Ally 🇹🇿🇺🇬🇺🇲

11.4K posts

Ally 🇹🇿🇺🇬🇺🇲 banner
Ally 🇹🇿🇺🇬🇺🇲

Ally 🇹🇿🇺🇬🇺🇲

@CharlesKamazima

Katılım Şubat 2023
1.3K Takip Edilen1.5K Takipçiler
TICHA MANDEVU13
TICHA MANDEVU13@TichaMandevu·
Mvua imegoma kunyesha sindio???🥶
Eesti
11
11
131
5.8K
Ally 🇹🇿🇺🇬🇺🇲 retweetledi
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Wenzenu tulisha move on kwenye maswala ya Simba na Yanga yaani kwenye Mpira na Muziki wa Bongo hatu-entatain kitu chochote.
The mandevu tweet media
Indonesia
43
199
1.6K
29.7K
Jakaya Kikwete
Jakaya Kikwete@GPEChair·
Africa’s young people are shaping the future. @DohaForum, we discussed how quality education— paired with digital and foundational skills—can help them thrive in fast-changing economies and strengthen resilience across the continent. @qatar_fund @JDMahama @alexanderdecroo @UNDP
Jakaya Kikwete tweet mediaJakaya Kikwete tweet mediaJakaya Kikwete tweet media
English
190
98
603
932.6K
DevotaTweve
DevotaTweve@TweveDevota·
Tuko nyakati ambazo ukifichua uovu ujue tayari wewe ni adui.
Indonesia
12
34
274
9K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Tunasali WATANZANIA maombi yanajibiwa BENIN.😭
SIR TIVA tweet media
Indonesia
30
172
1.9K
34.3K
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya CHADEMA Tukichukua Nchi … Chini ya Rais LISSU… Jambo la kwanza kabisaa tutafanya… Ni Kurudisha Heshima ya Jeshi Tukufu La Ulinzi Tanzania 🇹🇿… Chini ya Sisiemu tumeona Na kushuhudia JESHI letu likidharauliwa saana… MWENDAZAKE Magufuli aliwapa kazi ya Kufagia na kuokota Uchafu barabarani siku za sikukuu… SAA hizi Wamepangwa barabarani kama Police Traffic aisee… na Jua lote hili… Nmepita pale MANZESE… Wapo katikati ya barabara ya mwendokasi… pembeni Yao kuna ma Traffic… Nmewahurumia saana… kwenye gari nlikua na Maji- nkataka niwapelekee walau watoe kiu… Ila nlivyowaangalia usoni wamekasirika nkaogopa 💔
Indonesia
100
219
1.5K
36.8K
Movie Plug🎬
Movie Plug🎬@MoviePlugHQ·
Anachotakiwa kujua mwanaume kuhusu wanamke:🧠🌚 1. Usioe mwanamke aliye mkubwa kuliko wewe. Mara nyingi usitarajie atakuheshimu. 2. Usimsamehe kwa kosa ambalo hata yeye anajua halipaswi kusameheka, maana atalirudia tena bila wasiwasi. 3. Usimruhusu mwanamke akupangie maisha hadi yakuharibie – uwe na akili zako, si kila ushauri ni mzuri. 4. Wanawake wengi hufuata hisia zao kuliko kujali vile ulivyoteseka au kujitolea, hivyo usitegemee shukrani muda wote. 5. Mwanamke aliyekutwa akicheat huwa hatabiriki, mara nyingi huwa tayari kuficha zaidi au kufanya makubwa zaidi. 6. Usimwoe mwanamke anayejulikana kuwa mpenda starehe kupita mipaka – ukifanya hivyo, utajiumiza mwenyewe mwisho wa siku. 7. Mwanamke anaweza kukutendea kama mfalme, mpaka siku utafute na kugundua siri zake, ndipo tabia yake ya kweli itokee. 8. Daima kuwa hatua tano mbele ya mkeo – kwa mipango, akili, maamuzi na mustakabali wa maisha yako. 9. Mwanamke mzuri akibadilika kuwa mbaya, mara nyingi hawezi kurudi kwenye ule wema wa mwanzo – inakuwa safari ngumu sana. 10. Ukijua kabisa ulioa mwanamke mtata au sumu, msipeleke kwenye nchi za magharibi, huko atakushinda kwa sheria na mfumo. 11. Ukiacha kumpa hisia, umakini, mwelekeo au uthamini, anaanza kutafuta mbadala kimya kimya, ila hawezi kusema. 12. Mwanamke akikudharau mara ya kwanza, mara nyingi anakuwa anafanya mazoezi ya kukudharau milele, hivyo usipuuze dalili za awali. —END–
Movie Plug🎬 tweet media
Indonesia
11
21
71
5.7K
Ally 🇹🇿🇺🇬🇺🇲
Ally 🇹🇿🇺🇬🇺🇲@CharlesKamazima·
@kalage_jr Sio Dar es salaam tu, sehemu ambayo unaanzia maisha ya kujitafuta ukimaliza miaka mitatu ni degree moja ya kibabe saana
Indonesia
0
0
0
9
John kalage 🇹🇿
John kalage 🇹🇿@kalage_jr·
Dar es salaam ukishakaa miaka kwanzia mitatu tayari una degree fulani bila kujua
हिन्दी
8
19
381
7.8K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Ukitazama hii video utaona hapa kuna Askari Wanawake hawajavaa uniform na wao wameshiriki kumwaga damu za watoto wa Wanawake wenzao. Nilidhan Idd Amin Mama pekee ndo Mwanamke katili kumbe kuna wenzake ambao wanaroho nyeusi kama yake. Hizi damu za ndugu zetu hazitawaacha salama, zitawalilia wao na vizazi vyao mpaka siku wanaingia kaburini.
Indonesia
11
106
393
19.1K
Relis 29
Relis 29@Relis_Tz29·
@Sativa255 Vipi wakiamua kugawa resources zetu kujiepusha na hukumu na matatizo,it's seem like the best way of corrupt leader in Africa to cover up their mistake is to give away our resources to those who have the power of questioning and execution.
English
10
2
18
8K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Habari njema Kutoka ICC. Kesi ya kwanza ya mambo ya Tanzania imefika ofisi ya Mwendesha Mashitaka wa ICC, nyingine zinakuja! Hii ni hatua ya awali kabisa ya kuanza kwa mchakato wa uwajibikaji. Hakuna KIFO cha mtanzania kilichotokea siku ya Uchafuzi na baada ya UCHAFUZI kitaenda BURE. Tanzania sio Kisiwa kwamba watawala wanaweza kuuwa watu Elfu kumi na dunia ikakaa kimya HAPANA haiwezekani. TUTAKUWEPO🫵😎
SIR TIVA tweet media
Indonesia
51
274
1.4K
79.2K
Cyancute ⭐
Cyancute ⭐@Cyancute·
@Sativa255 msigwa ametoa barua mmeona 😂😂😂😂😂😂
Filipino
3
1
28
3.1K
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Mpaka sasa vyombo vikubwa vya habari duniani BBC & CNN vimetoa ripoti yao juu ya yote yakiyofanyika GIZANI. Ripoti zote zimethibitisha POLISI waliuwa Watanzania kwa MAELFU. Hizi ripoti zinafikia watu kwa MABILIONI dunia nzima wanasoma na kuangalia UKATILI uliofanyika GIZANI.
SIR TIVA tweet mediaSIR TIVA tweet media
Indonesia
18
118
470
14.2K
Idris
Idris@IdrisSultan·
A big mistake becomes an even bigger mistake if the solution is just another mistake. Now a solution to a bigger mistake is where you need to pause the deepest in thoughts with both your mind & heart before you turn the bigger to be the “BIGGEST” mistake of your life.
English
169
204
1.4K
176.6K
P'site Shio
P'site Shio@Psiteshio1·
Maelfu wamekufa Nchini kwako wala husemi, unajifanya umezimia
EastAfricaRadio@earadiofm

