joseph msusi

7.3K posts

joseph msusi banner
joseph msusi

joseph msusi

@JosephMsusi

Dodoma, Tanzania شامل ہوئے Kasım 2022
628 فالونگ382 فالوورز
Moshi Jnr
Moshi Jnr@moshijnr·
Nafasi ya tatu na ya pili bado ni utata mkubwa sana, ikizingatiwa Yanga tayari amejitengenezea eneo lake😀
Moshi Jnr tweet media
Indonesia
11
4
250
4.8K
#FREETUNDU ANTIPAS MUGHWAI LISSU
Vunjabei labda hakuomba ushauri akafungua betting 👇 Online Betpower Sportbety In door Premier bet Thronebet Meridian Playmaster G sports Bongo makampuni ambayo yamejikita na yana wateja ni haya maana hajajiuliza Wasafi bet & sportpesa mbona kimya YOU LOST
Indonesia
38
33
341
22.7K
EL SUKAYO 🇹🇿
EL SUKAYO 🇹🇿@Elsukay0·
Mliosoma Boarding school simu mlikuwa mnaziitaje sisi pale shybush tulikuwa tunaziita nanda
EL SUKAYO 🇹🇿 tweet media
Indonesia
16
16
51
1.3K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Mfanyakazi haruhusiwi kufanya kazi zaidi ya masaa 12 kwa siku, Kwa week afanye kazi siku 6 tu, Kwa week afanye kazi masaa 45, Na kwa siku asizidishe masaa 9. Lakini anaweza kuzidisha masaa ya kazi lakin kwa makubaliano maalum na itabid alipwe kama overtime.
Indonesia
6
27
232
6.9K
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@rusted_cleat·
Familia imepambana kunisomesha kwa hali na mali nimebahatika kupata ajira Serikalini halafu nije kufukuzwa kazi kizembe na Diwani? Oyaa tutazinesa sio poa
Indonesia
23
35
646
20.4K
joseph msusi
joseph msusi@JosephMsusi·
@Sulphuric_aci17 @ClaraFundi Kuanzia zile game za Cafcl,droo alizotoa kabla ya International break kuna zile akishinda kwa shida karudie post zako huo wakati halafu hurudie kusema naangaria football au ni hisia za wakati husika zinakuendesha
Indonesia
0
0
0
27
Conc.H2SO4
Conc.H2SO4@Sulphuric_aci17·
@JosephMsusi @ClaraFundi Yanga akipoteza mechi haya yanatokeaga😀😀mara ya mwisho yanga kupoteza mechi kabla ya juzi ni lini? Kuna muda hata kijibishana na mtu kama wewe inakua jau yani
Indonesia
1
0
0
30
SANUKAnaCHAPO
SANUKAnaCHAPO@chapo255·
Miaka ya 90’ kuna bia ilikua inaitwa BINGWA, picha linaanza unaambiwa kabisa haijatengenezwa kunywewa ya moto. Sasa wewe jichanganye unywe ya moto uone😂😂😂
Indonesia
65
22
499
31.4K
Botafogo👑
Botafogo👑@IWillLive_X·
Natamani Mwisho wa Msimu kuwaona Tabora United Top Four, kuliko Singida black star. Tabora wanavyocheza nawaona Wana deserve kuwa hapo🙌🙌
Filipino
21
22
114
1.8K
Conc.H2SO4
Conc.H2SO4@Sulphuric_aci17·
@ClaraFundi Tatizo unaweka ushabiki kila pahala, sisi tunaongea football na wala sijaanza jana wala juzi kuandika kuhusu jamaa kwahiyo juu ya swali lako jibu ni hapana ukitaka kujua kwanini nitakufundisha pia
Indonesia
2
1
1
151
joseph msusi
joseph msusi@JosephMsusi·
@krisBangala Wanajaribu kulazimisha yanga waumie au waanze kushamburia makocha na wachezaji lkn wao wamechagua sherehe tu
Indonesia
1
0
4
353
BANGALA
BANGALA@krisBangala·
Wachambuzi Na Mashabiki Wa Simba Wameumiaa Mnoo Baada Ya kuona Yanga Kafungwa Na Simba Na Bado Wana Yanga Wanafuraha Na Timu Yao.
BANGALA tweet media
Filipino
22
15
372
6.5K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Rich Mavoko anasema wakati yuko WCB msanii pekee aliyekuwa anapiga nae story ni Harmonize, chanzo cha yeye kutolewa pale ni kitendo cha Rich Mavoko kuwasiliana na watu wa Clouds Fm. Konde alikuwa anapeleka habari za Rich kwa viongozi wa WCB kuwa Rich anawasiliana na Clouds.
Filipino
31
58
938
34K
Sally Brown🌷
Sally Brown🌷@officielsalome·
Au niolewe niwe naachiwa elf 10 kwa siku ya matumizi🥹!!
Sally Brown🌷 tweet media
Indonesia
50
21
402
18.5K
joseph msusi
joseph msusi@JosephMsusi·
@Elsukay0 Huyu kasaini miaka miwili mwanzoni mwa msimu huu
Indonesia
0
0
2
465
EL SUKAYO 🇹🇿
EL SUKAYO 🇹🇿@Elsukay0·
🚨EXCLUSIVE : Mkataba wa Duke unaisha msimu huu mwishoni Azam Fc wametuma offer ya $ 720 USD kama sign fee kwenye management ya Duke mazungumzo ya awali yamefanyika kati ya Azam Fc na management ya Duke Msimu ujao Duke anaweza kucheza Azam na alie mli- recommend Duke ni Ibenge
EL SUKAYO 🇹🇿 tweet mediaEL SUKAYO 🇹🇿 tweet media
Indonesia
28
12
396
20.2K
joseph msusi
joseph msusi@JosephMsusi·
@shaffihdauda1 Wachambuzi wanajifanya wanampa moyo wakati wao ndo wanamsema Mm cnaona shabiki wa yanga anaemlalamikia huyo wengi wanaongelea kushuka kwa uwezo wa wachezaji wao na timu yao kiujumla
Indonesia
0
0
1
185
Shaffih  Dauda
Shaffih Dauda@shaffihdauda1·
Calm down Edmund John, najua DM yako itakuwa bize sana leo wapo watakao kutia moyo lakini wapo pia watakaokusema as if haujawahi kufanya jema Kukosea kupo na leo umekosea wewe, huu sio mwisho wa career yako stay strong Ujumbe wangu kwa Wananchi, wachezaji wengi wazuri wamewahi kupotea baada ya kukosea na waliopaswa kuwapa moyo kugeuka na kuwasimanga, Edmund yupo Yanga lakini Taifa linamuhitaji mpeni moyo badala ya kumpoteza
Shaffih  Dauda tweet media
Indonesia
50
11
363
14.7K
Msomi Khan
Msomi Khan@MsomiKhan18·
Upewe Bajaji 4 ufanyie BIASHARA Upewe Bodaboda 8 ufanyie BIASHARA Biashara gani hapo Utapiga pesa saana?
Indonesia
17
12
142
7.5K
Toto la kishua
Toto la kishua@MswatiKing_01·
Utopolo mbona sisi hatuwarogeagi wachezaji wenu nyie mazunye 🚮 Washampeleka bench dinho wa kuchovya 😂
Indonesia
3
3
49
2K
Trica Online Store
Trica Online Store@TriciaAbou·
Mpaka sasa najiuliza Simba tulifungua kesi ya nini kwa huyu Mohammed Damaro ? Average player kama huyu 🤔
Indonesia
18
6
283
11.3K