Sabitlenmiş Tweet
GENERALⓂ️
14.4K posts

GENERALⓂ️
@Generalmud12
#255 | k-town_boy |#Fcbarcelona4Ever | |#AzamFc4Life| #CHADEMA✌| #December12
Katılım Şubat 2021
1K Takip Edilen735 Takipçiler

#TajiriLaKihaya
I AM A SUNNI and I stand with the ISLAMIC REPUBLIC OF IRAN🇮🇷
English

#TajiriLaKihaya
YANGA tumeshinda Ila hatuna Furaha…
Watu wamepewa Red Card… Tumepewa Penalty…
Azam deserved this…
Filipino

@kijitu20 @CwcChampion Umerogwa wewe... Unaujuwa Nyukilia wewe mzee..? Ile kitu isikie..sio Huyu tu..hata India.pakistan.uturuki hawashikiki mzee..
Indonesia

@CwcChampion Huyo atakamatwa tu siyo kama hawamsomi Special force zote za marekani zina list la watu wake wote wanaowataka hii ni zamu ya maduro zamu yake ikifika atafurahi yaani huyo mbona wanamsoma mda wote wakivamia kwake chapu tu kama siyo kumlaza kwake wanatembea naye
Indonesia

@HildaNewton21 Kiukweli acheni usenge..tuanze kudeal na hawa polisi...
Suomi

TAARIFA KUTOKA FAMILIA YA CLEMENT MWANDAMBO
"Jeshi la Polisi Mbeya lilimkamata kaka yetu Clemence Mwandambo tarehe 29. 12. 2025 alipokuwa ameenda kuripoti na wakakiri kwamba wanamshikilia Katika kituo cha polisi kikuu Mbeya
Kaka yetu alitakiwa awe anaripoti kila Jumatatu alipofika wakamkamata
Familia tulipoenda kumpelekea Chakula wakasema hayupo na hawajui alipo, baada ya siku Kadhaa kama familia tukaendelea kifuatilia tukagundua yupo Kituo cha Polisi Inyala Jijini Mbeya.
Tulipoenda Inyala tulimpelekea chakula hawakutana tumuone wakasema yupo ila hatutakiwi kumuona baada ya kweli baada ya Muda ikaja gari landCruza ikiwa na Tinted ikamchukua mzee wetu kwa macho yetu tunaona ikaelekea uelekeo njia ya kwenda Iringa.
Baada ya hapo hatujawahi kumuona tena ndugu yetu hatujui anakula nini? Kama anamakosa apelekwe mahakamni kwanini hawataki kumpeleka mahakamani kama shwria inavyotaka? Hatujui ni mzima au wamemuua kama wamemuua watupe maiti yetu tukazike.
Sisi kama familia tunalitaka jeshi la Polisi liseme alipo ndugu yetu.”

Filipino

@nguchiro47 @_zack255 @__ez01 @420Cousin @Daktariwayanga @iranulis80284 @Kipanga1986 @jtalb8 @Jaguar_455 @Mapungo2020 @donminja47 Yani kama kuna watu nawaombea Dua mbaya kila siku kuna Mama yenu,huyu makengeza na Zitto aisee..hawa ni mashwtani
Indonesia

@zeanonymouspoet @PolycarpMDM Wewe wakuja kama hujuwi kitu uliza.itakuwa dar umeingia juzi tu hapa. Kwa taarifa yako pale jangwa palikuwa na mji mkubwa sana wa makazi ya watu. Waliamishwa wengi wao wakapewa viwanja mabwe pande.. Wabishi waligoma na kuendelea kukaa hapo jangwa mpaka pale serikali ikawatoa tena
Indonesia

@PolycarpMDM Mkuu Jangwani pameanza kuwa na shida baada ya kujengwa hiyo Mwendokasi. Walijaza kifusi eneo maji yanapotuama. Pale hapajawahi kuwa na shida miaka yote.
Palikua na depot ya KAJIMA pembeni yake na haikuwahi jaa maji kwa miaka zaidi ya 30 hushangai masta
Indonesia

