
Kunta Kinte
6.8K posts








Aliyekuwa Waziri wa Sheria wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Constant Mutamba, anatarajiwa kufika tena mbele ya Vyombo vya Sheria Jumanne tarehe 5 Mei 2026, kufuatia tuhuma za ubadhirifu wa fedha zinazokadiriwa kufikia Mamilioni ya Dola. Kesi hiyo inahusisha fedha za FRIVAO, mfuko ulioundwa kwa ajili ya kulipa fidia kwa waathirika wa shughuli haramu zilizofanywa nchini humo. Mamlaka za uchunguzi zinajaribu kubaini iwapo kulikuwa na matumizi mabaya ya fedha hizo na nani waliohusika. Wito huo wa kufikishwa Mahakamani unakuja wakati Serikali ya DRC ikiendelea kuongeza juhudi katika mapambano dhidi ya rushwa na ubadhirifu wa mali za umma. Hadi sasa, hakuna taarifa rasmi iliyotolewa na Mutamba kuhusu tuhuma hizo. Wakati huo huo, wananchi wanaendelea kusubiri matokeo ya uchunguzi huo ili kupata ukweli juu ya sakata hilo. Kesi hiyo inatarajiwa kuvuta hisia kubwa kutokana na uzito wa tuhuma na nafasi aliyokuwa nayo Kiongozi huyo wa zamani Serikalini. #KitengeUpdates









تحقيق أجرته CNN يكشف تضرر غالبية المواقع العسكرية الأمريكية بالشرق الأوسط جراء غارات إيرانية

























