Northern Circuit Adventure (™)

14.1K posts

Northern Circuit Adventure (™) banner
Northern Circuit Adventure (™)

Northern Circuit Adventure (™)

@CircuitNorthern

🌍✨ Explore Africa’s breathtaking safari destinations! Discover why Tanzania is a must-visit for every traveler. 🦓🐘 #PolePole #SafariToTanzania

Arusha, Tanzania Katılım Ağustos 2019
262 Takip Edilen680 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Northern Circuit Adventure (™)
Northern Circuit Adventure (™)@CircuitNorthern·
Northern Circuit Adventure has been providing ground handling services to the travel industry for quite some time. Its impact has been felt in the whole East Africa region due to the quality of services rendered, efficiency and reliability. #LetusMakeyourSafari
Northern Circuit Adventure (™) tweet media
English
0
2
10
1.8K
Latto 𝕏
Latto 𝕏@Rydx_017·
Tundu Lissu
Eesti
5
9
86
6.2K
Latto 𝕏
Latto 𝕏@Rydx_017·
Tundu Lissu, Alivyotolewa mahakamani na Kurejeshwa Gerezani. Baada ya kesi yake Kughairishwa mpaka june 2 Video kwa Comments 👇
Latto 𝕏 tweet media
Indonesia
8
24
752
80.3K
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
Mzee wangu RUNGWE anashangaa VIBAKA washaingia kazini wanapeana MAJUKUMU TUU. Yeye ndio kageuka kuwa MGENI. Sidhani kama tutakula UBWABWA mwaka huu. TUTAKUWEPO🫵🏾😂
Indonesia
238
83
917
84.4K
Victor Magari
Victor Magari@iamdeidei_05·
Ni kwamba bongo mtu anapenda gari tu. Hana shida na hizo new model cars 😂😂🙌🙌 Hiyo century ni 1Gz engine, 4.5Litre V12
Victor Magari tweet mediaVictor Magari tweet media
Indonesia
57
40
1K
167.3K
imma
imma@immaMtanganyika·
Za ndaaani kabisa.Tarehe 18 mwezi huu Mwamba Atakwenda kuchukua Kisinia chake Cha "UBWABWA".Save this tweet.
imma tweet media
Indonesia
63
51
841
41.2K
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
TUTOLEE UKUMANYOKO WAKO HAPA.
Filipino
54
45
461
33.2K
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
“Mimi ni mtu wa imani sana, hiki kinachotokea mimi nimekiombea kwa Mungu. Nilimwambia Mungu hivi; fyatua magugu yote ndani ya chama chetu, hatuwezi kuwa na kundi la watu ambao msingi wao wa mawazo ni vyeo na madaraka na sio haki na utu. Hao wanaoondoka ni kwa sababu Mungu anaipenda CHADEMA.” – Godbless Lema, Mjumbe wa Kamati Kuu CHADEMA
Swahili Times tweet media
Indonesia
38
183
2.1K
65.8K
Kaji
Kaji@kaji_sijo·
Hizi ndio baadhi ya picha ambazo vitabu vya historia haviwezi kukuonyesha. Iddi Amin Dada hakuwa mtu 🙌 Idd Amin Dada 😅🙌"Una uhuru wa kuongea lakini sikuhakikishii uhuru baada ya kuongea" Fungua Uzi Mfupi 🧵⤵️
Kaji tweet media
Indonesia
37
42
291
50.8K
Madenge
Madenge@rollymsouth·
Na anapita kabisa airport na dawati la uhamiaji? pale pale airport tunapopitaga sisi? kama ni hivyo kosa ni lake au la mamlaka ya uwanja na uhamiaji?
EastAfricaTV@eastafricatv

