Emanuel Sweke

617 posts

Emanuel Sweke banner
Emanuel Sweke

Emanuel Sweke

@EmanuelSweke

Katılım Ekim 2024
1.2K Takip Edilen54 Takipçiler
SUKUNUNU 🇹🇿
SUKUNUNU 🇹🇿@sukununu01·
Aliee takiwa kuwa mwenyekiti wa Chadema mpaka mda huuuuu ni mbowe sio lissu pengo la mbowe alizibwi na mtu yoyote pale chadema
Indonesia
187
7
51
30.3K
sultan
sultan@chapanombombwi·
Yuko wapi? Tangu Aprili 9, alivyotweet kumshukuru Mungu, hajaonekana tena.
sultan tweet media
Indonesia
21
38
410
44K
BARADHULI
BARADHULI@Baradhuli2·
LISSU AMKIMBIA WAKILI MSOMI NASSORO KATUGA.😅 Mpaka sasa mshajua nani ni bingwa wa sheria kudadeki.
BARADHULI tweet mediaBARADHULI tweet media
Indonesia
55
30
66
12.4K
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
𝐍𝐈𝐌𝐄𝐏𝐄𝐍𝐘𝐄𝐙𝐄𝐖𝐀 : @John_Pambalu na wenzake 8, wameandaa mafunzo kwa vijana 30 wa CHADEMA kwa lengo la kuleta taharuki na kumshambulia Jaji Chande na wenzake watakapotoa ripoti ya Tume ya Oktoba 29. @tanpol muwakamate hao washiriki mapema sana orodha nimewapa tayari 1. RABIBI IDRISSA 2. MAGANGA BUSANDA 3. DANIEL GASAYA 4. AMOSI NTOBI 5. FILOMENA GEORGE 6. PAULINA JOHN 7. MARIAM AMRI 8. JAFARI NAINGWA 9. ZAKARIA ISACK 10. ZAK SHIJA 11. AZIM EGEMA 12. COLLETHA NDIDYACHA 13. MAARIFA CHAGO 14. JOSHUA FELIX 15. ANTON JOHN 16. PAUL MASINGA 17. THOMAS MAIPOPO 18. RESPICIOUS KESSY 19. FATMA THABIT 20. DAVID NYAKIMYE 21. LUCY SHAYO 22. PRISCA NANGAWE 23. PAUL FULANO 24. ACHIBODI MMBANDO 25. SHEILA JUMA 26. EMILIANA NDIMUBANSI 27. ALPHONCE MACHIRA 28. EVARIST MICHAEL 29. DANIEL CHIBU 30. AMINA KANYAMA
Dr. Sisimizi tweet media
Indonesia
20
4
9
4.1K
BARADHULI
BARADHULI@Baradhuli2·
Kwaiyo @mangekimambi umeamua ukawasambazie ukimwi na majirani zetu. Pole sana @LarryMadowo zingatia mboga, matunda, maji na fanya mazoezi kiasi.
BARADHULI tweet media
Indonesia
23
21
104
11.3K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Ujumbe maalumu kwa Wanachadema wanaoendelea kung’nga’nia ndani ya Chama kilichopoteza dira/kilichokufa wakijidanganya na kujilisha upepo eti chama kiko mioyoni mwao….! Hotuba hii inaishi miaka 13 sasa tangu atoe hotuba hii 2 Septemba 2012 Mh Freeman Aikaeli Mbowe Nakusisitiza ondoka kwenye chama hicho njoo @ChaummaT ufanye siasa zilizopevuka, Wanaharakati uchwara wazikuzubaishe ukapoteza ndoto zako kisiasa. Ndoto na matumaini ya Watanzania yako CHAUMMA chama bora kuliko vyote nchini kwa sasa!
Indonesia
70
5
21
9.8K
Adui Wa Yanga
Adui Wa Yanga@Aduiwayanga·
📍MNYIKA AELEZA HOFU YA KUSAMBARATIKA KWA CHADEMA, ATAKA MSAADA CHINI YA UONGOZI WA MBOWE Na Mwandishi Wetu Katika kipindi hiki cha changamoto za kisiasa na mabadiliko ya haraka ndani ya vyama, wito wa mshikamano na uongozi thabiti umeendelea kusikika kutoka kwa viongozi mbalimbali. Kauli ya Kaimu Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, imezua mjadala mpana baada ya kusisitiza umuhimu wa kumuunga mkono Freeman Mbowe kama kiongozi anayeweza kukinusuru chama dhidi ya kupoteza mwelekeo. Akizungumza na waandishi wa habari, Mnyika alieleza kuwa CHADEMA kinakabiliwa na hali ngumu inayotokana na baadhi ya wanachama na viongozi wa ngazi za wilaya na mikoa kuendelea kukihama. Alisema hali hiyo ni ishara wazi ya kuyumba kwa dira ya chama, jambo linalohitaji hatua za haraka na za busara kulirekebisha. “Chama tusipomuangukia Mbowe, kitapoteza mwelekeo kabisa katika nyakati hizi nyeti,” alisema Mnyika kwa msisitizo, akiongeza kuwa Mbowe ana uwezo, uzoefu na maono ya kurejesha imani ya wanachama na kuimarisha mshikamano wa ndani. Kwa mujibu wa Mnyika, changamoto zinazokikabili CHADEMA si za kupuuzwa, hasa katika kipindi hiki ambacho taifa linaelekea katika maridhiano ya kitaifa baada ya vurugu zilizotokea wakati wa uchaguzi uliopita. Alisisitiza kuwa ni muhimu chama kuwa na msimamo thabiti na uongozi unaoeleweka ili kushiriki kikamilifu katika mchakato wa kujenga upya mshikamano wa kitaifa. Aliongeza kuwa Mbowe ni miongoni mwa