Sabitlenmiş Tweet
Enzo Musk
5.5K posts


@abdulseif37 @_zack255 @ALugandu @Baradhuli2 @nguchiro47 @NNgabu_ @RashdaZunde @Kilwafinest @Kephawao @kasesco_tz @Kipanga1986 Acha wenge kijana
HT
Enzo Musk retweetledi

@Baradhuli2 @Aduiwayanga Hivyi huyu jamaa anajionaga nani, maana Yesu mwenyewe aliheshimu mamlaka ya Caesar ,Musa alieshimu mamlaka ya farao mpaka akawa anaomba kibali machoni pa Mungu kwenda kwa farao, hasa hili ngombe liko na waumin wake wanalishana matango pori, huyu jamaa anautunguo wa ubongo si bure
Indonesia

Nimesikitishwa na kauli ya askofu huyu kuhusu Rais wa nchi yetu. Ni muhimu kwa viongozi wa dini na jamii kwa ujumla kuzungumza kwa hekima, heshima, na kujenga umoja wa taifa.
Kama kuna hoja au changamoto, ni bora ziwasilishwe kwa njia ya staha na yenye kujenga, badala ya kauli zinazoweza kuleta mgawanyiko. Tuendelee kuheshimiana na kulinda amani ya nchi yetu.
Indonesia

Mo Dewji akikuuliza Unataka nini? — USIJIBU hivi…”
Wengi hujibu kwa maumivu yao.
“Natafuta msaada…”
“Naomba mtaji…”
“Nisaidie connection…”
Hiyo ni lugha ya shida.
Na shida sio rare kwa tajiri.
Opportunity ndiyo rare.
Usijibu kwa emotion.
Jibu kwa structure.
Sema:
“Nina biashara ya ___, tunazungusha ___ kwa mwezi, margin ___%.
Bottleneck yetu ni ___.
Nahitaji strategic partner wa ___ ili tuscale hadi ___ ndani ya miezi 6.”
Hapo umeongea lugha yao.
Tajiri hahamasishwi na ndoto zako.
Hahamasishwi na background yako.
Anahamasishwa na vitu Kama :
Cashflow.
Scalability.
Distribution.
Control.
End.
Indonesia

Baadhi ya Raia wa Tanzania wakiwemo wanaosoma Dubai, wameiomba Serikali ya Tanzania kuwapatia msaada wa kuondoka Dubai na kurudi Tanzania baada ya hali ya wasiwasi kuendelea kutanda juu ya usalama wao kutokana na mfululizo wa mashambulizi ya makombora ya Iran kwenye maeneo mbalimbali ya Umoja wa Falme za Kiarabu.
Wakizungumza na AyoTV, Wanafunzi hao ambao waliondolewa katika Vyumba vyao ili kujificha kwenye maegesho ya magari chini ya Jengo wanamoishi na baadae kurejeshwa vyumbani kwa tahadhari, wameiomba Serikali kufanya mpango wa kuwasafirisha kwa gari kutoka Dubai kwenda Nchi nyingine za jirani ili iwe rahisi kupata usafiri wa Ndege kurejea Tanzania.
Mmoja wa Wanafunzi hao amesema wamejaribu kuondoka Dubai kwa gari la kukodi kuelekea Nchi jirani lakini Kampuni za usafirishaji zimegoma kufanya biashara hiyo kwa hofu dhidi ya mashambulizi yanayoendelea kwa sasa "tupo zaidi ya 100 tunaoishi maeneo mbalimbali, tulijaribu kutafuta gari litupeleke hata Oman lakini Madereva wote wanakataa kusafiri" #MillardAyoUPDATES

Indonesia

@ZPlanmaster Mwanetu alinivuruga na hii heat and thermodynamics pale Karatu Boys high school kila mtu aliniona kontawa wa Heat

Indonesia

Mtu alieuwa ndugu zetu

Enzo Musk@__ez01
Rais mpenda haki, mwenye hofu ya Mungu, kipenzi cha watanzania🙏
Enzo Musk retweetledi

@__ez01 @NNgabu_ @nguchiro47 @RashdaZunde @munyamambogo @kasesco_tz @Kephawao @Kipanga1986 @_zack255 @ALugandu CiC Dkt Samia Suluhu Hassan mtu kazi bila kuchoka analipambania taifa

Indonesia

@nguchiro47 @NNgabu_ @RashdaZunde @munyamambogo @Kilwafinest @kasesco_tz @Kephawao @Kipanga1986 @_zack255 @ALugandu Tunatamba na mamaaaa
Filipino

👉DKT- SAMIA SULUHU HASSAN ANAENDELEA KUIWAKILISHA TANZANIA KWA UONGOZI THABITI NA MAONO MAKUBWA KATIKA KULINDA MAZINGIRA NA KUPAMBANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI,
👉USHIRIKI WA TANZANIA KATIKA CAHOSCC JIJINI ADDIS ABABA, ETHIOPIA, UNAONESHA DHAMIRA YA KWELI YA AFRIKA KUSHIRIKIANA KUTAFUTA SULUHU ENDELEVU ZA CHANGAMOTO ZA TABIANCHI,
👉HAKIKA DKT- SAMIA SULUHU HASSAN NI FAHARI YA TAIFA LA TANZANIA ✍️🇹🇿
Filipino




