#UPDATES Kwa mujibu wa taarifa ya Polisi leo tarehe Mei 13, 2025 majira ya saa 06:45 usiku katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere terminal 3 limemkamata Amani Golugwa, Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiwa katika maandalizi ya kusafiri kuelekea Brussels Nchini Ubelgiji. Taarifa hiyo inasema Jeshi la Polisi lilimkamata Naibu Katibu Mkuu huyo kufuatia taarifa za siri kuwa amekuwa na mionendo ya kuondoka na kurudi nchini bila kufuata taratibu za kisheria. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema linaendelea na uchunguzi wa kina wa taarifa hizi kwa kushirikiana na vyombo vyingine vya Usalama kuhusu suala hilo. #EastAfricaTV

Indonesia
31
29
342
15.6K
Dr Calipso
Dr Calipso@nulphin·
Wakati wa Uchaguzi wa Chadema @MsigwaPeter alisema anapenda Lissu ashinde sababu Lissu ana Akili sana , Ana Uzalendo na ni Genius ila cha kushangaza toka @TunduALissu akamatwe Msigwa hajasema chochote 😢
Filipino
59
63
278
26.6K
Dr Calipso
Dr Calipso@nulphin·
Sio Serikali imetoa Ndege ni Rais ila hii nchi 😅
Eesti
114
38
514
41.1K
Boniface Jacob
Boniface Jacob@ExMayorUbungo·
NAKULILIA RAFIKI YANGU MDUDE Ni siku takribani 8 tangu uvamiwe, utekwe, ujeruhiwe na kupotezwa ukiwa ndani ya nyumba yako kata ya Iwambi, Jijini Mbeya. Tukio lako limeacha maswali mengi bila majibu, simanzi kubwa kwa ndugu, Jamaa na familia yako. Nilichofanikiwa kujua hadi sasa ni kimoja tu, kwamba kabla hawajafanikiwa kukudhibiti na kutoweka na wewe, ulipambana kwanza mpaka ulipozidiwa nguvu. Damu yako kumwagika ni ishara ya kupata majeraha makubwa katika mwili wako, michuruziko ya damu ni ishara ulichukuliwa na watu wakatili sana. Kukosekana kwako hadi sasa ni ishara kwamba waliokuteka ni watu wenye taaluma na wajuzi wa medani za mapigano katika misheni mbalimbali kwa maelekezo maalum. KUMBUKUMBU; Nakumbuka mara ya kwanza nilipoonana na MDUDE uso kwa uso ofisini kwake Mbozi, mkoa wa Songwe. Nikiwa Diwani wa Kata ya Ubungo nilikuwa nimetumwa na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni kwenda Mbozi kusimamia mechi ya timu yetu ya daraja la kwanza ya KMC. Wakati ule ilikuwa bado inaitwa TESEMA msimu wa 2013/14 tulinunua kutoka TEMEKE kwa mtu anaitwa Ndonga lakini tukachelewa kubadili jina kuwa KMC Nakumbuka msafara wa timu uliongozwa na mimi pamoja na Sharif Majisafi (alikuwa Diwani wa kata ya Bunju, CCM) tulikuwa tumetumwa sisi kwa sababu mbili.. Sisi wawili ndiyo tuliasisi vikaoni wazo la halmashauri kumiliki timu daraja la kwanza ili baadae ije kupanda hadi ligi Kuu. Sababu ya pili timu ya KMC (TESEMA) ilikuwa imeshapoteza michezo zaidi ya 5 bila pointi hata moja, tulitumwa Mbozi kuhamasisha timu na kujifunza changomoto za ligi daraja la kwanza. Asubuhi mapema kabla ya mechi nilimkuta Mdude katika fremu za soko, nje ya stendi ya Mbozi, Duka lake dogo la simu na vifaa vya umeme, akiwa na suti nyeusi, mrefu nadhifu lakini jasiri na mwenye kujiamini. Mchana