Sabitlenmiş Tweet
Maestro
33.3K posts

Maestro
@253maestro
BITCH DON'T KILL MY VIBE
Kampala, Uganda Katılım Kasım 2016
177 Takip Edilen1.9K Takipçiler
Maestro retweetledi
Maestro retweetledi

Vijana 1,606 Kutoka Mazingira Magumu Wadahiliwa VETA
Serikali imeendelea kupanua fursa za elimu ya ufundi stadi kwa makundi mbalimbali kwa kudahili jumla ya vijana 1,606 wanaotoka katika mazingira magumu katika vyuo vya VETA. Aidha, wanafunzi 132 wenye mahitaji maalum, wanaume 66 na wanawake 66, pia wamedahiliwa, huku wanagenzi 656 wakirasimishiwa ujuzi wao kupitia programu mbalimbali za VETA, ambapo wanawake ni 384 na wanaume 272.
#MustakabaliWaAmani
#TumeYaUchunguziReport
Ukweli Wa Ripoti

Indonesia
Maestro retweetledi
Maestro retweetledi
Maestro retweetledi
Maestro retweetledi

Wanafunzi 3,467 Waliokatisha Masomo Warejeshwa Shuleni Kupitia Elimu Mbadala
Serikali imefanikiwa kurejesha wanafunzi 3,467 waliokuwa wamekatisha masomo kwa sababu mbalimbali, wakiwemo wanawake 2,062 na wanaume 1,405, kupitia mpango wa elimu kwa njia mbadala (Alternative Education Pathway). Hatua hii inaonesha dhamira ya Serikali ya kuhakikisha kila mtoto anapata fursa ya kuendelea na elimu bila kujali changamoto zilizowahi kusababisha kusitisha masomo, ikiwemo ujauzito. #MustakabaliWaAmani
#TumeYaUchunguziReport
Ukweli Wa Ripoti

Filipino
Maestro retweetledi
Maestro retweetledi

Wanafunzi 3,467 Waliokatisha Masomo Warejeshwa Shuleni Kupitia Elimu Mbadala
Serikali imefanikiwa kurejesha wanafunzi 3,467 waliokuwa wamekatisha masomo kwa sababu mbalimbali, wakiwemo wanawake 2,062 na wanaume 1,405, kupitia mpango wa elimu kwa njia mbadala (Alternative Education Pathway). Hatua hii inaonesha dhamira ya Serikali ya kuhakikisha kila mtoto anapata fursa ya kuendelea na elimu bila kujali changamoto zilizowahi kusababisha kusitisha masomo, ikiwemo ujauzito. #MustakabaliWaAmani
#TumeYaUchunguziReport
Ukweli Wa Ripoti

Filipino
Maestro retweetledi

Wanafunzi 3,467 Waliokatisha Masomo Warejeshwa Shuleni Kupitia Elimu Mbadala
Serikali imefanikiwa kurejesha wanafunzi 3,467 waliokuwa wamekatisha masomo kwa sababu mbalimbali, wakiwemo wanawake 2,062 na wanaume 1,405, kupitia mpango wa elimu kwa njia mbadala (Alternative Education Pathway). Hatua hii inaonesha dhamira ya Serikali ya kuhakikisha kila mtoto anapata fursa ya kuendelea na elimu bila kujali changamoto zilizowahi kusababisha kusitisha masomo, ikiwemo ujauzito. #MustakabaliWaAmani
#TumeYaUchunguziReport
Ukweli Wa Ripoti

Filipino
Maestro retweetledi

Wanafunzi 3,467 Waliokatisha Masomo Warejeshwa Shuleni Kupitia Elimu Mbadala
Serikali imefanikiwa kurejesha wanafunzi 3,467 waliokuwa wamekatisha masomo kwa sababu mbalimbali, wakiwemo wanawake 2,062 na wanaume 1,405, kupitia mpango wa elimu kwa njia mbadala (Alternative Education Pathway). Hatua hii inaonesha dhamira ya Serikali ya kuhakikisha kila mtoto anapata fursa ya kuendelea na elimu bila kujali changamoto zilizowahi kusababisha kusitisha masomo, ikiwemo ujauzito. #MustakabaliWaAmani
#TumeYaUchunguziReport
Ukweli Wa Ripoti

