Saa Mbili Kamili💉🔥🖌️

537 posts

Saa Mbili Kamili💉🔥🖌️ banner
Saa Mbili Kamili💉🔥🖌️

Saa Mbili Kamili💉🔥🖌️

@Godblesraymond

Fundi uchomeleaji | Natengeneza na kudesign Milango na madirisha aina zote |Vitanda vya chuma na sofa aina zote,call/tsup 0785695014

Dodoma, Tanzania Katılım Ekim 2014
150 Takip Edilen51 Takipçiler
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Huyu kama amepata mtu mwingine aseme tu hii sio sawa mtu kwa siku anakutafuta mara tatu kama dose ya paracetamol. Ukipiga muda wote anatumika
WHYMYCATISSAD tweet media
Indonesia
6
1
82
2.7K
ALBINO MWEUSI
ALBINO MWEUSI@jobles_bukujero·
Karibuni Futari Kama upo maeneo ya Kigamboni nipigie uje tufturu No: 068 564 2657
ALBINO MWEUSI tweet media
Indonesia
43
32
290
20.6K
💨mangi mkuu
💨mangi mkuu@kavishePb·
Viny.o vya wagogo viko hatarin ifikapo 2045 😂
💨mangi mkuu tweet media
Čeština
2
0
8
398
mkaanani
mkaanani@BenjaminiKeneth·
Habari za mda huu, Natafuta mwalimu wa day-care. Shule ipo Tanga lushoto, sehemu ya kuishi atapatiwa. Kwa mawasiliano zaidi nipigie kwa simu namba 0746760090 au 0672 225 595
Filipino
1
1
1
58
Chaurembo 🌹
Chaurembo 🌹@FatmahShokat·
Ile mchana ukiwa umefunga ukajiskia skia kushusha mzigo USISHUSHE jikaze mpaka jioni karibu na kufturu. Utanishukuru baadae
10
0
121
9.7K
Thomas J. Kibwana
Thomas J. Kibwana@thomasjkibwana·
Mhe. @HusseinBashe ni swala la aibu kwa Tanzania yenye ardhi inayo limika hekta 44,000,000, hekta 29,000,000 zinazo faa kilimo cha uwagiliaji na mvua za zaidi ya milimita 3,000 kwa mwaka kupokea misaada ya chakula..
Indonesia
92
63
314
41.2K
KIRIKUU✏️
KIRIKUU✏️@Kirikuu20·
Mvuta sigara akiamuka asubuhi halafu akute na sigara zimepanda bei😁
KIRIKUU✏️ tweet media
Filipino
5
0
69
7.2K
Idris
Idris@IdrisSultan·
Dalili ya mtu atakayekuja kukuumiza kichwa Wewe: Hey mambo ? Mtu: Poa nipo tu NACHATI
Indonesia
37
23
626
54.3K
I'M LIVING BLESSED
I'M LIVING BLESSED@officialDrHerry·
Mi ndio maana namchukia Meko kwa moyo wangu wote not only because of his inhumane behaviors but also because yeye ndio aliyetupa hili bunge la hovyo kabisa kuwahi kutokea duniani… kama kweli kuna adhabu huwa zinatolewa huko aongezewe maradufu
Filipino
5
7
39
1.6K
Saa Mbili Kamili💉🔥🖌️ retweetledi
Saumu Farms🧄
Saumu Farms🧄@Nalimasaumu·
Mazao ambayo Unaweza kuvipeleka Sokoni ukauza kwa Maringo muda huu:- - Nyanya - Kitunguu maji - Kitunguu Saumu Lakini usijaribu kupeleka haya Mazao Sokoni kwa sasa - Carrot - Mahindi - Viazi Mviringo Soko liko Saturated, utachezea Vitasa 🥊 Follow @Nalimasaumu
Saumu Farms🧄 tweet media
Indonesia
7
13
48
3.2K
Saa Mbili Kamili💉🔥🖌️ retweetledi
Beno Lyimo
Beno Lyimo@iAmLyimo·
Morogoro sihami mpaka nijipate 🥱
Beno Lyimo tweet mediaBeno Lyimo tweet mediaBeno Lyimo tweet mediaBeno Lyimo tweet media
Indonesia
54
74
778
65.5K
Saa Mbili Kamili💉🔥🖌️
Saa Mbili Kamili💉🔥🖌️@Godblesraymond·
@Addy_Adams Kuna ile mnagombana usiku halafu anazira na anasema asubuhi mi narudi kwetu nimechoka.......,,,halafu cha ajabu anaamka anaimba kwaya tu 😀😀😀
Filipino
3
0
2
635
Adamoo
Adamoo@Addy_Adams·
