Am very very happy kuona ndugu zangu Songa na Nikk Mbishi ndio wanamfanyia back vocal Profesa Jay...Its a real definition of hip hop, we love you Jay✌️..haters gonna hate but we move on
Huyu nae alitaka UMAARIFU insta kachukua post za kumchukia VINA X kaenda kuweka INSTA alijua atachekwa na haya ndio matokeo.
Huko hata hatupambani tunapambaniwa. Tafsiri ya kulisha mtaa ndio hii. Huku tunakuja kwaajili ya MIJADALA tuu.😎🫵🏾
Mjadala wa Leo umeibua mambo makubwa mazuri ambayo wengine tumekuwa tukiyapigania humu kwa muda mrefu. Mosi Tunaweza kutofautiana mawazo na itikadi za vyama ila tukaendelea kushirikiana, kusaidiana na hata kuoana. Pili huwezi kuchanganya harakati na Njaa Pamoja!
Nimefanya kazi nawe miaka 5 ukiwa Naibu Katibu mkuu na baadaye Katibu mkuu wa Bavicha taifa. Itoshe kusema imani uliyopewa na chama kuwa Katibu wa kanda ya Kaskazini si ya bahati mbaya. Ukweli unastahili.
From prison to the office.
#TajiriLaKihaya
Kipindi kile Natafuta Tenders kwa Ofisi mbali mbali za Kiserikali kwa ajili ya KAZI na BIASHARA zangu!
Picha zangu zikija humu -Nliambiwa mm ni TISS… mimi ni Mamluki… sina msimamo na kutukanwa saana hadi matusi ya Nguoni💔💔
Leo imefika zamu yenu… ndio mmeanza kufaham kuna KAZI na SIASA!
Nimewapelekea moto kimaksudi ili myatamke na kukiri wenyewe kwamba;
KAZI na SIASA ni Tofauti… mwisho wa siku vijana lazima tufanye kazi ili mkono uende kinywani…
Nafikiri Darasa la Leo limeingia Vizuri💯💯🤝
Balozi Polepole bado yupo kwenye mikono ya wauwaji kwasababu alisalitiwa na Mzee ambaye kwasasa anapigania uhai wake kitandani. Kabla hajaondoka aite press halafu atuambia ni nani aliyemteka Balozi?
Kenya imesema Barcelona na Liverpool wanafikiria kucheza mechi ya kirafiki pre-season kwenye uwanja wa Talanta City uliopo jijini Nairobi nchini Kenya mwezi August mwaka huu.
Sasa @hechejohn Unasema Lissu ameletwa kwa kificho mahakamani inamaana huwa huwasiliani na viongozi wenzako au ndio gia ya kujificha usionekane unamhujumu mwenyekiti wako? Mbona Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Rugemeleza alikuwepo leo Mahakama kuu na baada ya kusomwa kwa uamuzi alitoka nje na kuzungumza na vyombo vya habari ambavyo navyo vilifika kwaajili ya kuripoti kesi ya Lissu na Mwanasheria amesema wazi kabisa kwamba chama kilikuwa na taarifa ya uamuzi huo kusomwa leo 30 April 2026.
@hechejohn acha kutapatapa tunajua fika hupendi na wala hutaki Lissu aachiwe huru na umeanza mikakati ya kutaka kumng’oa kwenye kiti chake ili ikukalie wewe.