niliachana na Mdude nikaenda uwanjani, kwa bahati siku hiyo timu ya KMC (TESEMA) ilikuwa inaongoza mchezo kwa goli moja Lakini Kwa bahati mbaya mechi ya KMC Vs KIMONDO haikumalizika kwa sababu ya mvua kubwa dakika ya 80. Refa alimaliza mpira na viongozi wa timu zote mbili tuliitwa ofisi ya ya chama cha soka wilaya ya Mbozi ili mchezo urudiwe kesho yake asubuhi kumalizia dakika 10 zilizobakia. Si unajua mizengwe ya mpira tena, kule ofisini kamisaa na refa wakasema mpira haukusimamishwa dakika ya 80 bali dakika ya 50. kwa hiyo kesho asubuhi, zitarudiwa dakika 40 na siyo dakika 10. Jamaa walikuwa serious kweli, timu ya wapinzani wetu KIMONDO FC ilikuwa inamilikiwa binafsi na Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Mbozi (CCM) VURUGU Katika kubishana na kutetea haki yetu ya KMC (TESEMA) nikaanza kutukanana na viongozi wa mpira wilaya ya Mbozi baadae mmoja akanitemea mate pale ofisini na Polisi wakiwemo. Si unanijua kwa utata? Ndugu yenu nikapanda juu ya meza nikamrukia kwa kichwa yule kiongozi wa mpira wa Mbozi. Basi kikanuka mbaya, lakini sisi tupo wachache sana na Jamaa zetu wapo nyumbani na ni wengi sana, Jamaa nikiwa nimekabana kabari na yule kiongozi ukutani, mgongoni nilihisi ngumi nyingi sana kutoka kwa wenzie. MDUDE ndiyo aliingia mlangoni kwa teke, mlango uliokuwa umerudishiwa kwa komeo la ndani ili washabiki wasiingie ndani. Support ya Mdude ilikuwa kama msaada kutoka kwa Malaika, nikajikuta nimepata nguvu upya na mashambulizi yakapungua kwangu baada ya kuwa vichaa wawili mule ndani, tukawa tunarushiana viti mpaka polisi walipotutuliza. RAFIKI WA KWELI Nilimpenda Mdude tangu siku hiyo nakumbuka baada ya ugomvi mashati yetu yamechanika ndiyo Mdude ananiuliza chanzo cha ugomvi.... What a friend...? Anasema alipoambiwa rafiki yako (Bonge) aliyekutembelea ofisini asubuhi wanamchangia ofisi ya chama cha mpira katika fremu za uwanjani Mdude aliita vijana wake wa CHADEMA pale stendi haraka sana wakaja kunisaidia ugomvi bila kujua chanzo cha ugomvi. NAMBA 4 Namba ya 4 ndiyo Jina la utani tunaloitana mimi na MDUDE ni baada ya kuishi Gereza la Ruanda, Mbeya aliniadithia kuhusu vituko vya selo namba 04 ambayo walikuwa wanaishi watu wenye matatizo ya akili (vichaa) URAFIKI Ulikolea zaidi 2016 baada ya Mdude kutekwa 26 August 2016 mara ya kwanza na kuletwa Dar es salaam 01 September 2016. Baada ya kupewa mateso ya kupigwa uume (penis) kwa fimbo na rula na wadada waliokuwa wanamtesa hadi kukojoa damu baada ya kuachiwa mateka Nakumbuka nilimlipia gharama za matibabu ya hospitali mbalimbali za Dar es salaam hadi kupona. MIKASA YA MDUDE NA DOLA Agosti 26, 2016 - Mdude alikamatwa Vwawa, Mbozi Agosti 28, 2016: Mdude alihamishiwa kambi ya FFU Mbeya Agosti 29, 2016 - Mdude alipelekwa Dar es Salaam na kuwekwa Oysterbay polisi. Septemba 1, 2016: Mdude alipelekewa hospitali ya Mwananyamala Dar Es Salaam kufuatia madai ya kuteswa. Septemba 13, 2016 - Polisi wamuondoa Mdude