#HABARI Mwili wa Mtanzania Joshua Mollel, aliyeuawa na kundi la Hamas nchini Israel miaka miwili iliyopita, utawasili leo, Novemba 19 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ukitokea Tel Aviv, Israel. Hatua hii inafuatia makabidhiano yanayoendelea kufanyika kati ya nchi ya Israel na Kundi la Hamas kutoka Palestina. Israel imepokea miili ya mateka 19 Waisraeli waliorejeshwa na Hamas, pamoja na miili ya mateka watatu raia wa kigeni,raia mmoja wa Thailand, mmoja wa Nepal na Mtanzania mmoja. Kwa upande mwingine, imekabidhi jumla ya miili 285 ya Wapalestina ikiwa ni sehemu ya makubaliano hayo yaliyopelekea kutamatika kwa vita hivyo. Ibada maalumu ya kumuaga marehemu ilifanywa na Ubalozi wa Tanzania nchini Israel siku ya jana Jumanne, Novemba 18 kabla ya safari ya kurejeshwa nchini. Mollel alikuwa akifanya mafunzo ya kilimo katika eneo la Kusini mwa Israel, kabla ya mashambulizi ya ghafla ya Hamas ya Oktoba 7,2023 nchini Israel yaliyoua watu 1,205 na wengine zaidi ya 200 kuchukuliwa mateka na kusababisha vita vilivyodumu kwa miaka miwili na vifo vya zaidi ya Wapalestina 67,000. #EastAfricaRadio

Indonesia
4
2
16
2.3K
Ally 🇹🇿🇺🇬🇺🇲
Ally 🇹🇿🇺🇬🇺🇲@CharlesKamazima·
@shaffihdauda1 Dunia hipi unazungumzia,,? Uzuri hupi uliopo nenda Zanzibar utaona ni jinsi gani Wageni wengi wamekuwa na hofu ya kuja kufanya tour JITAFAKALI
Indonesia
0
0
0
11
Shaffih  Dauda
Shaffih Dauda@shaffihdauda1·
Nimeiona taarifa ya Jeshi la Polisi kumkamata mtu mmoja huko Mara akiwa na mabomu na mtu huyo kutajwa kuwa ni mwanajeshi wa Jeshi la Marekani. Mimi hii taarifa imenishtua sana , kwa miaka mingi nimesafiri maeneo mbali mbali Duniani nikiri tu kwamba , Tanzania ni nchi nzuri mnoo inawezekana hiki kitu sio kila mtu kinampendeza. Pamoja na yote yanayoendelea rai yangu kwa watanzania wenzangu , tujitahidi kila mmoja aendelee kuwa mlinzi namba moja wa nchi yetu tusiingie kwenye machafuko. Tuipende na Tuilinde Tanzania yetu ili tuishi kwa Amani , Haki na Upendo 🇹🇿
Shaffih  Dauda tweet media
Ludlow, MA 🇺🇸 Indonesia
406
34
547
84.9K