Slim Daddy
96 posts

Slim Daddy
@MbazilaK
Either legal or illegal,, Success needs patience 🧠🧠
Katılım Ağustos 2025
73 Takip Edilen0 Takipçiler

@MkulimaKante binafsi namuona n mtu mwema tu, maana wapo wenye pesa zao, ambao wanazipata kwenye kazi halali, lakini hawasaidii wahitaji. Ni mtu mwema
Indonesia

Kuweni na Akili! Ufafanuzi wa Mabadiliko ya Uongozi Tanzania.
Hili sakata la kuuza dhahabu za Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kabla hazijatoka; unajua kwanini Rais (Samia Suluhu) amewahi kumweka mtu (anayemwamini) mapema? Ni timu moja, bado hamjaelewa kinachoendelea?
Ninyi endeleeni kupiga kelele kama paka, ila uongozi umeshaona mbali. Ndio maana ametanguliza na kuweka watu wake kwa maslahi yake (ya kimkakati). Baada ya miaka mitano ijayo, mtakuja kuniambia ukweli wa mambo haya!
Hebu tazameni mifumo ya uongozi:
TRA ipo chini ya uongozi unatoka wapi?
TCRA ipo chini ya bodi, wakitokea wapi?
BOT sasa itakuwa chini ya uongozi kutokea wapi?
Wizara ya Fedha ipo chini ya waziri kutokea wapi?
Wizara ya Ulinzi sasa ipo chini ya uongozi kutokea wapi?
Mama huyu ni makini sana. Vyanzo vyote vikuu vya kiuchumi na kiusalama amevishika mahsusi. Anajua mtaendelea kubishana na kupingana hadi mtakapo koma.
Hata wizara ambayo haina mwingiliano wa muungano kama Elimu, imewekwa chini ya mtoto wake (aliyemwamini). Unajua lengo lake ni gani hasa?
Siku akili zenu zitakapo kaa sawa na kuelewa mchezo mzima, ndipo mtajua kuwa Makamu wa Rais wamekuwa wakipigwa mizengwe, kwa sababu wanataka mtu wao ashike nafasi hiyo. Kabisa!

Indonesia

@zumbekhan Hapana,,huyo jamaa nafahamu,,,hakufumaniwa wala,,ila chanzo chayeye kuwa hivyo siyo kufumaniwa
Filipino

@millardayo Ina maana bank ya taifa,,inazidiwa thamani na utajiri wa Mo Dewji?
Indonesia

Benki Kuu ya Tanzania (BOT) imesema mpaka sasa Tanzania ina akiba ya dhahabu yenye thamani ya dola bilioni 3.24 ikiwa imevuka lengo la Bodi kitendo kilichopelekea kuamua kuuza dhahabu yenye thamani ya dola bilioni 1.2 ili kuweka mizania sawa ya kuwa na akiba ya dhahabu ya dola bilioni 2.
Akizungumza kusuhusiana na mchakato huo wa uuzaji wa dhahabu hizo Mkurugenzi kutoka Kurugenzi ya Masoko ya Fedha Benki Kuu Tanzania Emmanuel Akaro amesema ni utaratibu wa kawaida wa Benki kuu kufanya hivyo ili kuweka mizania sawa ya vihatarishi na wala sio shinikizo wala maagizo kutoka Serikalini.
"Kwa lugha nyepesi kabisa limit yetu sisi ni bilioni mbili lakini tayari hata iyo bilioni tatu tumeshapita tuko 3.2 au 3.18888 kwa hiyo sababu moja kubwa kabisa ya sisi kufanya au kuwa na haya matamanio ya kuuza dhahabu ni ili kuhakikisha Benki kuu haijiweki kwenye vihatarishi ambavyo haiwezi kuvisimamia" —— Emmanuel Akaro
#MillardAyoUPDATES

Indonesia

@swahilitimes Yaani kama movie za kikorea
Wenye nguvu wanafanya watakalo,,,
😂😂😂
Indonesia

Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwanaharakati Mange Kimambi inatarajiwa kusikilizwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.
Mange, anayeishi Marekani, ameshitakiwa kwa utakatishaji fedha TZS milioni 138.5, ambapo anadaiwa kutenda kosa hilo kati ya Machi 1 na Machi 31, 2022 Dar es Salaam; kufanya uandishi wa habari bila kibali, pamoja na kudai fedha kupitia vitisho.