Filipino
Maestro retweetledi

KUHUSU KIWANDA CHA KUCHAKATA MAFUTA
NA Nyani N. Ngabu
Naona foleni imepungua kidogo nami sasa nitoe maoni yangu kuhusu swala la kiwanda cha kuchakata mafuta kuwepo Tanga au Mombasa.
Kwanza, wananchi inabidi muelewe kuwa tunaishi kwenye ulimwengu wa propaganda ambapo watu hutumia media na social media kuvutia ngoma upande wao.
Wafanyabiashara ni watu wajanja sana, haswa wafanyabiashara wenye level ya mafanikio ya Aliko Dangote. Swala la Rais Samia Suluhu Hassan kuongea hadharani kuhusu kutokujua chochote kuhusu mpango wa kujenga kiwanda Tanga kumemtikisa tajiri Dangote kidogo.
Utauliza jambo hilo limemtikisa vipi? Kama mfanyabiashara anataka kuvutia ngoma upande wake apate conditions zinazomnufaisha yeye kuliko itakavyo inufaisha Serikali ikiwemo kupata ruzuku, kupewa punguzo la kodi, kupewa eneo bure, kupewa tax holiday ya miaka kadhaa n.k.
Kitendo cha Rais Samia kutoka hadharani na kusema hajui chochote kuhusu mpango wa kiwanda kimemuondolea Dangote leverage. Kashtuka kuwa Tanzania haipo tayari kuingia makubaliano kiholela ilimradi tu.
Sasa tajiri akachakata akili na kuangalia ni kwa namna gani anaweza rudisha leverage upande wake. Namna pekee ni kutengeneza "mpinzani" au mbadala wa Tanga yani Mombasa. Nia ni kwamba Tanzania tupanic na tuingie nae makubaliana kwa vigezo na masharti yake.
Pili, kitendo cha Ruto kutangaza kuwa amemuomba Dangote ajenge kiwanda Tanga kabla hata hajaongea na mamlaka zetu lazima ionyeshe walakini. Kama alikua na nia njema na ujirani mwema tu kwanini hakumgusia swala hilo Rais wetu kabla ya kulipeleka kwa Dangote?
Ina maana Ruto na Dangote walishakaa kwenye vikao private, kujadiliana kuhusu swala la kiwanda na kuweka conditions zao wakiamini Tanzania itaingia kichwa kichwa kwa mantiki ya kukuza uchumi, usalama wa nishati na ajira kwa Tanzania.
Kimantiki sikatai kwamba kiwanda hicho kuwepo Tanga kitakua na manufaa kwa Tanzania ila kitakua na manufaa pale tu vigezo na masharti vikiwa rafiki na salama kwa mustakabali wa nchi yetu. Laa sivyo baada ya miaka 20 tungeanza tena kulalamika kuwa Serikali imetuingiza kwenye mkataba mbovu.
Ushauri wangu wa Dangote na Ruto, njooni Tanzania, wekeni proposal yenu mezani na wape wataalam wa Tanzania muda wa kuchakata proposal hiyo.
Ujumbe ni simple....TANZANIA HAITAINGIA KWENYE MAKUBALIANO YOYOTE KICHWA KICHWA!

Filipino
Maestro retweetledi

Wanafunzi 3,467 Waliokatisha Masomo Warejeshwa Shuleni Kupitia Elimu Mbadala
Serikali imefanikiwa kurejesha wanafunzi 3,467 waliokuwa wamekatisha masomo kwa sababu mbalimbali, wakiwemo wanawake 2,062 na wanaume 1,405, kupitia mpango wa elimu kwa njia mbadala (Alternative Education Pathway). Hatua hii inaonesha dhamira ya Serikali ya kuhakikisha kila mtoto anapata fursa ya kuendelea na elimu bila kujali changamoto zilizowahi kusababisha kusitisha masomo, ikiwemo ujauzito. #MustakabaliWaAmani
#TumeYaUchunguziReport
Ukweli Wa Ripoti

Filipino
Maestro retweetledi
Maestro retweetledi
Maestro retweetledi
Maestro retweetledi
Maestro retweetledi
Maestro retweetledi
Maestro retweetledi

Wanafunzi 3,467 Waliokatisha Masomo Warejeshwa Shuleni Kupitia Elimu Mbadala
Serikali imefanikiwa kurejesha wanafunzi 3,467 waliokuwa wamekatisha masomo kwa sababu mbalimbali, wakiwemo wanawake 2,062 na wanaume 1,405, kupitia mpango wa elimu kwa njia mbadala (Alternative Education Pathway). Hatua hii inaonesha dhamira ya Serikali ya kuhakikisha kila mtoto anapata fursa ya kuendelea na elimu bila kujali changamoto zilizowahi kusababisha kusitisha masomo, ikiwemo ujauzito. #MustakabaliWaAmani
#TumeYaUchunguziReport
Ukweli Wa Ripoti

Filipino
Maestro retweetledi