Nakumbuka niliambiwa tukifikisha miaka 10 ya Ndoa nakuruhusu uoe mke mwingine. Nilimkumbushia ikawa kamzozo, alijua miaka 10 ni mbali,,, ila W/wake bana 😂🙌🏽
Indonesia
26
19
361
27K
Masanja
Masanja@mkandamizaji·
Before and After. Shamba tour! Andaa nauli twende. Tunaenda Ijumaa tunarudi J3. Nicheki 0756 444 000
Masanja tweet mediaMasanja tweet media
Eesti
87
133
2.2K
168.8K
Saa Mbili Kamili💉🔥🖌️ retweetledi
LUSAJO
LUSAJO@sajo_mwaihabi·
Mimi kama mwananchi, ambaye pia mfanyabiashara na mlipakodi naomba serikali kupitia @ortamisemitz I-review swala la tozo ya leseni za biashara ilete UWIANO wa haki ktk ulipaji. Imagine ukiingia kwenye mfumo wa Tausi, kwa kijana graduate ambaye anaanzisha kaofisi kake ka Graphics Design, kapewa fedha na mzazi wake kafungua ofisi akiwa na Laptop yake aliyotoka nayo chuo, kanunua kameza na kiti pamoja na kiti cha mgeni, na mtaji wake hauzidi hata 1 Mil anatakiwa kulipia leseni 200,000/- (Laki 2) Alafu pia Muuzaji wa vifaa vya ujenzi, Tena ni supplier na ana tenda kubwa za kusambaza bidhaa, ambaye mtaji wake ni over 100/-Mil nae analipia 200,000/- the same! Kuna uwiano kweli hapa? Haya akienda TRA anaambiwa kwa sababu wewe unatoa huduma sio biashara ni lazima uwe na EFD mashine🙆🏾‍♂️, Ahsante Mungu kuna vijana wabunifu wametuokoa hapo angalau tunaweza kutumia VFD Apps badala ya mashine za laki 6 hizo tunalipia hadi jero kwa siku. Yaani kiufupi kijana aliyetoka chuo, amekosa ajira, kaamua kujiajiri kutokana na UBUNIFU wake alioupata, bado walioshikilia Ajira wanawakandamiza vijana kwa mifumo isiyo rafiki za kulipia kodi. Viongozi punguzeni Siasa basi wekeni sera ambazo zina realistic kwa jamii zenu. Maana hamtuumizi sisi tu, tambueni mnaumiza hadi vizazi vyenu vijavyo.
Indonesia
50
101
412
45.9K
Saa Mbili Kamili💉🔥🖌️ retweetledi
Kabigwa_Afya💊
Kabigwa_Afya💊@kabigwa_78·
Maji💦 -> Kwa Ajili ya Figo! Mayai 🥚-> Kwa Ajili ya Ubongo 🧠! Carrots🥕 -> Kwa Ajili ya Macho! Nanasi 🍍-> Kwa Ajili ya Koo! Cabbage 🥬 -> Kwa Ajili ya Utumbo! Tango 🥒 -> Kwa Ajili ya Ngozi! Tangawizi -> Kwa Ajili ya Koo na Mapafu! Parachichi & Nyanya 🥑 -> Kwa Ajili ya Afya ya Moyo 🫀! Mazoezi exercise🏋️ -> Kwa Ajili ya Afya imara na Kinga Bora ya Mwili! Mboga za Majani 🥦🫑 -> Kwa Ajili ya Kuongeza Kinga yako ya Mwili. Furaha 😆 -> Kwa Ajili ya Afya yako ya Akili! KuRepost 🔄 -> Kwa Ajili ya Wengine!
Indonesia
123
1.8K
3.3K
328.9K
Saa Mbili Kamili💉🔥🖌️ retweetledi
Bwanashamba wa taifa 🇹🇿
Unahitaji kunenepesha matunda yako? Tumia mbolea zenye Potassium wakati wa matunda. Potassium hutumika katika kuboresha UKUBWA WA MATUNDA, Dry matter, rangi, ladha. Na hiki kirutubisho hupatikani kwenye Muriate of potash.ambayo ime-contain 60% of potash @msakufarm
Bwanashamba wa taifa 🇹🇿 tweet mediaBwanashamba wa taifa 🇹🇿 tweet mediaBwanashamba wa taifa 🇹🇿 tweet mediaBwanashamba wa taifa 🇹🇿 tweet media
Indonesia
5
32
80
4.1K
NYANI MZEE
NYANI MZEE@jwise017·
Siku imeisha unarudi nyumbani kichwa chini maana hakuna ulilofanikisha na uliambiwa hakuna mboga wala unga. Kuwa mwanaume sio kitu cha mchezo.
Indonesia
4
8
72
2.3K