwako kudhibitisha, tuletee copy inayoonesha amana wanatoa mkopo wa riba, vinginevyo futa tweet yako hiyo na epuka kupotosha watu
@shealerjohn77@OfficialKyejo@MsomiKhan18 Mimi ni muajiriwa mwaka wa 8 tokea nimeanza kazi Serikalini, nishawahi kukopa mara mbili hizo benki za Kiislamu ni kausha damu mzee. Na uzuri mara zote napata pesa mkononi. Yaani sikopi kununuliwa kitu napewa cash. RIBA KAUSHA DAMU ndio maana hata dini zinakataza.
@Shaith_1@OfficialKyejo@MsomiKhan18 Nina degree ya banking and finance IFM Islamic banking nimesoma mwaka wa pili semester ya 1 Nina A yangu safi kabisa
@shealerjohn77@OfficialKyejo@MsomiKhan18 Hujanifahamu. Yaani nenda Bwnki ya Kiislamu kama ni Amana au PBZ waombe wakulipie ada. Nd utajua kama riba ipo au haipo. Na utakapoajiriwa kufanya kazi utajua zaidi.
@shealerjohn77@OfficialKyejo@MsomiKhan18 Na ukitaka kujua hilo, nenda chuo ukasoma alaf kaombe Islamic Bank wakusomeshe. Hiyo ndio njia rahisi ya kujua. Nyengine hadi uwe na connection za kuoewa pesa mkononi
@shealerjohn77@OfficialKyejo@MsomiKhan18 Nazungumza nikiwa mimi ni katika wanaodaiwa ni hizo unazoziita Islamic Banking. Tena wana riba haswa. Hao Amana ndio afadhali hiyo 9.5%
@shealerjohn77@MsomiKhan18 Aha kumbe sasa kvp nione linauzwa million 10 then waniambia million 15 bas kama ni ivo wanapata faida tuu na sio kwamba hamna riba ipo ila naona kupitia biashara sasa
@lifeofmshaba Muhalifu anatoka Marekani kuja Tz. Unadoubt udhaifu wa mifumo yetu kuingia wahalifu, bila kueleza alitokaje tokaje nchi kama Marekani yenye mifumo mizuri ya kudhibiti uhalifu. Wangeweza kumdhibiti wao kwanza huko asitoke.
Mamlaka za Zanzibar zinatakiwa kueleza umma
Kwa nini kuna wakati wengi ambao ni raia wa Marekani, Italy , uingereza na Caribbean wanaishi Zanzibar lakini huko walikotoka wanatafutwa na Polisi ?
Moja ya chaka la waharifa dunia kwa sasa Zanzibar ni moja ya eneo waharifu wamejificha kwa Appartments, mahotel na viota vya starehe
Wamejaa kwa wingi
Waitaliano mpaka wanaendesha clubs ambazo hawataki wenyewe huko na kuna mambo mengi ya kishenzi yanaendelea
Hao waharifu ndio wameanza elezea udhaifu wa mifumo yetu kila mtu anayetaka fanya ushenzi hasa mwenye pesa anakuja Tanzania
Huko mbele tutakuwa hot ground ya mauaji
Barcelona na Atletico wanatupa game moja kali sana hapa, hauwezi kufumba macho ukiwa unaitazama hii game. Sema yote kwa yote huyu chaliii, Lamine Yamal apewe heshima yake. Dogo anaujua sana mpira halafu anacheza kama vile football ni jambo jepesi mnoo.
@Shaith_1@midiayao1 Afrika ukiachilia mbali UTAWALA mbovu unachaguza umaskini, ila Kuna dini zinajitahid kuleta ahueni mfano sehemu zenye Wakristo kuna Taaisis nyingi sana za kidini mfano shule, hospitali, hadi benki za makanisa na kutetea wananchi mfano TEC, tofauti na kwa ndugu zetu waisalam.
@midiayao1@assengajrr Mzee umasikini ni janga la Afrika. Ukienda Duniani nchi zenye waislamu wingi ni matajiri sana. Hata nchi zenye wakristu wingi Afrika ni majanga tu mzee...
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema hataruhusu utozwaji wa ada au ushuru kwa meli zinazopita katika Mlango wa Hormuz, akisisitiza kuwa njia hiyo muhimu ya kimataifa inapaswa kubaki wazi kwa usafirishaji wa mafuta na biashara nyingine za baharini.
Kauli hiyo imekuja wakati mvutano kati ya Marekani na Iran ukiendelea kuathiri shughuli za usafiri katika eneo hilo muhimu la Mashariki ya Kati.
Mlango wa Hormuz ni moja ya njia muhimu zaidi duniani kwa usafirishaji wa mafuta, ambapo sehemu kubwa ya mafuta ya dunia hupita kila siku.
Wachambuzi wa masuala ya nishati wanaonya kuwa hatua yoyote ya kuzuia au kutoza ushuru katika eneo hilo inaweza kusababisha kupanda kwa bei ya mafuta duniani.
#KitengeUpdates