ERICK MGONGOLWA
94 posts

ERICK MGONGOLWA
@ERICKMGONGOLWA
busness man and agriculturist
Arusha, Tanzania Katılım Mart 2012
521 Takip Edilen210 Takipçiler


@VodacomTanzania "AJ39AVFQF4D Imethibitishwa. Umetoa kiasi cha Tsh3,000,000.00 kutoka kwa 165627 - ROSE YUSUPH MALIYATABU tarehe 3/10/23 mnamo 1:00 PM. Salio la Merchant Account akaunti ni Tsh42,460.00"
naomba vodacom na songesha mrudishe pesa angu hii, mmekata wakti mm nilikosea kutoa.
Filipino

Tulifurahia kushiriki katika tukio la Inuka VICOBA Tanzania lililohudhuriwa na wafanyabiashara mbalimbali. Tulipata fursa ya kuelezea huduma zetu za M-Pesa Biashara na Bulk SMS ambazo ni muhimu kwa wafanyabiashara.
#BiasharaPamoja
#TuaminiSisi
#ZaidiYaMtandao
Indonesia

@VodacomTanzania Asante sana. Nawapa number mkinipigia taeleza yoye. wakala anasema et yeye songesha alikuwa analipa 10,000 kila mwenz alafu mm hela angu zaidi ya 3m. Kwamba mm akiwa ananilipa atanilipa zaid ya miaka 25.
Filipino

@ERICKMGONGOLWA Habari, pole sana kwa changamoto unayoipata kutokana na makato uliyoipata kutokana na malipo ya huduma yako ya songesha, tafadhali tunaomba ututumie namba yako ya simu pamoja na ombi/tatizo lako kupitia inbox (DM) kwa ajili ya uchunguzi zaidi. Asante ^SM
Filipino

Wewe ni miongoni mwa wale wanaopiga namba 100 ili kuhudumiwa? Basi hii inakuhusu!
Ungana nasi tar 19 tukujuze maboresho katika eneo hilo na njia mbadala na rahisi zilizoko. Vile vile, itakuwa fursa ya kupata maoni yako ya wapi tufanye maboresho #VodaChat
x.com/i/spaces/1YpJk…

Filipino

@VodacomTanzania Unapiga vodacom wanatuunganisha anasema kweli iyo pesa si yake imeingia kimakosa. Lakn songesha washachukua yote. What next? Na vodacom wanajua mtu anaweza kosea ndio sababu wanahuduma ya jihudumie. Kwann songesha mchukue pesa angu????.
Indonesia

@VodacomTanzania Vodacom mm nina malalamiko juu ya kitengo chenu cha songesha. Songesha kwasasa inatumika au inasaidia kuiba pesa za wateja wanaokosea miamala. Very saddy. I lost my money kwasababu ya songesha. Nimekosea kutoa pesa kwa wakala alafu yupo mbali then pesa inachukulia na songesha.
Indonesia

@VodacomTanzania Mteja unakuta uliyekosea yupo mbali na hamujui, ila wao na songesha wanajuana nae.
Mm
Nadhan songesha uwo utaratibu ondoeni. Ni kama wizi wa wazi. Maana pesa zinazokosewa ndio zitatumika kulipa madeni ya songesha.
Indonesia

@VodacomTanzania Kisheria kutoa pesa wakala wa mbali ni kosa, kwann songesha wachukue pesa ambayo si halali kwa mteja wao?????.
Fanyen marekebisho ya ayo mambo ya songesha, mm naumia nimepoteza pesa nyingi.
Indonesia

@ERICKMGONGOLWA Nami nahamia huko haiwezekani mie nakomaa na kasimu mganga
Filipino

@TvDaima Huu utaratibu kwa serikar ni mbovu, naenda kutoa pesa mpesa hata 15min haishi nakutana na gar yangu haina plat no, fine wanasema 200,000/= nimehairisha safari yangu ya kikaz, @SuluhuSamia @tanpol

Indonesia

@ERICKMGONGOLWA Hi ERICK MGONGOLWA, can you please share your case number here so that we can follow up on this for you? Many thanks!
^EA
English

“If you care about a thing, then build the thing. Don’t just assume that crypto being successful makes the thing appear automatically”
Hear more from @brian_armstrong in conversation with @vitalikbuterin on the latest episode of Around the Block.
youtu.be/GUhDXUA4mfQ

YouTube
English











