Uzuri wanafurahia na hutoona maandiko marefurefu wala watu wakisikitika na ukiongea utaishia chezea matusi. Sasa ngoja ngoma igeukie upande wa pili ma last born huwa wanalia mpaka Africa nzima isikie 😂
Natamani sana kaka zangu wajue kuwa huku “kurukaruka” na kila mdada sio ujanja, wala ufahari. If anything mnajitia tu wahaka wa roho, nuksi na fedhea.
Kaka zangu tulieni na mlionao mbona hakuna jipya?
@MSalimu Ladha tofauti, milio tofauti, kipenyo tofauti, kujituma tofauti na kwa sisi wanaume waafrika kiasilia wala haihusiani na dini mwanamke mmoja hatoshi kutuzima.
@MSalimu Mwanaume hulka zetu ni kama za jogoo tu, tukiona tetea mpya udenda unadondoka.
Tuacheni tupambane na hali zetu 😂😂 nadhani kiasili tumeumbwa hivyo.
@MSalimu Binti Miaka 16-25 Utapimanisha na Wamama 36-45 kweli??
Moja unaipigania🥵,nyingine Unakususia😃chukua io hapo
Kwanza S3x drive yao ni vitu V2 tofauti
Hapo sitaki kuongelea kabs 26-35