Mpipi Adamu 🇹🇿

107 posts

Mpipi Adamu 🇹🇿

Mpipi Adamu 🇹🇿

@AdamuMpipi

Dar es salaam-Tanzania Katılım Ağustos 2020
279 Takip Edilen121 Takipçiler
Mpipi Adamu 🇹🇿
Mpipi Adamu 🇹🇿@AdamuMpipi·
Nikiwa ni muhitimu Namshukuru Mungu nimeshiriki Mahafali ya 8 ya Seneti ya vyuo na vyuo vikuu Mkoa wa Dar es salaam tarehe 06 June 2025, Iliyofanyika katika ukumbi wa Ubungo PLAZA ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. @TuliaAckson
Mpipi Adamu 🇹🇿 tweet mediaMpipi Adamu 🇹🇿 tweet media
Indonesia
1
1
1
45
Mpipi Adamu 🇹🇿
Mpipi Adamu 🇹🇿@AdamuMpipi·
Naam, nimeshiriki kikamilifu kuupokea Mwenge wa Uhuru ndani ya Chuo Kikuu Cha Kimataifa Cha Kampala nchini Tanzania tarehe 03 June 2025 nikiwa ndiye M/kiti wa UVCCM Chuo Kikuu Cha Kimataifa Cha Kampala, Ambapo pia Mwenge wa Uhuru ulikesha hapa.
Mpipi Adamu 🇹🇿 tweet mediaMpipi Adamu 🇹🇿 tweet media
Filipino
0
0
1
84
Josephath
Josephath@Msombejosephath·
Uzalishaji wa maziwa umeongezeka nchini kutokana na serikali ya awamu ya sita kutoa huduma za ugani kwa wafugaji ili waweze kufuga kisasa. ✅Mwaka 2023/2024- lita bilioni 3.97 ✅Mwaka 2024/2025- lita bilioni 4.01 #MamaAnafanikisha #KaziNaUtuTunasongaMbele Taifa Moja.
Josephath tweet media
Indonesia
1
0
1
14
Amani Kajiti
Amani Kajiti@PTommy2211·
@AdamuMpipi Kabsa Cde. Mpipi bila Amani hatutaweza kufikia maendeleo yoyote tunayoyataka
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
1
0
0
10
Mpipi Adamu 🇹🇿
Mpipi Adamu 🇹🇿@AdamuMpipi·
Tanzania ilijengwa na babu zetu kwa kutokwa jasho, kufanywa watumwa, kupigana vita(majimaji), kuteswa n.k na hatimaye tumeikuta Tanzania ina amani, umoja na mshikamano. Hivyo Ni wajibu wetu kama vijana wa Kitanzania kuendelea kuilinda amani kwa gharama yoyote na kwa wivu mkubwa.
Mpipi Adamu 🇹🇿 tweet media
Indonesia
4
1
5
68
Michael Kasonkwa
Michael Kasonkwa@Kasonkwamichael·
TANZANIA KINARA WA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI AFRIKA MASHARIKI Tanzania inaongoza kwa kiwango cha uhuru wa vyombo vya habari Afrika Mashariki ambapo katika ripoti ya mwaka 2025 ya World Press Freedom Index iliyotolewa na shirika la Reporters Without Borders (RSF)
Michael Kasonkwa tweet media
Indonesia
1
0
2
15
Goodluck Gabriel
Goodluck Gabriel@GoodluckGa57644·
@MariaSTsehai Shida mnafanya maigizo....bila kujua ukwel humuweka mtu wazi...CCM ni CHAMA Cha WATU na WATU ndo sisi ndo maana Hadi leo kipo madarakani
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
3
0
2
124
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Hivi kweli unalala na kuamka na unawaza kutoa amri watu waumizwe? Watekwe, wapigwe, wafungwe na hata kuuwawa? What kind of human being are you?? You are leaving a wide trail of blood and for what? Jitafakari! Kama hukubaliki huwezi kulazimisha #TutaelewanaTu
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Filipino
86
92
484
28.1K
Baraka Enos
Baraka Enos@Ndug_Barakaenos·
CCM haipendezwi na tabia za baadhi ya watu kudhuru wengine. Kwani inaamini kwamba binadamu wote ni sawa
Baraka Enos tweet media
Indonesia
2
2
8
102
Comrade Ntiboneka Kaseka
Comrade Ntiboneka Kaseka@KasekaNIddy·
Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kuongeza kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa Umma kwa asilimia 35.1 kutokana na mwenendo wa Uchumi. Rais Samia amesema hayo leo katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani ambayo kitaifa yanafanyika Kitaifa Mkoani Singida.
Comrade Ntiboneka Kaseka tweet media
Indonesia
4
2
6
72
Moreen Kibona
Moreen Kibona@nisajekibona·
𝗚𝗔𝗭𝗘𝗧𝗜 𝗟𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗚𝗔𝗭𝗔 𝗟𝗜𝗠𝗘𝗔𝗡𝗚𝗔𝗭𝗔 𝗧𝗘𝗡𝗔 Kishindo cha Rais Samia Mei Mosi! Awapa faraja wafanyakazi! CHADEMA yapuuzwa! Nchimbi afichua sura halisi ya CCM!
Moreen Kibona tweet media
Indonesia
1
0
2
50
sabrinah mwalimu
sabrinah mwalimu@sabrinahmwalimu·
DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AMIRI JESHI MKUU WA TANZANIA
sabrinah mwalimu tweet media
Indonesia
1
0
3
6
Mohamed Mgude
Mohamed Mgude@MgudeMoham17339·
Mama akiwaandaa vizazi ya kesho
Mohamed Mgude tweet media
Indonesia
1
0
1
9