hospitali Mwananyamala na kumpeleka Vwawa. Septemba 14, 2016 - Mdude alifunguliwa kesi ya mashtaka ya kuandika uongo. Aprili 15, 2017 - Mdude ashinda kesi. Novemba 2017: Mdude alikamatwa tena Vwawa na kupelekwa Dar Es Salam ambako aliwekwa kituo cha Polisi cha Central kwa siku 21. Baada ya hapo arudishwa Vwawa ambako afunguliwa kesi ya uchochezi Novemba 2018: Kwa mara nyingine Mdude ashinda kesi Novemba 2018. Januari 2019: Mdude aandika notisi ya kulishtaki Jeshi la polisi Juni 28, 2021; Mdude aachiwa huru na kushinda kesi ya Kusafirisha Madawa ya kulevya. Machi 2019: Mdude alifungua kesi mahakama kuu kanda ya Mbeya na kumshtaki Inspekta Jenerali wa polisi, RPC wa Songwe, Mwanasheria mkuu wa serikali na askari polisi watatu. Julai 14, 2023; Mdude ashikiliwa na Jeshi la Polisi Mbeya Julai 17, 2023; Mdude aachiwa kwa dhamana na Jeshi la Polisi Mbeya August 12, 2023; Mdude na Mwabukusi wakamatwa Mikumi wakiwa safarini kwenda Dar es salaam. November 22, 2024; Mdude na Viongozi wengine akiwemo Mbowe alikamatwa na Jeshi la Polisi mkoani Songwe. December 06, 2024; Mdude aachiwa kwa dhamana na Jeshi la Polisi. May 02, 2025; Mdude anavamiwa nyumbani kwake Mbeya na kutoweshwa kusikojulikana. Nakulilia rafiki yangu MDUDE.
Boniface Jacob tweet mediaBoniface Jacob tweet mediaBoniface Jacob tweet mediaBoniface Jacob tweet media
Indonesia
157
579
2.7K
127K
KING WA DSM 👑
KING WA DSM 👑@dsm_wa·
Mpaka kufika October watakuwa wamebaki wa4 tu lissu, heche, Maria Sarungi na Mwabukusi
KING WA DSM 👑 tweet media
Indonesia
258
24
698
87.3K
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Leo ni Siku ya Mama Duniani, siku maalum ya kuwatambua, kuwaenzi na kuwapongeza mama zetu kwa mchango wao mkubwa katika ustawi wa familia, jamii na Taifa letu kwa ujumla. Kwa moyo wa dhati ninawapongeza mama wote kwa kazi kubwa ya malezi mnayoifanya ambayo ni msingi wa Taifa letu kupata raia bora, nguvu kazi mahiri, wataalamu na viongozi. Tumefanya kazi kubwa, na tunaendelea kuwekeza katika maeneo ya afya ya mama na mtoto, elimu kwa mtoto wa kike, maadili na kuwawezesha wanawake kiuchumi na kisiasa, ili kulinda utu wa mama na kuleta usawa katika fursa zilizopo nchini.
Samia Suluhu tweet media
Indonesia
194
238
994
63.7K
Latto 𝕏
Latto 𝕏@Rydx_017·
Soma Mwenyewe Maneno ya Mahaba kutoka kwa Harmonize kwa Kajala.. Screenshot kwa Comments 👇
Latto 𝕏 tweet media
Filipino
81
28
1.4K
332.8K
Northern Circuit Adventure (™) retweetledi
Visit Tanzania
Visit Tanzania@VisitTanzania1·
Game Drive Safari in Tanzania National Parks is an unforgettable experience,
Visit Tanzania tweet media
English
5
48
296
8.8K
Peter Madeleka
Peter Madeleka@PMadeleka·
Hongereni sana MRISHO GAMBO na MWENZAKO , kwa KUUMIZA WATU WENGI. Hata kama mnatofautiana kwa IDADI ya watu ambao MMEWAUMIZA, lakini, ninyi wote ni WASHINDI. Ujasiri wenu wa KUMWAGA DAMU na MACHOZI ya watu, HAUNA KIFANI.
Peter Madeleka tweet media
Indonesia
88
250
1.5K
50.9K