Indonesia

@MguuKwaMguu2025 @BesteNicolas Tanzania inakosa mabadiliko ya kikatiba,, uongozi usio bora,Kwa machawa kama nyie,.
Filipino

@BesteNicolas Kushindwa kuchochea machafuko kumeacha waliotegemea vurugu wakiwa na mshangao. Kila jaribio jipya linaonekana la kukata tamaa. Wananchi tayari wamesonga mbele, wakiacha kelele bila hadhira.#TanzaniaYachaguaAmani
WanaharakatiNaVibarakaWafeli
Filipino

@godbless_lema Na miongoni mwao,,wapo aliozaliwa nao tarehe na mwezi Kwa alozaliwa yeye,, pengine tofauti ikawa Ni mwaka
Filipino

Leo unasherehekea siku yako ya kuzaliwa, na ninafurahi kwa sababu ninajua inakupa kujua thamani ya uhai na maisha. Bila uhai, sherehe hii haiwezi kuwepo. Kuna watu wengi sana wangependa kufurahia siku kama yako, lakini wapo waliokatishwa maisha wengine wakiwa bado wadogo sana.
Wakati unakata keki yako, kumbuka kwamba kuna wazazi na ndugu wanatafuta watoto wao bila matumaini ya kuwapata. Sio kwa ajili ya sherehe ya birthday, bali wanatamani angalau kupata miili ya ndugu zao hata kama wamekufa. Just imagine tu!!!
Happy birthday.


Indonesia

@eligius2015 @SuluhuSamia Hahahaha umeanza Kwa maneno mazuri,,kumbe nyuma ya maneno yako mazuri , Ni shida ya kukosa ajira. ,,,
Filipino

Shukrani kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu na mwingi wa rehema kwa kunijalia kuifikia siku nyingine ya kumbukizi ya kuzaliwa na umri wa miaka 66. Kwa moyo wa dhati, nimepokea na ninawashukuru nyote kwa salamu zenu za upendo.
Nimesherehekea siku hii kwa kupanda miti. Wito wangu kwenu, tujenge na tuendeleze utamaduni wa kupanda miti na kutunza mazingira ili nayo yaendelee kututunza sisi na vizazi vijavyo.




Indonesia

@PolycarpMDM Hayo ndiyo mambo tunayofanya maskini,,
Dalili za umaskini
Filipino

@ShabaniKandege @nyuki_malkia 🤣🤣 hizi kanda ya ziwa,hasa Mara na Mwanza,, Ni nyingi balaaa
Indonesia

@nyuki_malkia Unaijua hii wewe? Umewahi kufika kigoma inavyopiga ruti wilaya to mkoa imejaa ndizi

Indonesia

@ThomzJoseph Huo mtaji wa 3m.
Banda au flemu?
Simu ya uwakala?
Kodi ya Banda?
Chakula ukiwa ofisini?
Umeme Kodi?
Hebu acheni siasa,
Indonesia

@iam_miss01 Mnalipwa shingapi kujitahidi kuwasahaulisha watu mauaji yaliyotokea?
Au Yale yaliyotokea nayo ni propaganda?
Anyway
🤔
Indonesia

Taifa limeonesha kuwa haliendeshwi kwa propaganda. Wananchi wamewapa wazushi jibu la kimya lakini zito, wakichagua amani na heshima ya nchi yao kuliko shinikizo lisilo na msingi.#WitoWaAmaniUmepokelewa
Propaganda Zimefeli

Indonesia




