@PolycarpMDM Ule usemi wa akili ndogo inaongoza akili kubwa. Yani imagine wanatoa watu jangwan sababu ya mafuriko ans at the same time wanapeleka mradi mkubwa kuujenga pale pale..😂😂😂 inachekesha sana. Ila sijuwi tulimkosea nini Mungu. Ila tulipofikia sio pabaya tutafika
Filipino

@Sativa255 Sasa apa huyu mwanamke kaongea point gani 🤔
Sasaivi malaya wanatumia siasa ili wafahamike wapande bei 🤔
Indonesia

@elusilater28273 @Sativa255 Tena hao ndo makuma ya mwisho wasenge sana.. Yani kuna mambo yanatia hasira sana.
Indonesia

@Sativa255 Hii nchi hata wabunge nao ni kuma la mama yao kutoka kitambo,
Yaan inakuwaje kwamwaka jimbo linareportiwa kuingiza bill1. 2 alafu mbunge wa jimbo hilo kwamwaka mzima mishahara na maruprup ni m700 -800 means inabakiapo m500 sasa izo 500 zinaweza lipa watumishi ote wa jimbo
Filipino

@InexorablesoG @MariaSTsehai Nawaza kwa sauti,,
",,hawa watu wasioujulikana ndiyo hawa hawa waliomuacha huyu jamaa kuwa hai mpaka kuweza kupost hii clip?, au wapi wengine ambao wako ndiyo hukamata na kuua?"
Filipino

VIDEO:
Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Nne, Mizengo Pinda, amesema maandamano yaliyotokea Oktoba 29 hayakuwa ya amani, akieleza kuwa baadhi ya Vijana walishiriki bila kupata maelekezo sahihi, hali iliyosababisha mipango ya kuharibu mali na miundombinu ya umma pamoja na kuvuruga amani ya nchi.
Ameyasema hayo wakati wa sherehe za Mwaka Mpya zilizofanyika katika Shule ya Sekondari Mizengo Pinda, iliyopo nyumbani kwake Kibaoni, Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, mkoani Katavi.
Katika hafla hiyo, Waziri Mkuu mstaafu alijumuika na ndugu, jamaa, marafiki pamoja na taasisi mbalimbali za Serikali na zisizo za kiserikali.
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Kayanza Peter Pinda aliiasa jamii kuwapatia Watoto wao malezi bora ili kujenga jamii na Taifa lenye Vijana waadilifu, waliostaarabika na wenye uzalendo, ambao hawawezi kujihusisha na vitendo vinavyoweza kuligawanya Taifa.
Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Mlele, Abdulmajid Mwanga, akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Katavi, amesema Serikali inaendelea kubaini na kuibua fursa mbalimbali za maendeleo mkoani humo.
Amesema miongoni mwa miradi inayoendelea ni utekelezaji wa ujenzi wa barabara ya Sitalike–Kibaoni kwa kiwango cha lami, mradi ambao hapo awali ulikuwa umesimama kwa miaka mingi na kusababisha adha kubwa katika usafirishaji wa mizigo na abiria.
Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo wamesema ujumbe uliotolewa na Waziri Mkuu mstaafu umejikita katika kuliponya na kuliunganisha Taifa kufuatia machafuko yaliyotokea Oktoba 29, 2025.
Indonesia

@MNzowa78315 @YerickoNyerereT Acheni kuwapaisha mambuzi..ana usmart gani zaidi ya kuwa na bongo lala
Filipino

@YerickoNyerereT Yericko naamini wewe ni mtu smart sana ktk siasa za nchi hii, hupaswi kuchapisha habari za namna hii, maana nchi bado ina majeraha kwani ukikaa kimya utapungukiwa nini? Wewe unachochea wananchi ama kwa kujua au kwa kutojua hata kukaa kimya ni busara pia.
Indonesia

Hivi lile agizo la vibaka na matapeli wa kisiasa na harakati kwamba watz wasusie kuunga mkono wasanii, Limepuuzwa?😂
Majizzo@officialmajizzo
Konde Boy Baba Kajala in Mwanza 🔥🔥 #MuzikiUnaongea
Indonesia




