viongozi wachache wenye uwezo wa kuunganisha pande mbalimbali ndani ya CHADEMA na kurejesha matumaini kwa wanachama waliokatishwa tamaa. “Tunamhitaji kiongozi atakayeweza kusimama imara, kusikiliza na kuleta suluhu ya migogoro ya ndani. Mbowe ana sifa hizo,” alisisitiza. Hata hivyo, wachambuzi wa siasa wanaona kuwa changamoto za CHADEMA haziwezi kutatuliwa na mtu mmoja pekee bali zinahitaji mageuzi ya kina katika mifumo ya uongozi, uwajibikaji na ushirikishwaji wa wanachama. Wanasema kuwa pamoja na umuhimu wa Mbowe, ni lazima chama kijitathmini kwa upana zaidi ili kurejesha imani iliyopotea. Katika kuelekea maridhiano ya kitaifa, wadau mbalimbali wamekuwa wakitoa wito kwa vyama vya siasa kuweka mbele maslahi ya taifa badala ya misuguano ya ndani. Hali hiyo inaongeza uzito wa kauli ya Mnyika kwamba CHADEMA kinahitaji uongozi unaoweza kusimamia siasa za maridhiano na mshikamano. Je, Mbowe ataweza kuwa suluhisho la changamoto hizi? Hilo linabaki kuwa swali ambalo majibu yake yatategemea si tu uwezo wake binafsi, bali pia utayari wa wanachama na viongozi wengine kushirikiana naye katika kujenga upya chama. Kwa sasa, macho ya wengi yako kwa Mbowe na mustakabali wa CHADEMA katika kipindi hiki muhimu cha kisiasa nchini.
Adui Wa Yanga tweet media
Indonesia
3
16
15
760
Hamadi.Mbeyale🔥🔥
Hamadi.Mbeyale🔥🔥@hamadimbeyale·
Huu ni upumbavu. Waliotayari tutakwenda nao ,wenye kutumika kama wewe tutawaacha. Haki haiombwi inapiganiwa na kutafutwa.
Filipino
53
31
161
12K
Adui Wa Yanga
Adui Wa Yanga@Aduiwayanga·
Jamaa alilawitiwa enzi za mwendazake ila now ndio yupo bitter😱😱😱
Adui Wa Yanga tweet media
Filipino
38
13
99
23.9K
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe@zittokabwe·
I stand with the people of Iran against any genocidal threats by US president. The world must condemn and take action intended war crimes by the US and Israel against another sovereign state of Iran
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe tweet media
English
279
110
656
62.1K
𝗡𝗚𝗨𝗖𝗛𝗜𝗥𝗢🇹🇿
👉Kwa kuziweka pembeni hisia na mihemko ya kisiasa, hali ya CHADEMA chini ya uongozi wa Tundu Lissu inaonekana kudhoofika kwa kiasi kikubwa katika kipindi cha takribani mwaka mmoja mpaka sasa alipochukua mikoba ya uwenyekiti wa chama. 👉 chama cha demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) hakijaonesha uwepo thabiti wa shughuli za kisiasa zinazoonekana hadharani kama mikutano mikubwa, kampeni endelevu au uhamasishaji wa moja kwa moja kwa wananchi. 👉hakuna shughuli yoyote ya kisiasa iliyoendelea kwa kipindi cha mwaka mmoja, Hakuna mwenyekiti wa kijiji Wala mwenyekiti wa Serikali za mitaa, mbunge wala diwani nchi nzima, CHADEMA imebaki mitandaoni tu, Nashauri chama kijitenge na wanaharakati ambao hawakitaki mema chama cha CHADEMA ✍️
𝗡𝗚𝗨𝗖𝗛𝗜𝗥𝗢🇹🇿 tweet media
Indonesia
56
6
25
6.6K
kavol agent
kavol agent@ErnestKavol4·
Israeli inashindwa huko Lebanon,Mashambulizi ya Hezbollah yanaendelea kuishambulia Israel
kavol agent tweet media
Indonesia
3
3
26
358
BARADHULI
BARADHULI@Baradhuli2·
Tayari😅😅
BARADHULI tweet media
Filipino
10
8
47
2.6K
BARADHULI
BARADHULI@Baradhuli2·
Lema @godbless_lema kabla hajawa mbunge alikuwa ana miliki genge la majambazi Arusha likihusika na uporaji wa Dhahabu na ujambazi kwa Ujumla.
BARADHULI tweet media
Indonesia
31
15
29
4.8K
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
TAPELI LA MADHABAHUNI
Dr. Sisimizi tweet media
Indonesia
52
10
60
7K
Kipanga
Kipanga@Kipanga1986·
Gwajima ni mchungaji wa hovyo sana kuwahi kutokea kwenye ardhi ya Tanzania, chuki zidi ya usilam ndio muongozo wake tangu anajificha na sasa ni dhahiri kabisa Tunamuambia Gwajima uislam ulipigwa vita tangu enzi za Nabii Muhammad na hadi leo upo na utaendelea kuwepo, hiyo ni Ahadi ya Allah kabisa, vizuri angejikita kutafuna kondoo zake huko kwenye mabanda yake ya njiwa mwenyewe akiita makanisa
Kipanga tweet media
Indonesia
47
7
43
24.4K